Hahahaaaaaaaa........hahaaaahaaaa....Sasa na wao wanaiga maonyesho ya makomandoo wakati Amza aliwatoa jasho mpaka walinyea suruali zao
Ni kama nakumbuka Mbowe aliwahi kuwa "Gaidi", ambaye wenzake tayari walikuwa walisha hukumiwa vifungo.Wame-beep sasa wanakwenda kupigiwa wawe tayari kupokea simu.
Heeeeee!Wewe toka nje siku hiyo ndio utajua iwapo anajua kushika bunduki au hajui.
angekuwa mwanaume usingesema anahujumiwa..she is what she presentsAmenishtua sana. Nadhani kuna watu wanamhujumu. Daaaah... Nimeishiwa nguvu kabisa.
Samia awe anaandikiwa Hotuba. Uwezo wake wa kuchambua nini aongee na nini asiongee hana.
Nadhani anakuwa na mihemko sana anashindwa kuji control au anashindwa kuelewa nini aseme in private na nini in public. Mumsaidie please. Leo ametoa Hotuba mbovu kabisa ya mtu mwoga asiyejiamini.
Rais anapaswa kuwa jasiri na tulitegemea aliponye Taifa. Si ndio wadau? Naona analiparua zaidi. Analikwangua , analigawanya.
Unafikir ugaidi unataja taja moja ya kesi yakipumbavu hata Wahisabi walitucheka ni ile ya mbowe wakifanya check and balance wanaona no relation at all as a country tuliowapa dhamana are there to defend themselves and kusema opposition wanajwamisha maendeleo bungeni mmejaza wooote ccm lakin bado ndo kwanza gemu ngumu inawaelemea. Mmebaki na projevt za kutafta kuraMahakama ilisema mbowe ana Kesi ya kujibu na kuhusu ugaidi, Mama akamwonea huruma. Leo huyo huyo aliyemsamehe na kesi kufutwa amesema anaushaidi haohao aliowasamehe kinyume na mahakama wameanza tena vitendo vya ugaidi. Wewe unabisha!
Mwongo tu huyo, hakuna chochote anachokijuaKawaida ya Wanawake wa Pwani.
By the way, ametoa siri kuwa ndani ya Chadema kuna mapandikizi yao mle. Otherwise, hawawezi kuwa na uhakika wa kile kinachopangwa ndani ya mikutano yao.
O.M.G - uongo na umbeaNi hatari sana kiongozi wa juu kabisa yaani Rais, kutamka maneno hayo halafu watuhumiwa hawakamatwi kupelekwa mbele ya vyombo vya sheria.
Mashoga zake hawa hapa.Kimya.......Kakomesha.....
KSamiamustgo ni wrong move, kama ni maandamano ya amani yalipaswa kuja na slogan isiyo na chembe chembe za uhaini. gharama ya kumuondoa amiri jeshi mkuu madarakani kwa maandamano ni kubwa mno na ukiamua kupita hiyo njia hakikisha unauona mwisho na una sapoti ya kutosha kuufikia huo mwisho otherwise ni umeamua kuwapa wafuasi tiketi k
Kakwel hiyo slogan kama bora iwe ni danganya toto...lkn kama wamedhamiria kweli kweli yaan italeta taswira mbaya kwa Taifa japokuw hawatafankiwa.Samiamustgo ni wrong move, kama ni maandamano ya amani yalipaswa kuja na slogan isiyo na chembe chembe za uhaini. gharama ya kumuondoa amiri jeshi mkuu madarakani kwa maandamano ni kubwa mno na ukiamua kupita hiyo njia hakikisha unauona mwisho na una sapoti ya kutosha kuufikia huo mwisho otherwise ni umeamua kuwapa wafuasi tiketi ya mauti.
Hivi kweli mtu anaweza kupanga mipango miovu halafu akaachwa asikamatwe? Hapana kama kweli Kuna ushahidi washughulikiwe tunataka amani.Ulitaka mpange mipango miovu halafu rais akae kimya? Over her dead body!
Kama kuna jinai na ushahidi wanao kwanini hawawapeleki Mahakamani anaishia kutoa povu tu.Kawaida ya Wanawake wa Pwani.
By the way, ametoa siri kuwa ndani ya Chadema kuna mapandikizi yao mle. Otherwise, hawawezi kuwa na uhakika wa kile kinachopangwa ndani ya mikutano yao.
Hakuna wakati wowote MUNGU alimpa mwanamke kundi aliongoze,ss Tanzania hatujielewi ngoja tuendelee kufubaa na kuchakaa AKILI itatusogea tu.Samia awe anaandikiwa Hotuba. Uwezo wake wa kuchambua nini aongee na nini asiongee hana.
Nadhani anakuwa na mihemko sana anashindwa kuji control au anashindwa kuelewa nini aseme in private na nini in public. Mumsaidie please. Leo ametoa Hotuba mbovu kabisa ya mtu mwoga asiyejiamini.
Rais anapaswa kuwa jasiri na tulitegemea aliponye Taifa. Si ndio wadau? Naona analiparua zaidi. Analikwangua , analigawanya.
Wewe ndo leo umedanganyika na umekubali. Siasa sayansi. Waliokaa kikao kuchafua nchi wanaachwaje wasikamatwe watajwe jukwaani?Wanamdanganya nini?
Kwanini msiwataje tu?
=====
Ukweli ni kwamba hizi vurugu mechi za Kisiasa huwa zinatokea wakati wa Chaguzi, kwanini?
Kwamba CHADEMA ikitengeneza haya mazingira, basi hili na lile likitokea basi serikali ilaumiwe tu... ianguke, halafu wao ndio washike Dola? Hapana.
Uzeni sera na sio kufanya siasa za uharakati, na kama mkishindwa, mjisajili tu kama NGO tu.
Aisee
CHADEMA katika ubora wao. Ni kuchafua hali ya kisiasa nchini.🤡
Hawachaguliki, sio 2024 na wala sio 2025.
.Kama kuna jinai na ushahidi wanao kwanini hawawapeleki Mahakamani anaishia kutoa povu tu.
DEBORAH ni mwamuzi pekee wa kike.. aliliongoza kundiHakuna wakati wowote MUNGU alimpa mwanamke kundi aliongoze,ss Tanzania hatujielewi ngoja tuendelee kufubaa na kuchakaa AKILI itatusogea tu.