Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Kawaida ya Wanawake wa Pwani.

By the way, ametoa siri kuwa ndani ya Chadema kuna mapandikizi yao mle. Otherwise, hawawezi kuwa na uhakika wa kile kinachopangwa ndani ya mikutano yao.
Mjinga wewe...



Huku kwetu Mbeya wako pia wanawake wa hovyo....
 
Hiyo ni opinion yako tu.

If anything leo walau kwenye mambo ya msingi kaongea kama kiongozi.

Uongozi ni msimamo, maana yeye ndio mwenye maamuzi ya mwisho na kaweka ultimatums huruma una mipaka. Na serikali yake sio ya kupangiwa.

Nadhani yale ya kitaalamu kayaelezea kwa ufasaha sana mpaka maafande kufurahi.

Shida ni tonne yake, uwezi kuongea serious issue na sauti ya kulegeza. Na mifano yake sijui uwa anatoa wapi.

Someone needs to tell her samaki wanavyokuwa na kuishi ndio akili inavyoongezeka.


View: https://m.youtube.com/watch?v=Mj1t0lp4llI&pp=ygUbb3JjYSBhdHRhY2tpbmcgc2VhbCBvbiBpY2Ug

Kwenye pods za Ocra ni matriarchal bibi ndio anaongoza attack, kwa kufundisha njia ya kutengeneza mawimbi ili kuvunja iceberg ambayo seal kakimbllia ukienda North pole.

South pole wanambinu nyingine ya kukamata seal na wakubwa ndio wanambinu ya kwenda shallow waters.

Wakishiba wakiona seal au penguin wana mzunguka na kuwaachia watoto wajifunze head kicking ya kuvunja mifupa na kumrusha kitoweo kwa mkia kumchanganya akili.

Ukienda kwa akina nyangumi vile vile wazoefu ndio wanaotengeneza bubbles kuwakusanya samaki eneo moja, na kuanza kuwameza wakitokea chini. Dolphins nao wana mbinu hizo hizo.

Blue fin tuna wakubwa wanajua kuchomoa hook.

Kwa kifupi samaki wanavyokuwa ndio akili inaongezeka. Tupende kujifunza mambo kabla ya kujiropokea kutoka vichwani. Kuna wildlife documentary luluki YouTube za bure kuelewa wanyama.
 
Mim huw nna amin mtanzania halis hawez ambatana na chama wala siasa yoyote kulko anavyo ambatana na Taifa/nchi.Kwahyo kama walio madarakan wanaiumiza Tanzania kwa sababu znazo epukika bhas hapo hawastahili kuungwa mkono hata kwa 0.001%.Na kama vyama vnavyo wania kuiongoza nchi vnataka kutumia njia ya kumwaga damu za wananchi ilihali hata nyerere hakufanya hivo wakat akdai uhuru kutoka kwa wakolon bhas hata wao pia tuswaunge mkono.
Ila swali ni je,Tanzania halis bila kughoshiwa na njaa,ujinga,ubnafsi wala kukata tamaa ya maisha hali znaleta kujipendekeza,ina mtazamo gani kati ya watawala na wapinzan!?je ingependa wachukulianeje?...maana wote ni ni watz na taifa linawahtaj saana.
 
Bi

K

Kakwel hiyo slogan kama bora iwe ni danganya toto...lkn kama wamedhamiria kweli kweli yaan italeta taswira mbaya kwa Taifa japokuw hawatafankiwa.
Imekaa sana vibaya mkuu
 
Natabiri hii hari iliyoko mbele yetu,naona mateso makubwa sana na vifo tutakavyoshuhudia,sijui nani atakayeweze kuiponya hii inchi,inaonekana kama wasiojulikana wananguvu kubwa au wanaogopwa au hamna tena wa kuwathibiti,niseme tu ndugu yangu kama unajipenda au unaipenda familia yako basi la kuchagua ni moja tu, ni kujisalimisha, lakini ukiwa mjuaji, mbishi, unamsimamo mkali, unapenda kukosoa, unamaneno makali, na wale wenye kukosoa kwa matusi,basi kesho yako ni ngumu sana,
 
Tulia kijana tafuta hela ya kula na familia porojo za siasa waachie wenyewe.
 
Achana na manabii matapeli, fomu ni moja tu Kwa ajili ya dk Samia wengine wasubiri 2030
Ukiukwaji wa haki za binadamu sio swali la nchi ni suala la kimataifa. Kumbuka tamka la haki za binadamu lilitolewa mwaka 1948 na umaja wa matafa. Na Tanzania ili sain mkataba wa haki za binadamu. Pia haki za binadamu sio Hisani ya serikali au ya Samia ni haki ambazo kila mtu anazaliwa nazo. Pia ukiukwaji wa haki sehemu moja ni ukiukwaji wa haki duniani kote. Samia amejidhalilisha kwa hotuba yake.
 


Kwa kifupi hotuba ya Rais imewaponya na kuwapa ujasiri watekaji waliokuwa wameanza kupata hofu na mioyo yao kubondeka baada ya jamii kuungana pamoja kuwakabili.

From President speech, No one is SAFE even herself. Sheria ya Usalama wa Taifa IFUTWE na Rais apunguziwe madaraka.
 
Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
 
View attachment 3099206

Kwa kifupi hotuba ya Rais imewaponya na kuwapa ujasiri watekaji waliokuwa wameanza kupata hofu na mioyo yao kubondeka baada ya jamii kuungana pamoja kuwakabili.

From President speech, No one is SAFE even herself. Sheria ya Usalama wa Taifa IFUTWE na Rais apunguziwe madaraka.
Humo ndani mwao ni mtifuano mama amehalalisha hiyo mipango hakuna aliyeko salama!!
 
Kawaida ya Wanawake wa Pwani.

By the way, ametoa siri kuwa ndani ya Chadema kuna mapandikizi yao mle. Otherwise, hawawezi kuwa na uhakika wa kile kinachopangwa ndani ya mikutano yao.

Hiyo pia anaweza kuongea kutaka kuwafitinisha tu sometimes. Yote yanawezekana
 
Hiyo ni opinion yako tu.

If anything leo walau kwenye mambo ya msingi kaongea kama kiongozi.

Uongozi ni msimamo, maana yeye ndio mwenye maamuzi ya mwisho na kaweka ultimatums huruma una mipaka. Na serikali yake sio ya kupangiwa.

Nadhani yale ya kitaalamu kayaelezea kwa ufasaha sana mpaka maafande kufurahi.

Shida ni tonne yake, uwezi kuongea serious issue na sauti ya kulegeza. Na mifano yake sijui uwa anatoa wapi.

Someone needs to tell her samaki wanavyokuwa na kuishi ndio akili inavyoongezeka.


View: https://m.youtube.com/watch?v=Mj1t0lp4llI&pp=ygUbb3JjYSBhdHRhY2tpbmcgc2VhbCBvbiBpY2Ug

Kwenye pods za Ocra ni matriarchal bibi ndio anaongoza attack, kwa kufundisha njia ya kutengeneza mawimbi ili kuvunja iceberg ambayo seal kakimbllia ukienda North pole.

South pole wanambinu nyingine ya kukamata seal na wakubwa ndio wanambinu ya kwenda shallow waters.

Wakishiba wakiona seal au penguin wana mzunguka na kuwaachia watoto wajifunze head kicking ya kuvunja mifupa na kumrusha kitoweo kwa mkia kumchanganya akili.

Ukienda kwa akina nyangumi vile vile wazoefu ndio wanaotengeneza bubbles kuwakusanya samaki eneo moja, na kuanza kuwameza wakitokea chini. Dolphins nao wana mbinu hizo hizo.

Blue fin tuna wakubwa wanajua kuchomoa hook.

Kwa kifupi samaki wanavyokuwa ndio akili inaongezeka. Tupende kujifunza mambo kabla ya kujiropokea kutoka vichwani. Kuna wildlife documentary luluki YouTube za bure kuelewa wanyama.


Huwa haelewi hata mifano yake. Mfano aliposema anajigeuza CHURA KIZIWI. hebu niambie Logic yake ni nini? Yaani anamuiga maneno Magufuli kujiita Jiwe n.k
 
Back
Top Bottom