beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, "Kama nimekubali kubeba mzigo wa kuongoza hii Nchi, kuna mambo kadhaa yaliyoelekezwa ndani ya Ilani niyatimize. Sitayatimiza kwa kukaa Ofisini Dodoma au hapo Magogoni, lazima nizunguke nitoke nikaonane na watu"
Ameeleza hayo leo katika Uzinduzi wa Kiwanda cha Elsewedy Electric East Africa Limited kilichopo Kisarawe II, Wilaya ya Kigamboni
Amesisitiza kuungwa Mkono katika kuwakaribisha Wawekezaji zaidi hapa Nchini ili Ajira zipatikane na Uchumi ukue
Ameeleza hayo leo katika Uzinduzi wa Kiwanda cha Elsewedy Electric East Africa Limited kilichopo Kisarawe II, Wilaya ya Kigamboni
Amesisitiza kuungwa Mkono katika kuwakaribisha Wawekezaji zaidi hapa Nchini ili Ajira zipatikane na Uchumi ukue