Rais Samia: Nitaendelea kuzunguka kuwaambia wawekezaji waje Tanzania

Rais Samia: Nitaendelea kuzunguka kuwaambia wawekezaji waje Tanzania

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, "Kama nimekubali kubeba mzigo wa kuongoza hii Nchi, kuna mambo kadhaa yaliyoelekezwa ndani ya Ilani niyatimize. Sitayatimiza kwa kukaa Ofisini Dodoma au hapo Magogoni, lazima nizunguke nitoke nikaonane na watu"

Ameeleza hayo leo katika Uzinduzi wa Kiwanda cha Elsewedy Electric East Africa Limited kilichopo Kisarawe II, Wilaya ya Kigamboni

Amesisitiza kuungwa Mkono katika kuwakaribisha Wawekezaji zaidi hapa Nchini ili Ajira zipatikane na Uchumi ukue

FF7AEJpXIAAImUG.jpg

FF7AU24XwAkVA2y.jpg


FF7AU23X0AMso3i.jpg
 
Una umeme wa kutisha?

Mfumo wako wa kodi ni wa kitapeli.

Ukiritimba kila idara.

Sera sheria na Siasa hatabiriki.

Nani atavutiwa kuwekeza?

labda wahuni ndo watakuja kuvuna na kusepa
 
Kesha toa msimamo wake kuwa yeye sio wa kushinda nyumbani, bali atakatiza kila nchi akisaka "wawekezaji"

Sijui kuwa kama huyu mama anatunza kumbukumbu, kuna yule mchina kule Ruvu walimruhusu awekeze kilimo cha mboga mboga, sasa tumeshuhudia huyo muwekezaji akitimuliwa kisa mashine yake ya kusambaza maji ktk bustani yake ni powerful zaidi hivyo imechangia upungufu wa maji 😂😂

Leo tena mama katangaza atasaka wawekezaji nchi za nje waje wawekeze 😳

Nonsense!
 
Samia hao wote waelekeze Pemba na Unguja huku bala tuna Mlima Kilimanjalo na mbuga za wanyama kibao atuitajii viwanda.
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, "Kama nimekubali kubeba mzigo wa kuongoza hii Nchi, kuna mambo kadhaa yaliyoelekezwa ndani ya Ilani niyatimize. Sitayatimiza kwa kukaa Ofisini Dodoma au hapo Magogoni, lazima nizunguke nitoke nikaonane na watu"

Ameeleza hayo leo katika Uzinduzi wa Kiwanda cha p kilichopo Kisarawe II, Wilaya ya Kigamboni

Amesisitiza kuungwa Mkono katika kuwakaribisha Wawekezaji zaidi hapa Nchini ili Ajira zipatikane na Uchumi ukue
Go mama goo., wewe na Magufuli ni kitu kimoja
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, "Kama nimekubali kubeba mzigo wa kuongoza hii Nchi, kuna mambo kadhaa yaliyoelekezwa ndani ya Ilani niyatimize. Sitayatimiza kwa kukaa Ofisini Dodoma au hapo Magogoni, lazima nizunguke nitoke nikaonane na watu...
Zunguka maza zunguka

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kazi nzuri ila tu atanfulize maslahi yetu watz kwanza. Hao wawekezaji wasije kushindana na viwanda vya wazawa, Isije siku tukageuka watumwa nchini mwetu.
 
Kesha toa msimamo wake kuwa yeye sio wa kushinda nyumbani, bali atakatiza kila nchi akisaka "wawekezaji"

Sijui kuwa kama huyu mama anatunza kumbukumbu, kuna yule mchina kule Ruvu walimruhusu awekeze kilimo cha mboga mboga...
Masikini anatembea kwa matajiri kuomba waje wafanyie biashara shambani kwake

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
yaani unazunguka nje unaacha huku watu wanapiga pesa ...

huyu mama 0 brain kweli kweli
 
Kesha toa msimamo wake kuwa yeye sio wa kushinda nyumbani, bali atakatiza kila nchi akisaka "wawekezaji"

Sijui kuwa kama huyu mama anatunza kumbukumbu, kuna yule mchina kule Ruvu walimruhusu awekeze kilimo cha mboga mboga, sasa tumeshuhudia huyo muwekezaji akitimuliwa kisa mashine yake ya kusambaza maji ktk bustani yake ni powerful zaidi hivyo imechangia upungufu wa maji 😂😂

Leo tena mama katangaza atasaka wawekezaji nchi za nje waje wawekeze 😳

Nonsense!
Muwekezaji wa tsh 60m!!?..atumalizie maji!!..
 
Tafuta pesa mama, hawa wajinga wapiga Domo wa ndani hawana hata cherehani

Ziara zako tumeona tija na pia zitasaidia kurudisha imani ya kujiajiri na kuajiriwa.

Kuna wale walikuwa wanaimba viwanda wakaishia eti kutaja cherehani, pumbavu zao.
 
Back
Top Bottom