Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Royal tour kwani haikutimiza lengo? Just curious. Urais ni taasisi, wanaojumuisha uwepo wa taasisi hiyo msimuachie Mama mzigo. Waziri wa biashara jiongeze mtue Mama mzigo, usimchoshe. Lazima uelewe fasihi za kiswahili chetu. Binafsi nawaza nadhani Mama anakushtua uzinduke na kuwajibika. Tanzania inawahitaji wawekezaji lakini watakaokubali "win win model"."Ninalazimika Kusafiri nje ya nchi na Nitasafiri mno tu ili Kuwavutia zaidi Wawekezaji na kamwe sitokaa tu Ikulu ya Chamwino na Magogoni Kisha Watu wengine wanawadanganya Wawekezaji kuhusu Tanzania na tunawakosa kisha nchi yetu inazidi Kuanguka Kiuchumi" Rais Samia jana Kigamboni.
Hata muda huu, nimetoka. kumchangia nauliMwendazake alishaharibu nje huko nyie maadui zake mwacheni maza akayajenge huko hii nchi aiendi bila tafu, kwani anakuja kuomba nauli kwenu?
Lini umeanza uoga!?Ewe Mwenyezi Mungu usiniache Baba!!
Masoud ana visa sana!Tulipigwa na chanzo cha matatizo yote haya ni Kikwete.Kikwete is the cursed creature!
View attachment 2035453
Si kiherehere chakoHata muda huu, nimetoka. kumchangia nauli
CCM ni janga la kitaifaKuna waliosema ndege zilizonunuliwa zitaongeza watalii!!!!
kulipa kodi si kiherehere changu ndugu. ni wajibu wangu kama raia.Si kiherehere chako