Dili za ma trillion kwa zoom meeting are you serious ..?Basi atumie zoom meeting au email au simu au awaite waje awaonyeshe
Go mama goo., wewe na Magufuli ni kitu kimojaRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, "Kama nimekubali kubeba mzigo wa kuongoza hii Nchi, kuna mambo kadhaa yaliyoelekezwa ndani ya Ilani niyatimize. Sitayatimiza kwa kukaa Ofisini Dodoma au hapo Magogoni, lazima nizunguke nitoke nikaonane na watu"
Ameeleza hayo leo katika Uzinduzi wa Kiwanda cha p kilichopo Kisarawe II, Wilaya ya Kigamboni
Amesisitiza kuungwa Mkono katika kuwakaribisha Wawekezaji zaidi hapa Nchini ili Ajira zipatikane na Uchumi ukue
Zunguka maza zungukaRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, "Kama nimekubali kubeba mzigo wa kuongoza hii Nchi, kuna mambo kadhaa yaliyoelekezwa ndani ya Ilani niyatimize. Sitayatimiza kwa kukaa Ofisini Dodoma au hapo Magogoni, lazima nizunguke nitoke nikaonane na watu...
Masikini anatembea kwa matajiri kuomba waje wafanyie biashara shambani kwakeKesha toa msimamo wake kuwa yeye sio wa kushinda nyumbani, bali atakatiza kila nchi akisaka "wawekezaji"
Sijui kuwa kama huyu mama anatunza kumbukumbu, kuna yule mchina kule Ruvu walimruhusu awekeze kilimo cha mboga mboga...
SUKUMA GANG...MTAELEWA TU SAFARI HIIUna umeme wa kutisha?
Mfumo wako wa kodi ni wa kitapeli...
Anakeraa sanaMasikini anatembea kwa matajiri kuomba waje wafanyie biashara shambani kwake
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Muwekezaji wa tsh 60m!!?..atumalizie maji!!..Kesha toa msimamo wake kuwa yeye sio wa kushinda nyumbani, bali atakatiza kila nchi akisaka "wawekezaji"
Sijui kuwa kama huyu mama anatunza kumbukumbu, kuna yule mchina kule Ruvu walimruhusu awekeze kilimo cha mboga mboga, sasa tumeshuhudia huyo muwekezaji akitimuliwa kisa mashine yake ya kusambaza maji ktk bustani yake ni powerful zaidi hivyo imechangia upungufu wa maji ππ
Leo tena mama katangaza atasaka wawekezaji nchi za nje waje wawekeze π³
Nonsense!
Magu alikaa ndani na zikapigwa..unataka akashinde bandarini au TRA,au migodini!!?..Pana vyombo vya kufanya hayoyaani unazunguka nje unaacha huku watu wanapiga pesa ...
huyu mama 0 brain kweli kweli