Rais Samia, Ondoa RC Tabora na DC Nzega, Hawajitambui

Unakuwa kiongoz halafu huwaheshimu viongozi wa juu yako Sasa ww unakuwa kiongoz au takataka ndo maana tunapata mashaka aliteuliwaje mtu mwenye kibuli namna Ile kuwa mkuu wa chuo
Una matatizo ww
 
Na yule mwenye ka IQ kadogo toka jiji la mawe mawe
 
Achana kuzijibu hizi bogus
 
Umejipa kazi ngumu sana kuwaelewesha watu ambao ni radical, wameshakubaliana na mindset zao kutokukubaliana na hoja yako, achana nao
 
Hehe he,taratibu na sheria zipo,labda TZ ni taifa la kusadikika
 
Viongozi wamejaa majivuno na majigambo wanajiona miungu watu
 
Mtu mlevi analeta dharau kwenyekazi unataka hatua Kali zisichukuliwe?! Hapa sio marekani hii ninchi maskini ukipewa kazi ya Kodi za maskini Acha upumbafu au kajiajiri huko kwenu!!
Huyo mlevi alistahili mikofi mizito kabla yakwenda ndani mbambafu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…