Rais Samia, Ondoa RC Tabora na DC Nzega, Hawajitambui

Rais Samia, Ondoa RC Tabora na DC Nzega, Hawajitambui

Nchi hii inashindwa kufika mahali ilipotakiwa kufika kwa sababu ya kuongozwa na watu wasiojitambua, wasiojua wajibu wao wala mipaka ya mamlaka yao.

Kuna habari zinazunguka mitandaoni kuwa eti DC wa Nzega ameamuru mkuu wa Chuo Cha Madini Nzega awekwe ndani kwa sababu alishindwa kumjibu mkuu wa Mkoa wa Tabora alipotembelea chuo hicho.

Kwanza, hawa viongozi, wote wawili ni dhahiri inaonekana hawana uelewa wa chochote kwenye mifumo ya utawala.

Chuo cha madini Nzega kipo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kama kuna matatizo kwenye branch hiyo ya UDSM, walitakiwa kuwasilidha malalamiko yao kwa mkuu wa Chuo Kikuu, UDSM, ambaye ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete au Vice Chancelor wake.

Bila shaka hawa viongozi ni wale malimbukeni wa madaraka. Kwa vile tu sheria inatamka kuwa wanaweza kutoa amri ya kumweka mtu ndani kwa muda usiozidi masaa 48, kwa ujinga wa kutojua mantiki ya sheria hiyo, wanaichukulia kumweka mtu ndani ni kama adhabu, wakati lengo la sheria hiyo lilikuwa kwa kuzingatia mazingira ya nyakati na mahali. Mathalani mtu anaonekana akiwa huru anaweza kuendelea kudhuru au kudhuriwa, na vyombo vya kisheria vya udhibiti havipo eneo la karibu, basi mkuu wa mkoa au wilaya, alipewa mamlaka hayo ili kipindi hicho akiwa ndani, kitumike kuwasiliana na mamlaka husika. Unajiuliza, huyo mkuu wa hiyo branch ya UDSM alikuwa anamdhuru nani hadi awekwe ndani, jibu linakuwa moja tu, kuwa huyo DC inaonekana ni empty kabisa kichwani kwa masuala ya utawala na sheria.

Rais anapoteua watu kwenye nafasi fulani, hasa kwa nchi iliyojaa machawa, rushwa na vyombo dhaifu vya vetting, inakuwa ni kubahatisha, lakini inapodhihirika, kama ilivyo kwa hawa watu, kuwa wateule ni watu duni kiutendaji, inatakiwa kuwafukuza mara moja kabla hawajaleta madhara makubwa zaidi.
Hivi mfano ukifika hapo chuo ukaona takataka.. nimpigie simu Jakaya Kikwete?! Mkuu wa Mkoa anahusika na issue zozote ndani ya mkoa wake ... Na ikibidi atakapoona kuna tishio la kiusalama ana mamlaka ya kuchukua hatua akiwa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa .. sijaelewa saga Lao ..
 
Nchi hii inashindwa kufika mahali ilipotakiwa kufika kwa sababu ya kuongozwa na watu wasiojitambua, wasiojua wajibu wao wala mipaka ya mamlaka yao.

Kuna habari zinazunguka mitandaoni kuwa eti DC wa Nzega ameamuru mkuu wa Chuo Cha Madini Nzega awekwe ndani kwa sababu alishindwa kumjibu mkuu wa Mkoa wa Tabora alipotembelea chuo hicho.

Kwanza, hawa viongozi, wote wawili ni dhahiri inaonekana hawana uelewa wa chochote kwenye mifumo ya utawala.

Chuo cha madini Nzega kipo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kama kuna matatizo kwenye branch hiyo ya UDSM, walitakiwa kuwasilidha malalamiko yao kwa mkuu wa Chuo Kikuu, UDSM, ambaye ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete au Vice Chancelor wake.

Bila shaka hawa viongozi ni wale malimbukeni wa madaraka. Kwa vile tu sheria inatamka kuwa wanaweza kutoa amri ya kumweka mtu ndani kwa muda usiozidi masaa 48, kwa ujinga wa kutojua mantiki ya sheria hiyo, wanaichukulia kumweka mtu ndani ni kama adhabu, wakati lengo la sheria hiyo lilikuwa kwa kuzingatia mazingira ya nyakati na mahali. Mathalani mtu anaonekana akiwa huru anaweza kuendelea kudhuru au kudhuriwa, na vyombo vya kisheria vya udhibiti havipo eneo la karibu, basi mkuu wa mkoa au wilaya, alipewa mamlaka hayo ili kipindi hicho akiwa ndani, kitumike kuwasiliana na mamlaka husika. Unajiuliza, huyo mkuu wa hiyo branch ya UDSM alikuwa anamdhuru nani hadi awekwe ndani, jibu linakuwa moja tu, kuwa huyo DC inaonekana ni empty kabisa kichwani kwa masuala ya utawala na sheria.

Rais anapoteua watu kwenye nafasi fulani, hasa kwa nchi iliyojaa machawa, rushwa na vyombo dhaifu vya vetting, inakuwa ni kubahatisha, lakini inapodhihirika, kama ilivyo kwa hawa watu, kuwa wateule ni watu duni kiutendaji, inatakiwa kuwafukuza mara moja kabla hawajaleta madhara makubwa zaidi.
Tathmini ya Hali ya Sekta ya Madini Nchini Tanzania

Watumishi wa Tume ya Madini nchini Tanzania, hususan katika makao makuu Dodoma na maeneo mengine kama Geita, Chunya, Mara, Mererani, na Songwe, wamekuwa wakikabiliwa na malalamiko makubwa yanayoashiria kuwa wanatumika kama miungu watu.

Hali hii inatokana na kukoseka kwa mabadiliko ya mara kwa mara ya vituo vya kazi, ambapo watumishi wengi awajahamishwa vituo vya kazi. Wengine wanatakiwa kufukuzwa kazi, na kupisha uchunguzi.

Miongoni mwa matatizo makubwa yanayoikabili sekta ya madini ni utoroshaji wa dhahabu. Leseni zote za madini nchini zimekuwa zikichukuliwa na kugawanywa na watumishi wa Tume ya Madini, ambapo baadhi yao wanashiriki kwenye utoroshaji huo.

Utafiti wa kina umeonyesha kuwa kuna mtandao wa watu wanaohusika katika shughuli hizi, na baadhi yao wanatumia nafasi zao katika Tume kuendeleza shughuli haramu za utoroshaji.

Hali hii inatia shaka kuhusu uadilifu wa baadhi ya watumishi wa Tume ya Madini na ushirikiano wa vyombo vya usalama kama TISS (Tanzania Intelligence and Security Service) katika maeneo haya.

Wakati ambapo TISS inapaswa kuwa chombo cha kulinda rasilimali za taifa, kuna dalili za kushiriki kwao katika utoroshaji wa madini. Hii ni hatari kwa uchumi wa nchi na inaathiri maendeleo ya jamii zinazotegemea rasilimali hizo.

Aidha, mabadiliko ya mara kwa mara ya vituo vya kazi yanachangia kukosekana kwa ufanisi katika usimamizi wa shughuli za madini. Watumishi wanapohamishwa mara kwa mara, inakuwa vigumu kwao kujenga uhusiano mzuri na jamii na wadau wengine, jambo linalohitaji ushirikiano wa karibu. Matokeo yake ni kwamba shughuli za madini zinaweza kukosa uangalizi mzuri, hivyo kuongeza hatari ya uvunjifu wa sheria.

Kwa kuzingatia hali hii, ni muhimu kwa serikali na viongozi wa Tume ya Madini kuchukua hatua stahiki ili kurekebisha mfumo wa usimamizi wa madini nchini. Kwanza, inapaswa kuwepo na uwazi katika utoaji wa leseni na usimamizi wa rasilimali. Pili, ni lazima kuwe na utaratibu mzuri wa kushughulikia malalamiko ya watumishi, ili kuhakikisha haki zao zinalindwa na wanapata mazingira bora ya kazi.

Hatimaye, jamii inapaswa kuhamasishwa kutoa taarifa kuhusu vitendo vya utoroshaji wa madini. Ushirikiano kati ya serikali, TISS, na jamii ni muhimu ili kuhakikisha kuwa rasilimali za madini zinatumika kwa manufaa ya kizazi cha sasa na vijavyo. Katika dunia ya leo, ni lazima sekta ya madini iwe na uwazi, uadilifu, na usimamizi mzuri ili kuchangia katika maendeleo ya nchi.
 
Nchi hii inashindwa kufika mahali ilipotakiwa kufika kwa sababu ya kuongozwa na watu wasiojitambua, wasiojua wajibu wao wala mipaka ya mamlaka yao.

Kuna habari zinazunguka mitandaoni kuwa eti DC wa Nzega ameamuru mkuu wa Chuo Cha Madini Nzega awekwe ndani kwa sababu alishindwa kumjibu mkuu wa Mkoa wa Tabora alipotembelea chuo hicho.

Kwanza, hawa viongozi, wote wawili ni dhahiri inaonekana hawana uelewa wa chochote kwenye mifumo ya utawala.

Chuo cha madini Nzega kipo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kama kuna matatizo kwenye branch hiyo ya UDSM, walitakiwa kuwasilidha malalamiko yao kwa mkuu wa Chuo Kikuu, UDSM, ambaye ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete au Vice Chancelor wake.

Bila shaka hawa viongozi ni wale malimbukeni wa madaraka. Kwa vile tu sheria inatamka kuwa wanaweza kutoa amri ya kumweka mtu ndani kwa muda usiozidi masaa 48, kwa ujinga wa kutojua mantiki ya sheria hiyo, wanaichukulia kumweka mtu ndani ni kama adhabu, wakati lengo la sheria hiyo lilikuwa kwa kuzingatia mazingira ya nyakati na mahali. Mathalani mtu anaonekana akiwa huru anaweza kuendelea kudhuru au kudhuriwa, na vyombo vya kisheria vya udhibiti havipo eneo la karibu, basi mkuu wa mkoa au wilaya, alipewa mamlaka hayo ili kipindi hicho akiwa ndani, kitumike kuwasiliana na mamlaka husika. Unajiuliza, huyo mkuu wa hiyo branch ya UDSM alikuwa anamdhuru nani hadi awekwe ndani, jibu linakuwa moja tu, kuwa huyo DC inaonekana ni empty kabisa kichwani kwa masuala ya utawala na sheria.

Rais anapoteua watu kwenye nafasi fulani, hasa kwa nchi iliyojaa machawa, rushwa na vyombo dhaifu vya vetting, inakuwa ni kubahatisha, lakini inapodhihirika, kama ilivyo kwa hawa watu, kuwa wateule ni watu duni kiutendaji, inatakiwa kuwafukuza mara moja kabla hawajaleta madhara makubwa zaidi.
Kwaiyo mkuu wa chuo aje amelewa kazini harafu aachwe tu?
 
Kama wanaamini kuna kosa amefanya wanatakiwa kupeleka malalamiko yao kwa mwajiri wake, ambaye ni UDSM.


Ni lini uliwahi kusikia RC wa Dar au Dodoma, walienda UDSM au UDOM kuwafukuza wafanyakazi au kuwaweka ndani kwa sababu wameshindwa kutekeleza wajibu wao.

Huyo DC na RC, ni limbukeni wa madaraka wasiojua ukomo wa madaraka yao.
Lile jamaa sijui likuu la chuo lina kiburi sana halafu ni lishamba. Unajibu vipi kiholrla tu mamlaka. Kama umekuja huku kulitetea liambie liache upuuzi
 
Kama wanaamini kuna kosa amefanya wanatakiwa kupeleka malalamiko yao kwa mwajiri wake, ambaye ni UDSM.


Ni lini uliwahi kusikia RC wa Dar au Dodoma, walienda UDSM au UDOM kuwafukuza wafanyakazi au kuwaweka ndani kwa sababu wameshindwa kutekeleza wajibu wao.

Huyo DC na RC, ni limbukeni wa madaraka wasiojua ukomo wa madaraka yao.
Kwa hiyo ikitokea hata chuo kinaungua moto wawasiliane na UDSM waje kuzima et?
 
Nchi hii inashindwa kufika mahali ilipotakiwa kufika kwa sababu ya kuongozwa na watu wasiojitambua, wasiojua wajibu wao wala mipaka ya mamlaka yao.

Kuna habari zinazunguka mitandaoni kuwa eti DC wa Nzega ameamuru mkuu wa Chuo Cha Madini Nzega awekwe ndani kwa sababu alishindwa kumjibu mkuu wa Mkoa wa Tabora alipotembelea chuo hicho.

Kwanza, hawa viongozi, wote wawili ni dhahiri inaonekana hawana uelewa wa chochote kwenye mifumo ya utawala.

Chuo cha madini Nzega kipo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kama kuna matatizo kwenye branch hiyo ya UDSM, walitakiwa kuwasilidha malalamiko yao kwa mkuu wa Chuo Kikuu, UDSM, ambaye ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete au Vice Chancelor wake.

Bila shaka hawa viongozi ni wale malimbukeni wa madaraka. Kwa vile tu sheria inatamka kuwa wanaweza kutoa amri ya kumweka mtu ndani kwa muda usiozidi masaa 48, kwa ujinga wa kutojua mantiki ya sheria hiyo, wanaichukulia kumweka mtu ndani ni kama adhabu, wakati lengo la sheria hiyo lilikuwa kwa kuzingatia mazingira ya nyakati na mahali. Mathalani mtu anaonekana akiwa huru anaweza kuendelea kudhuru au kudhuriwa, na vyombo vya kisheria vya udhibiti havipo eneo la karibu, basi mkuu wa mkoa au wilaya, alipewa mamlaka hayo ili kipindi hicho akiwa ndani, kitumike kuwasiliana na mamlaka husika. Unajiuliza, huyo mkuu wa hiyo branch ya UDSM alikuwa anamdhuru nani hadi awekwe ndani, jibu linakuwa moja tu, kuwa huyo DC inaonekana ni empty kabisa kichwani kwa masuala ya utawala na sheria.

Rais anapoteua watu kwenye nafasi fulani, hasa kwa nchi iliyojaa machawa, rushwa na vyombo dhaifu vya vetting, inakuwa ni kubahatisha, lakini inapodhihirika, kama ilivyo kwa hawa watu, kuwa wateule ni watu duni kiutendaji, inatakiwa kuwafukuza mara moja kabla hawajaleta madhara makubwa zaidi.
Duh
 
Wewe ndio limbukeni na mbumbumbu wa utawala. Yani mkuu wa wilaya aache kuhoji taasisi yeyote ya serikali iliyopo katika wilaya yake hivi una akili timamu kweli wewe? Unajua majukumu ya mkuu wa wilaya kikatiba.?
 
Nchi hii inashindwa kufika mahali ilipotakiwa kufika kwa sababu ya kuongozwa na watu wasiojitambua, wasiojua wajibu wao wala mipaka ya mamlaka yao.

Kuna habari zinazunguka mitandaoni kuwa eti DC wa Nzega ameamuru mkuu wa Chuo Cha Madini Nzega awekwe ndani kwa sababu alishindwa kumjibu mkuu wa Mkoa wa Tabora alipotembelea chuo hicho.

Kwanza, hawa viongozi, wote wawili ni dhahiri inaonekana hawana uelewa wa chochote kwenye mifumo ya utawala.

Chuo cha madini Nzega kipo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kama kuna matatizo kwenye branch hiyo ya UDSM, walitakiwa kuwasilidha malalamiko yao kwa mkuu wa Chuo Kikuu, UDSM, ambaye ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete au Vice Chancelor wake.

Bila shaka hawa viongozi ni wale malimbukeni wa madaraka. Kwa vile tu sheria inatamka kuwa wanaweza kutoa amri ya kumweka mtu ndani kwa muda usiozidi masaa 48, kwa ujinga wa kutojua mantiki ya sheria hiyo, wanaichukulia kumweka mtu ndani ni kama adhabu, wakati lengo la sheria hiyo lilikuwa kwa kuzingatia mazingira ya nyakati na mahali. Mathalani mtu anaonekana akiwa huru anaweza kuendelea kudhuru au kudhuriwa, na vyombo vya kisheria vya udhibiti havipo eneo la karibu, basi mkuu wa mkoa au wilaya, alipewa mamlaka hayo ili kipindi hicho akiwa ndani, kitumike kuwasiliana na mamlaka husika. Unajiuliza, huyo mkuu wa hiyo branch ya UDSM alikuwa anamdhuru nani hadi awekwe ndani, jibu linakuwa moja tu, kuwa huyo DC inaonekana ni empty kabisa kichwani kwa masuala ya utawala na sheria.

Rais anapoteua watu kwenye nafasi fulani, hasa kwa nchi iliyojaa machawa, rushwa na vyombo dhaifu vya vetting, inakuwa ni kubahatisha, lakini inapodhihirika, kama ilivyo kwa hawa watu, kuwa wateule ni watu duni kiutendaji, inatakiwa kuwafukuza mara moja kabla hawajaleta madhara makubwa zaidi.
Naunga mkono hoja kwa asilimia mia
 
Kama wanaamini kuna kosa amefanya wanatakiwa kupeleka malalamiko yao kwa mwajiri wake, ambaye ni UDSM.


Ni lini uliwahi kusikia RC wa Dar au Dodoma, walienda UDSM au UDOM kuwafukuza wafanyakazi au kuwaweka ndani kwa sababu wameshindwa kutekeleza wajibu wao.

Huyo DC na RC, ni limbukeni wa madaraka wasiojua ukomo wa madaraka yao.
Acha kuleta ubishi mkuu. DC na RC ni wakuu wa maeneo husika sheria inawaruhusu.
 
Nchi hii inashindwa kufika mahali ilipotakiwa kufika kwa sababu ya kuongozwa na watu wasiojitambua, wasiojua wajibu wao wala mipaka ya mamlaka yao.

Kuna habari zinazunguka mitandaoni kuwa eti DC wa Nzega ameamuru mkuu wa Chuo Cha Madini Nzega awekwe ndani kwa sababu alishindwa kumjibu mkuu wa Mkoa wa Tabora alipotembelea chuo hicho.

Kwanza, hawa viongozi, wote wawili ni dhahiri inaonekana hawana uelewa wa chochote kwenye mifumo ya utawala.

Chuo cha madini Nzega kipo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kama kuna matatizo kwenye branch hiyo ya UDSM, walitakiwa kuwasilidha malalamiko yao kwa mkuu wa Chuo Kikuu, UDSM, ambaye ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete au Vice Chancelor wake.

Bila shaka hawa viongozi ni wale malimbukeni wa madaraka. Kwa vile tu sheria inatamka kuwa wanaweza kutoa amri ya kumweka mtu ndani kwa muda usiozidi masaa 48, kwa ujinga wa kutojua mantiki ya sheria hiyo, wanaichukulia kumweka mtu ndani ni kama adhabu, wakati lengo la sheria hiyo lilikuwa kwa kuzingatia mazingira ya nyakati na mahali. Mathalani mtu anaonekana akiwa huru anaweza kuendelea kudhuru au kudhuriwa, na vyombo vya kisheria vya udhibiti havipo eneo la karibu, basi mkuu wa mkoa au wilaya, alipewa mamlaka hayo ili kipindi hicho akiwa ndani, kitumike kuwasiliana na mamlaka husika. Unajiuliza, huyo mkuu wa hiyo branch ya UDSM alikuwa anamdhuru nani hadi awekwe ndani, jibu linakuwa moja tu, kuwa huyo DC inaonekana ni empty kabisa kichwani kwa masuala ya utawala na sheria.

Rais anapoteua watu kwenye nafasi fulani, hasa kwa nchi iliyojaa machawa, rushwa na vyombo dhaifu vya vetting, inakuwa ni kubahatisha, lakini inapodhihirika, kama ilivyo kwa hawa watu, kuwa wateule ni watu duni kiutendaji, inatakiwa kuwafukuza mara moja kabla hawajaleta madhara makubwa zaidi.
Ni KWELI kwa 100%
 
Kama wanaamini kuna kosa amefanya wanatakiwa kupeleka malalamiko yao kwa mwajiri wake, ambaye ni UDSM.


Ni lini uliwahi kusikia RC wa Dar au Dodoma, walienda UDSM au UDOM kuwafukuza wafanyakazi au kuwaweka ndani kwa sababu wameshindwa kutekeleza wajibu wao.

Huyo DC na RC, ni limbukeni wa madaraka wasiojua ukomo wa madaraka yao.
Hizo akili zako zinatuchelewesha sanaaa.
 
Nchi hii inashindwa kufika mahali ilipotakiwa kufika kwa sababu ya kuongozwa na watu wasiojitambua, wasiojua wajibu wao wala mipaka ya mamlaka yao.

Kuna habari zinazunguka mitandaoni kuwa eti DC wa Nzega ameamuru mkuu wa Chuo Cha Madini Nzega awekwe ndani kwa sababu alishindwa kumjibu mkuu wa Mkoa wa Tabora alipotembelea chuo hicho.

Kwanza, hawa viongozi, wote wawili ni dhahiri inaonekana hawana uelewa wa chochote kwenye mifumo ya utawala.

Chuo cha madini Nzega kipo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kama kuna matatizo kwenye branch hiyo ya UDSM, walitakiwa kuwasilidha malalamiko yao kwa mkuu wa Chuo Kikuu, UDSM, ambaye ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete au Vice Chancelor wake.

Bila shaka hawa viongozi ni wale malimbukeni wa madaraka. Kwa vile tu sheria inatamka kuwa wanaweza kutoa amri ya kumweka mtu ndani kwa muda usiozidi masaa 48, kwa ujinga wa kutojua mantiki ya sheria hiyo, wanaichukulia kumweka mtu ndani ni kama adhabu, wakati lengo la sheria hiyo lilikuwa kwa kuzingatia mazingira ya nyakati na mahali. Mathalani mtu anaonekana akiwa huru anaweza kuendelea kudhuru au kudhuriwa, na vyombo vya kisheria vya udhibiti havipo eneo la karibu, basi mkuu wa mkoa au wilaya, alipewa mamlaka hayo ili kipindi hicho akiwa ndani, kitumike kuwasiliana na mamlaka husika. Unajiuliza, huyo mkuu wa hiyo branch ya UDSM alikuwa anamdhuru nani hadi awekwe ndani, jibu linakuwa moja tu, kuwa huyo DC inaonekana ni empty kabisa kichwani kwa masuala ya utawala na sheria.

Rais anapoteua watu kwenye nafasi fulani, hasa kwa nchi iliyojaa machawa, rushwa na vyombo dhaifu vya vetting, inakuwa ni kubahatisha, lakini inapodhihirika, kama ilivyo kwa hawa watu, kuwa wateule ni watu duni kiutendaji, inatakiwa kuwafukuza mara moja kabla hawajaleta madhara makubwa zaidi.
Huna point kwa hili.
 
Nawashauri waende na hapo Nzega DC wakamsweke ndani DED!

Hiyo Halmashauri inadaiwa na wastaafu wa toka 2019,mwajiri hapeleki michango PSSSF wanapata mafao pungufu.
 
JF haiwezi kuwa kichaka cha kutetea wahuni. RC Chacha yupo sahihi, hakuna Mkuu wa Chuo hapo.
 
Nchi hii inashindwa kufika mahali ilipotakiwa kufika kwa sababu ya kuongozwa na watu wasiojitambua, wasiojua wajibu wao wala mipaka ya mamlaka yao.

Kuna habari zinazunguka mitandaoni kuwa eti DC wa Nzega ameamuru mkuu wa Chuo Cha Madini Nzega awekwe ndani kwa sababu alishindwa kumjibu mkuu wa Mkoa wa Tabora alipotembelea chuo hicho.

Kwanza, hawa viongozi, wote wawili ni dhahiri inaonekana hawana uelewa wa chochote kwenye mifumo ya utawala.

Chuo cha madini Nzega kipo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kama kuna matatizo kwenye branch hiyo ya UDSM, walitakiwa kuwasilidha malalamiko yao kwa mkuu wa Chuo Kikuu, UDSM, ambaye ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete au Vice Chancelor wake.

Bila shaka hawa viongozi ni wale malimbukeni wa madaraka. Kwa vile tu sheria inatamka kuwa wanaweza kutoa amri ya kumweka mtu ndani kwa muda usiozidi masaa 48, kwa ujinga wa kutojua mantiki ya sheria hiyo, wanaichukulia kumweka mtu ndani ni kama adhabu, wakati lengo la sheria hiyo lilikuwa kwa kuzingatia mazingira ya nyakati na mahali. Mathalani mtu anaonekana akiwa huru anaweza kuendelea kudhuru au kudhuriwa, na vyombo vya kisheria vya udhibiti havipo eneo la karibu, basi mkuu wa mkoa au wilaya, alipewa mamlaka hayo ili kipindi hicho akiwa ndani, kitumike kuwasiliana na mamlaka husika. Unajiuliza, huyo mkuu wa hiyo branch ya UDSM alikuwa anamdhuru nani hadi awekwe ndani, jibu linakuwa moja tu, kuwa huyo DC inaonekana ni empty kabisa kichwani kwa masuala ya utawala na sheria.

Rais anapoteua watu kwenye nafasi fulani, hasa kwa nchi iliyojaa machawa, rushwa na vyombo dhaifu vya vetting, inakuwa ni kubahatisha, lakini inapodhihirika, kama ilivyo kwa hawa watu, kuwa wateule ni watu duni kiutendaji, inatakiwa kuwafukuza mara moja kabla hawajaleta madhara makubwa zaidi.
Hili suala unalijua vizuri au unalidandia tu?
 
Back
Top Bottom