beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Polisi wanapokamata watu hawatakiwi kufanya vitisho, lakini hali inayoonekana Mitaani ni ya vitisho na kutia hofu
Akiwa katika Mahafali ya Kufunga Mafunzo ya Uofisa Kazi No. 1/2021 amesema, "Wakati mwingine mtu anakamatwa tu bila kosa la maana. Zipo tuhuma za Rushwa zinasemwa, na nyingine tunaziona kwenye 'viclip' vinavyorushwa"
Vilevile amesema pamoja na kwamba Askari ni msimamizi wa Sheria, wapo baadhi ambao wanakosa uaminifu na kuzivunja, akieleza "Wanachota mali za watu, wanachota mali za Serikali"
Akiwa katika Mahafali ya Kufunga Mafunzo ya Uofisa Kazi No. 1/2021 amesema, "Wakati mwingine mtu anakamatwa tu bila kosa la maana. Zipo tuhuma za Rushwa zinasemwa, na nyingine tunaziona kwenye 'viclip' vinavyorushwa"
Vilevile amesema pamoja na kwamba Askari ni msimamizi wa Sheria, wapo baadhi ambao wanakosa uaminifu na kuzivunja, akieleza "Wanachota mali za watu, wanachota mali za Serikali"