Rais Samia: Polisi hawatakiwi kutisha watu wanapowakamata


Kutegemea kuwa watabadilika kwa kupenda kwao, ni kheri kuwaamini fisi kulinda bucha.
 
Akwende huko
 
Achanana nao, Lea familia Na mwombe Mungu wako, ungejua Mimi ni Nani nayeongea Na wewe ungenielewa; sema huwezi kujua
Nina uwezo wa kuelewa bila hata ya kujuwa huyo ninayeongea naye ni nani.

Hapa JF hilo ni jambo la kawaida toka kuanzishwa kwake.
 
Hii ni zaidi ya mara ya tatu, kuwanyooshea polisi vidole kwa mienendo isiyaa na hakuna mabadiliko yeyote.

Kwa nini Mh. Rais usilifumue jeshi lote na kuliunda upya?
Madudu ni mengi jeshi la Polis
 
Nilitaka kushangazwa na mimi kwamba ndiyo amejuwa leo?

Kama anajuwa siku nyingi kama unavyosema, unadhani ni kwanini kaamuwa kusema leo?
Kuna kitu kimoja kinatakiwa kueleweka. mzazi akiwa na tabia mbaya, hata akiwakanya wanaye hawatatilia maanani anayosema, tena wanakuwa wanamdharau. Ni hivi: huwezi kutumia polisi kuiba kura halafu baada ya uchaguzi ujifanye unawaonya waache tabia mbaya. Hawatakusikia na tena watakudharau sana. Huwezi kutumia polisi kupindisha sheria ili wapinzani wasipate haki, halafu wakishafanya hivyo unajifanya kuwaasa wawe na tabia njema, watakudharau. Huwezi kutumia polisi kutengeneza kesi na ushahidi wa uongo ili umkomoe mpinzani usiyempenda, halafu kesho yake uwatake wawe na nidhamu. Watakudharau na kukucheka.
 
Mkuu unawasikiliza na kuwaamini wanasiasa wa kiafrika, hasa kitanzania? Hayo anayesema ili kutimiza wajibu wa kusema na siyo kwamba kwa sababu kweli anaona lipo tatizo ambalo anataka kulitatua. Trust me. Hili ndilo tatizo kubwa la siasa za Tanzania. Watu wanazungumza kitu wasichokiamini ili mradi tu wamesema lakini ndani ya mioyo yao wanaamini mengine kabisa. Hivi si tuliona wakati wa Magufuli alivyokuwa anasifiwa na sasa hivi wale wale waliokuwa wanamsifu wameshaanza kumgeuka vibaya sana?
 
Kwa kauli hii Leo ,,kuna mkeka mrefu utakuja .huo mkeka utakuwa na timu zaidi 20 ,Raisi Samia ,ni Mama na mlezi ,.Nahisi amesoma Sana madrasa ,pia nahisi hapendi kumhukumu MTU Kwa uharaka huwa anapenda kujipa mda .wateule wake wengi Kwa asilimia 100 Wanaendekeza dharau Kwa sababu wanazozijuwa wao ( the time I will tell) huu NI mtazamo wangu
 
Mwendazake aliwapa jeuri sana, eti elf 5 ya kufutia viatu. Aliruhusu rushwa.
 
Amechelewa Sana kufahamu na kama alikuwa anafahamu basi amechelewa kusema na huenda wasimwelewe maana vichwa vyao vimejaa uonevu.
Hajachelewa ametoa mwongozo,huko nyuma kuna aliyetaka kuigeuza police state akisema hongo kwa traffic ni pesa ya kupiga kiwi viatu.
Lakini hawa viongozi wanasiasa waheshimu sheria na katiba ya nchi,wasi.take kuweka mbwembwe kwenye sheria zetu.
 
we mama ungekua kwenye vituo vya polisi huko ndio ungejionea maajabu kitu tunachokutana nacho Mungu ndio anajua.

yaani mpaka nakata roho nawachukia Polisi ni wanyama sana kenge hao mpaka leo nimekua masikini kwa sababu yao mbwa hawa
 

Attachments

  • IMG_0480.MP4
    135.8 KB
Mwendazake aliwapa jeuri sana, eti elf 5 ya kufutia viatu. Aliruhusu rushwa.
we naye acha kuongea utumbo kipindi cha Magufuli dhamana ilikua 24hrs kitu ambacho hakikuwepo na hata ukifika ulikua unahudumiwa kwa adabu zote.

nenda sasa hivi uone hali ilivo
 
Acha kuota wewe. Mnampa sifa hasizokuwa nazo. Kesi za kubambikiwa zilishamiri, watu wamekaa ndani miaka na miaka bila hatia. peleka ujinga wako huko.
we naye acha kuongea utumbo kipindi cha Magufuli dhamana ilikua 24hrs kitu ambacho hakikuwepo na hata ukifika ulikua unahudumiwa kwa adabu zote.

nenda sasa hivi uone hali iliv
 
Police awashauri hivyohivyo na wakati wa uchaguzi wakae watulie wawaachie wananchi kulinda kura zao kwa amani
 
Kwa KATIBA MPYA hilo usemalo Mh.RAIS linawezekana ila kwa KATIBA Iliyopo POLISI WATAENDELEA kitesa,kutisha Kuua KUBAMBIKIZIA Kesi kama ya MBOWE Polisi waTanzania ni Miungu Watu
 
According to gM, mama haijui inchi, nakubaliana nae kabisa, kunasiku ataielewa, vzr
 
Kama unalijua Hilo kwa nini unawaacha mashahidi wa michongo kwenye kesi ya Mbowe na wengi ni polisi hao hao?

Huyu kibibi cha kiarabu ni kanafiki kama Magufuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…