Rais Samia punguza dharau kwa unaowangoza, hazitokusaidia chochote

Kati ya nyuzi zilizofunua rangi halisi za wapinzani ni huu hapa. Kuna hadi matusi ya nguoni yaani kuhusu Rais wa nchi.

Chadema inaweza kufutwa. This is way too much.
 
Sasa huyo ni Men’s mzee baba au kijiti cha amka na bbc kimekupa stimu za kiwaki leo
Hajakosea mkuu. Kuna wakati men au man hutumika kumaanisha “binadamu” au “mtu” (jinsia yoyote). Kama kutumia “mankind”.

Feminists hawaipendi kabisa ndio maana siku hizi haitumiki sana.
 
Malalamiko anaita Kelele

Mjadala wa Katiba anaita Chokochoko

Shughuli halali za kisiasa anaita fujo za kisiasa

Huyu ana dharau sana
Ngoja waje wa kanda maalumu 😜!
 
Nakubaliana na wewe asilimia zote bali naendelea kumuembea msamaha mbele ya mabosi wake umbali wa safari unapokuwa mrefu tutajifunza by default.

Unajua ndege mara nyingi zinaendelea na safari bila rubani(autopilot). Tusitumie nguvu nyingi kwa yeyote anayetutesa tuelekezane taratibu na kwa upole.

Hakuna mtu ambaye anayewaonea watanzania na upole wao kisha akabaki salama. Taifa hili ni la Mungu na atatuondolea kila jiwe tena kwa nguvu zake kuu.

Msifadhaike tujipe moyo tutashinda. Hitimisho kila mtu na amuheshimu bosi wake na hatalaumiwa kwa kufanya hivyo.
 
Anajali nini!? Mtangulizi wake alichaguliwa na wananchi kwa mujibu wa tume ya uchaguzi. Huyo ndiyo alikuwa anawajibika kwa wananchi. Yeye kapewa urais na katiba. Hawajibiki kwa yeyote yule. So, mwacheni alete nyodo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…