Rais Samia punguza dharau kwa unaowangoza, hazitokusaidia chochote

Rais Samia punguza dharau kwa unaowangoza, hazitokusaidia chochote

Kama haitoshi juzi nimekusikia tena ukisema kwamba ninanukuu 'Ninatamani sana kukutana na vyama vya upinzania ila wamechambuka sana angalau sasa wameanza kuwa na mabaraza' mwisho wa kunukuu. Kwa maneno mengine ulimaanisha kwamba utakuwa tyr kukutana na vyama vya upinzani endapo vitaunganishwa kwa namna moja ama nyingine.
Nilitarajia makubwa hasa ustawi wa nchi na pia maridhiano ya kitaifa kutoakana na maovu ya mtangulizi wake!
Nilimpenda sana huyu mama SSH kwa namna alivyoanza na niliwatukana sana humu waliojaribu kumpinga!
Ila sasa naanza kusita na kurudi nyuma kumtetea huyu mama na mbele naona giza totoro!
 
Elimu yake ya kuungaunga kama mchopanga,unategemea awe n akili...huyo ni level ya lusinde au msukuma
Suluhu was born on 27 January 1960 in Makunduchi, an old town on Unguja island, in the Sultanate of Zanzibar.[2]

She completed her secondary education in 1977 and began working. Subsequently, she pursued a number of short-courses on a part-time basis.

In 1986, she graduated from the Institute of Development Management (present-day Mzumbe University) with an advanced diploma in public administration.[3]

Between 1992 and 1994, she attended the University of Manchester and earned a postgraduate diploma in economics.[4]

In 2015, she obtained her MSc in Community Economic Development via a joint-programme between the Open University of Tanzania and the Southern New Hampshire University.[3]
 
Hamia Burundi- na kwa vile unajua kiswahili vizuri huenda ukapata na nafasi ya kufundisha Kiswahili chuo kikuu.
Kwa nini usinishauri kuhamia pengine popote? Kama ni lugha, Kiswahili, Kiingereza na spaniola, zote nazimudu. Lakini sijawahi kutegemea utaalam wa lugha to make my living.

Lugha zinanisaidia tu katika kutimiza majukumu yangu kwenye utaalam wangu. Nimeishi mabara yote isipokuwa Asia, lakini Tanzania ni nchi yangu, ni nyumbani pangu. Lazima tuilinde na tuipiganie dhidi ya yeyote mwenye kuififisha.
 
Cheo cha makamu wa rais kiondolewe hakina maana yoyote zaidi ya kufuja pesa za umma, waziri mkuu apewe mamlaka kamili ya kuunda na kuongoza serikali, succession plan iwe jaji mkuu au spika wa bunge kukaimu nafasi ya rais na kuitisha uchaguzi ndani ya miezi 6.......haya mambo yanawezekana kwa kukamilisha mchakato wa katiba mpya, ambayo wenyewe wanasema wanajenga uchumi..........alisikika pwagu na pwaguzi mmoja maeneo ya kule feri.
Fungu la kukosa
 
Kwa nini usinishauri kuhamia pengine popote? Kama ni lugha, Kiswahili, Kiingereza na spaniola, zote nazimudu. Lakini sijawahi kutegemea utaalam wa lugha to make my living.

Lugha zinanisaidia tu katika kutimiza majukumu yangu kwenye utaalam wangu. Nimeishi mabara yote isipokuwa Asia, lakini Tanzania ni nchi yangu, ni nyumbani pangu. Lazima tuilinde na tuipiganie dhidi ya yeyote mwenye kuififisha.
Nimeona kama panakufaa zaidi
 
Mnataka aimbe mapambio!
Mmawia

ndezi wa lumumba katika uzwazwa wako

1628669744839.png
 
Ulinzi wa mabomu unampa kiburi sn

Katiba yetu ya JMT pamoja na kupitwa na wakati inawatambua Watanzana kwamba ndiyo wenye nchi. Kwamba mamlaka zote katika nchi wenye kuziweka ni Watanzania. Sasa uhalisia wa hili na ubora wa mchakato wa kuwaweka watu kwenye mamlaka ni topic nyingine tofauti.

Hivyo, kwa msingi huu Rais wa JMT anawekwa kwenye hicho kiti na Waatanzania hata kama amerithi toka kwaa mtangulizi ambaye ameshindwa kuendelea na majukumu iwe kwa kifo, maradhi na mangineo.

Hivyo, Rais Samia waliokuweka kwenye hicho kiti ili uwaongoze ni Watanzania period.

Nimekusikia zaidi ya mara 2 kwa masikio yangu ukiita malalamiko genuine kabisa ya maboss wako yaani Watanzania kuwa ni kelele. Mara ya kwanza ilikuwa kwenye kuongezeka kwa bei ya mafuta kutokana na kuongezwa kwa kodi na mara ya pili ilikuwa kwenye hizi tozo za dhulma za miamala. Rais Samia, tofauti na mtangulizi wako wewe unakifahamu vzr sana Kiwahili, kelele na malalamiko ni vitu viwili tofauti kabisa.

Malalamiko ya maboss wako huwezi kuyaita kelele kama huwadharau. Matumizi ya neno kelele ni dalili za waziwazi kwamba unawachukulia poa sana maboss zako. Kuwadharau unaowangoza ambao ndiyo waliokupa hiyo nafasi si sahihi hata kidogo.

Kama haitoshi juzi nimekusikia tena ukisema kwamba ninanukuu 'Ninatamani sana kukutana na vyama vya upinzania ila wamechambuka sana angalau sasa wameanza kuwa na mabaraza' mwisho wa kunukuu. Kwa maneno mengine ulimaanisha kwamba utakuwa tyr kukutana na vyama vya upinzani endapo vitaunganishwa kwa namna moja ama nyingine.

Hizi nazo ni dharau tu hakuna kingine mama. Vyama vya siasa nchi hii haavifiki 100 na msajili anayo register ya hivyo vyama kila kimoja kina malengo yake. Vyama vya siasa si vyama vya wafanyakazi kwamba wataunda federations kama ilivyo tucta etc. Unataka vyama vya siasa viunde trade unions ndiyo ukutane navyo? Mzee Kikwete alikutana mara kadhaa na vyama vya siasa hakuhitaji hayo yako.

Kwa mujibu ya katiba ya JMT, CUF na CCM vyote ni vyama vya siasa tofauti tu ni kwamba CCM iko madarakani. Kuiambia kwamba ili ukutane na CUF lazima ijiunge kwenye baraza hizi ni dharau tu hakuna kingine. Wewe unaswali ninaamini kwamba unaamini yupo Mungu. The fact kwamba CCM iko madarakani haiamaanishi kwamba CCM ni superior kwa CUF ni suala la wakati na majaliwa ya Mungu.

Mwisho nilitarajia sana kifo cha aliyekuwa Rais wa JMT kitukumbushe kwamba wanadamu ni wapitaji tu duniani. Kumdharau mwanadamu mwingine sababu ya nafasi ambayo Mungu amekupa ni makosa makubwa. Kuwa kiongozi si ticket ya ww kuwa bora kuliko unayemuongoza ni suala la ratiba tu ya aliye juu kuliko vyote yaani Mungu kwa sisi tunaoamini uwepo wake.
Huyu bibi ana kiburi sana cha uzima,Mungu akiamua kuchukua pumzi yake mabomu na risasi havitafaa!

Wapo wanaolindwa mpaka na aliens lakini wanakufa tu.

Kiburi na dharau uwa ni dalili za Low level of IQ.
 
Kila zama na kitabu chake. Kazi iko palepale. Mlikuwa mnamdharau kuwa yeye ni mwanamke. Na bado mtazidi kuongeza misamiati.
Sijawahi kumdharau kwa kuwa yeye ni mwanamke ila baada ya mahojiano na BBC ndo nimejua kuwa hana uwezo kabisa
 
Kuna Mama mmoja mtu mzima Jana aliniambia kumbe hakujua kama wanawake wakiwa viongozi wanakuwa na roho mbaya namna hio,akatolea mfano Raisi aliposema wananchi wamekubali tozo za miamala wakati si kweli na jinsi macho yalivyokuwa makavu kuzungumzia suala la Mbowe,yeye anasema bora hata asingelizungumzia
 
Back
Top Bottom