Rais Samia punguza dharau kwa unaowangoza, hazitokusaidia chochote

Rais Samia punguza dharau kwa unaowangoza, hazitokusaidia chochote

Katiba yetu ya JMT pamoja na kupitwa na wakati inawatambua Watanzana kwamba ndiyo wenye nchi. Kwamba mamlaka zote katika nchi wenye kuziweka ni Watanzania. Sasa uhalisia wa hili na ubora wa mchakato wa kuwaweka watu kwenye mamlaka ni topic nyingine tofauti.

Hivyo, kwa msingi huu Rais wa JMT anawekwa kwenye hicho kiti na Waatanzania hata kama amerithi toka kwaa mtangulizi ambaye ameshindwa kuendelea na majukumu iwe kwa kifo, maradhi na mangineo.

Hivyo, Rais Samia waliokuweka kwenye hicho kiti ili uwaongoze ni Watanzania period.

Nimekusikia zaidi ya mara 2 kwa masikio yangu ukiita malalamiko genuine kabisa ya maboss wako yaani Watanzania kuwa ni kelele. Mara ya kwanza ilikuwa kwenye kuongezeka kwa bei ya mafuta kutokana na kuongezwa kwa kodi na mara ya pili ilikuwa kwenye hizi tozo za dhulma za miamala. Rais Samia, tofauti na mtangulizi wako wewe unakifahamu vzr sana Kiwahili, kelele na malalamiko ni vitu viwili tofauti kabisa.

Malalamiko ya maboss wako huwezi kuyaita kelele kama huwadharau. Matumizi ya neno kelele ni dalili za waziwazi kwamba unawachukulia poa sana maboss zako. Kuwadharau unaowangoza ambao ndiyo waliokupa hiyo nafasi si sahihi hata kidogo.

Kama haitoshi juzi nimekusikia tena ukisema kwamba ninanukuu 'Ninatamani sana kukutana na vyama vya upinzania ila wamechambuka sana angalau sasa wameanza kuwa na mabaraza' mwisho wa kunukuu. Kwa maneno mengine ulimaanisha kwamba utakuwa tyr kukutana na vyama vya upinzani endapo vitaunganishwa kwa namna moja ama nyingine.

Hizi nazo ni dharau tu hakuna kingine mama. Vyama vya siasa nchi hii haavifiki 100 na msajili anayo register ya hivyo vyama kila kimoja kina malengo yake. Vyama vya siasa si vyama vya wafanyakazi kwamba wataunda federations kama ilivyo tucta etc. Unataka vyama vya siasa viunde trade unions ndiyo ukutane navyo? Mzee Kikwete alikutana mara kadhaa na vyama vya siasa hakuhitaji hayo yako.

Kwa mujibu ya katiba ya JMT, CUF na CCM vyote ni vyama vya siasa tofauti tu ni kwamba CCM iko madarakani. Kuiambia kwamba ili ukutane na CUF lazima ijiunge kwenye baraza hizi ni dharau tu hakuna kingine. Wewe unaswali ninaamini kwamba unaamini yupo Mungu. The fact kwamba CCM iko madarakani haiamaanishi kwamba CCM ni superior kwa CUF ni suala la wakati na majaliwa ya Mungu.

Mwisho nilitarajia sana kifo cha aliyekuwa Rais wa JMT kitukumbushe kwamba wanadamu ni wapitaji tu duniani. Kumdharau mwanadamu mwingine sababu ya nafasi ambayo Mungu amekupa ni makosa makubwa. Kuwa kiongozi si ticket ya ww kuwa bora kuliko unayemuongoza ni suala la ratiba tu ya aliye juu kuliko vyote yaani Mungu kwa sisi tunaoamini uwepo wake.
hata aje malaika
 
Utawala wa marehemu Magufuli, mahali pekee paliponikwaza kupita kiasi ilikuwa ni kuwatumia wasiojulikana kuteka, kuua na kupoteza watu. Na hili la kubambikia watu kesi. Lakini hata Mkapa aliua Zanzibar. Kikwete aliteka na kuua watu, alibambikatu kesi wapinzani pua. Tawala zote zimeiba kura wakati wa uchaguzi. Wanatofautiana katika kiwango tu.

Lakini kwa huyu Mama, huenda ni hasara zaidi katika kila kona. Sioni mwanga. Mafuta yamepanda bei kwenye soko la Dunia, halafu na wewe unaongezea tozo wakati tayari kuna kodi na tozo kwenye hayo hayo mafuta, zaidi ya 10. Sasa, wewe una akili kweli!!

Wananchi wapo taabani kutokana na kuzorota kwa biashara mbalimbali. Mataifa mbalimbali yanatoa nafuu kwenye mambo mbalimbali ili kuwapunguzia ugumu wananchi wao kutokana na athari ya corona, wewe unaenda kuweka tozo mpya kwenye miamala wakati tayari ulikwishaweka VAT, sasa wewe kweli una akili!!

Tuna hasara kubwa.
 
Katiba yetu ya JMT pamoja na kupitwa na wakati inawatambua Watanzana kwamba ndiyo wenye nchi. Kwamba mamlaka zote katika nchi wenye kuziweka ni Watanzania. Sasa uhalisia wa hili na ubora wa mchakato wa kuwaweka watu kwenye mamlaka ni topic nyingine tofauti.

Hivyo, kwa msingi huu Rais wa JMT anawekwa kwenye hicho kiti na Waatanzania hata kama amerithi toka kwaa mtangulizi ambaye ameshindwa kuendelea na majukumu iwe kwa kifo, maradhi na mangineo.

Hivyo, Rais Samia waliokuweka kwenye hicho kiti ili uwaongoze ni Watanzania period.

Nimekusikia zaidi ya mara 2 kwa masikio yangu ukiita malalamiko genuine kabisa ya maboss wako yaani Watanzania kuwa ni kelele. Mara ya kwanza ilikuwa kwenye kuongezeka kwa bei ya mafuta kutokana na kuongezwa kwa kodi na mara ya pili ilikuwa kwenye hizi tozo za dhulma za miamala. Rais Samia, tofauti na mtangulizi wako wewe unakifahamu vzr sana Kiwahili, kelele na malalamiko ni vitu viwili tofauti kabisa.

Malalamiko ya maboss wako huwezi kuyaita kelele kama huwadharau. Matumizi ya neno kelele ni dalili za waziwazi kwamba unawachukulia poa sana maboss zako. Kuwadharau unaowangoza ambao ndiyo waliokupa hiyo nafasi si sahihi hata kidogo.

Kama haitoshi juzi nimekusikia tena ukisema kwamba ninanukuu 'Ninatamani sana kukutana na vyama vya upinzania ila wamechambuka sana angalau sasa wameanza kuwa na mabaraza' mwisho wa kunukuu. Kwa maneno mengine ulimaanisha kwamba utakuwa tyr kukutana na vyama vya upinzani endapo vitaunganishwa kwa namna moja ama nyingine.

Hizi nazo ni dharau tu hakuna kingine mama. Vyama vya siasa nchi hii haavifiki 100 na msajili anayo register ya hivyo vyama kila kimoja kina malengo yake. Vyama vya siasa si vyama vya wafanyakazi kwamba wataunda federations kama ilivyo tucta etc. Unataka vyama vya siasa viunde trade unions ndiyo ukutane navyo? Mzee Kikwete alikutana mara kadhaa na vyama vya siasa hakuhitaji hayo yako.

Kwa mujibu ya katiba ya JMT, CUF na CCM vyote ni vyama vya siasa tofauti tu ni kwamba CCM iko madarakani. Kuiambia kwamba ili ukutane na CUF lazima ijiunge kwenye baraza hizi ni dharau tu hakuna kingine. Wewe unaswali ninaamini kwamba unaamini yupo Mungu. The fact kwamba CCM iko madarakani haiamaanishi kwamba CCM ni superior kwa CUF ni suala la wakati na majaliwa ya Mungu.

Mwisho nilitarajia sana kifo cha aliyekuwa Rais wa JMT kitukumbushe kwamba wanadamu ni wapitaji tu duniani. Kumdharau mwanadamu mwingine sababu ya nafasi ambayo Mungu amekupa ni makosa makubwa. Kuwa kiongozi si ticket ya ww kuwa bora kuliko unayemuongoza ni suala la ratiba tu ya aliye juu kuliko vyote yaani Mungu kwa sisi tunaoamini uwepo wake.
Mkuu kama wananchi ndio wenye mamlaka na mamlaka hutoka kwao- wakishayatoa hayo mamlaka wao wanabaki na mamlaka gani tena?
 
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
Unamaanisha Lema alikimbia hii kesi? Labda ndo maana hajarudi nyumbani pamoja na kuwa Mwendazake huyupo Tena.
 
Utawala wa marehemu Magufuli, mahali pekee paliponikwaza kupita kiasi ilikuwa ni kuwatumia wasiojulikana kuteka, kuua na kupoteza watu. Na hili la kubambikia watu kesi. Lakini hata Mkapa aliua Zanzibar. Kikwete aliteka na kuua watu, alibambikatu kesi wapinzani pua. Tawala zote zimeiba kura wakati wa uchaguzi. Wanatofautiana katika kiwango tu.

Lakini kwa huyu Mama, huenda ni hasara zaidi katika kila kona. Sioni mwanga. Mafuta yamepanda bei kwenye soko la Dunia, halafu na wewe unaongezea tozo wakati tayari kuna kodi na tozo kwenye hayo hayo mafuta, zaidi ya 10. Sasa, wewe una akili kweli!!

Wananchi wapo taabani kutokana na kuzorota kwa biashara mbalimbali. Mataifa mbalimbali yanatoa nafuu kwenye mambo mbalimbali ili kuwapunguzia ugumu wananchi wao kutokana na athari ya corona, wewe unaenda kuweka tozo mpya kwenye miamala wakati tayari ulikwishaweka VAT, sasa wewe kweli una akili!!

Tuna hasara kubwa.
Hamia Burundi- na kwa vile unajua kiswahili vizuri huenda ukapata na nafasi ya kufundisha Kiswahili chuo kikuu.
 
Ni dunia nzima. Hakuna kiongozi ambaye hakosolewi. Kama kiongozi sio mvumilivu atapambana na watu badala ya kupambania maendeleo.
Dawa ni kuwapuuza wanaokosoa na kujikita kufanya maendeleo.
Bongo wamejaa watukanaji sio wakosoaji

USSR
 
Utawala wa marehemu Magufuli, mahali pekee paliponikwaza kupita kiasi ilikuwa ni kuwatumia wasiojulikana kuteka, kuua na kupoteza watu. Na hili la kubambikia watu kesi. Lakini hata Mkapa aliua Zanzibar. Kikwete aliteka na kuua watu, alibambikatu kesi wapinzani pua. Tawala zote zimeiba kura wakati wa uchaguzi. Wanatofautiana katika kiwango tu.

Lakini kwa huyu Mama, huenda ni hasara zaidi katika kila kona. Sioni mwanga. Mafuta yamepanda bei kwenye soko la Dunia, halafu na wewe unaongezea tozo wakati tayari kuna kodi na tozo kwenye hayo hayo mafuta, zaidi ya 10. Sasa, wewe una akili kweli!!

Wananchi wapo taabani kutokana na kuzorota kwa biashara mbalimbali. Mataifa mbalimbali yanatoa nafuu kwenye mambo mbalimbali ili kuwapunguzia ugumu wananchi wao kutokana na athari ya corona, wewe unaenda kuweka tozo mpya kwenye miamala wakati tayari ulikwishaweka VAT, sasa wewe kweli una akili!!

Tuna hasara kubwa.
Kidogo kidogo mtataja mpaka makaburi ya bibi zenu yalipo.

Mmeanza kujifanya mlimuelewa Hayati Magufuli sio?? Nyambaf!
 
Cheo cha makamu wa rais kiondolewe hakina maana yoyote zaidi ya kufuja pesa za umma, waziri mkuu apewe mamlaka kamili ya kuunda na kuongoza serikali, succession plan iwe jaji mkuu au spika wa bunge kukaimu nafasi ya rais na kuitisha uchaguzi ndani ya miezi 6.......haya mambo yanawezekana kwa kukamilisha mchakato wa katiba mpya, ambayo wenyewe wanasema wanajenga uchumi..........alisikika pwagu na pwaguzi mmoja maeneo ya kule feri.
 
Andiko limetulia Sana.

Ungesindikiza la ile memes ya mheshimiwa rais.......

Mheshimiwa rais.......



Tukipata maandiko kama haya 10 tu huyu mama anabadilika niamini Mimi.
 
Back
Top Bottom