Rais Samia punguza dharau kwa unaowangoza, hazitokusaidia chochote

Rais Samia punguza dharau kwa unaowangoza, hazitokusaidia chochote

Hiyo mibangi machadema mnayovuta yamewalandua akili, kuanzia Mkapa mlisema awaachie nchi, mkaja kwa Jakaya, mkamwita dhaifu, akaja Jpm , mkalalama ooh, dikteta, kaja mama mkaanza kumsifia alipoamua kusimamia Sheria na kuziacha huru mahakama kushughulikia kesi kama za akina Sabaya mkasema, "Mama anaupiga mwingi"Leo Mbowe kukamatwa, ooh "bring back our country" hata hamjitambui, akili zenu sawa na za ng'ombe tu.
[emoji1787]
 
Katiba yetu ya JMT pamoja na kupitwa na wakati inawatambua Watanzana kwamba ndiyo wenye nchi. Kwamba mamlaka zote katika nchi wenye kuziweka ni Watanzania. Sasa uhalisia wa hili na ubora wa mchakato wa kuwaweka watu kwenye mamlaka ni topic nyingine tofauti.

Hivyo, kwa msingi huu Rais wa JMT anawekwa kwenye hicho kiti na Waatanzania hata kama amerithi toka kwaa mtangulizi ambaye ameshindwa kuendelea na majukumu iwe kwa kifo, maradhi na mangineo.

Hivyo, Rais Samia waliokuweka kwenye hicho kiti ili uwaongoze ni Watanzania period.

Nimekusikia zaidi ya mara 2 kwa masikio yangu ukiita malalamiko genuine kabisa ya maboss wako yaani Watanzania kuwa ni kelele. Mara ya kwanza ilikuwa kwenye kuongezeka kwa bei ya mafuta kutokana na kuongezwa kwa kodi na mara ya pili ilikuwa kwenye hizi tozo za dhulma za miamala. Rais Samia, tofauti na mtangulizi wako wewe unakifahamu vzr sana Kiwahili, kelele na malalamiko ni vitu viwili tofauti kabisa.

Malalamiko ya maboss wako huwezi kuyaita kelele kama huwadharau. Matumizi ya neno kelele ni dalili za waziwazi kwamba unawachukulia poa sana maboss zako. Kuwadharau unaowangoza ambao ndiyo waliokupa hiyo nafasi si sahihi hata kidogo.

Kama haitoshi juzi nimekusikia tena ukisema kwamba ninanukuu 'Ninatamani sana kukutana na vyama vya upinzania ila wamechambuka sana angalau sasa wameanza kuwa na mabaraza' mwisho wa kunukuu. Kwa maneno mengine ulimaanisha kwamba utakuwa tyr kukutana na vyama vya upinzani endapo vitaunganishwa kwa namna moja ama nyingine.

Hizi nazo ni dharau tu hakuna kingine mama. Vyama vya siasa nchi hii haavifiki 100 na msajili anayo register ya hivyo vyama kila kimoja kina malengo yake. Vyama vya siasa si vyama vya wafanyakazi kwamba wataunda federations kama ilivyo tucta etc. Unataka vyama vya siasa viunde trade unions ndiyo ukutane navyo? Mzee Kikwete alikutana mara kadhaa na vyama vya siasa hakuhitaji hayo yako.

Kwa mujibu ya katiba ya JMT, CUF na CCM vyote ni vyama vya siasa tofauti tu ni kwamba CCM iko madarakani. Kuiambia kwamba ili ukutane na CUF lazima ijiunge kwenye baraza hizi ni dharau tu hakuna kingine. Wewe unaswali ninaamini kwamba unaamini yupo Mungu. The fact kwamba CCM iko madarakani haiamaanishi kwamba CCM ni superior kwa CUF ni suala la wakati na majaliwa ya Mungu.

Mwisho nilitarajia sana kifo cha aliyekuwa Rais wa JMT kitukumbushe kwamba wanadamu ni wapitaji tu duniani. Kumdharau mwanadamu mwingine sababu ya nafasi ambayo Mungu amekupa ni makosa makubwa. Kuwa kiongozi si ticket ya ww kuwa bora kuliko unayemuongoza ni suala la ratiba tu ya aliye juu kuliko vyote yaani Mungu kwa sisi tunaoamini uwepo wake.
Kila kiongozi anakuwa na leadership style yake. Kukutana na vyama vya upinzani sio jambo kwamba ni la lazima Rais aliyepo madarakani alifanye.


Mzee Kikwete alikutana mara kadhaa na vyama vya siasa hakuhitaji hayo yako.
Juu ya yote hayo alichoambulia ni matusi tu kutoka kwenu. Hakukuwa na tija yoyote zaidi ya hao wapinzani kwenda kuongeza bill ya ikulu tu kwa kunywa chai na sambusa za bure.
 
Wa-Tanganyika wenzangu, kumbukeni kwamba nchi yetu kwa sasa iko chini ya Mtawala ambaye ni TX (Tanzania Expatriate) kutoka kule ni " Nchi ama si nchi". Iko hivi hana uchungu na nyinyi. Malalamiko yenu na shida zenu hazimnyimi yeye usingizi wala siyo vipaumbele vyake kama mnayotaka amielewe. BTW: Haya mambo ya hovyo munayo yaona sasa ni "rasharasha" tu maneno bado. # Mtanikumbuka#
 
Yaani mother hili naliona takataka kabisa! Kulaza mimacho tu utafikri limewekewamo!
Hii sio sawa mdau.
Mama Samia ni raisi wa nchi yetu.
Ni binadamu na mama wa familia.
Na kwa umri wake anaweza kuwa mama kwa wengi wetu humu.
Si vizuri kumkosoa kwa udhalilishaji namna hii.
Hakuna ambaye atapenda kuona mzazi wake anasemwa hivi mitandaoni.
Kama binadamu mwengine naye ana makosa na udhaifu pia.
Tumkosoe kwa staha.
 
Katiba yetu ya JMT pamoja na kupitwa na wakati inawatambua Watanzana kwamba ndiyo wenye nchi. Kwamba mamlaka zote katika nchi wenye kuziweka ni Watanzania. Sasa uhalisia wa hili na ubora wa mchakato wa kuwaweka watu kwenye mamlaka ni topic nyingine tofauti.

Hivyo, kwa msingi huu Rais wa JMT anawekwa kwenye hicho kiti na Waatanzania hata kama amerithi toka kwaa mtangulizi ambaye ameshindwa kuendelea na majukumu iwe kwa kifo, maradhi na mangineo.

Hivyo, Rais Samia waliokuweka kwenye hicho kiti ili uwaongoze ni Watanzania period.

Nimekusikia zaidi ya mara 2 kwa masikio yangu ukiita malalamiko genuine kabisa ya maboss wako yaani Watanzania kuwa ni kelele. Mara ya kwanza ilikuwa kwenye kuongezeka kwa bei ya mafuta kutokana na kuongezwa kwa kodi na mara ya pili ilikuwa kwenye hizi tozo za dhulma za miamala. Rais Samia, tofauti na mtangulizi wako wewe unakifahamu vzr sana Kiwahili, kelele na malalamiko ni vitu viwili tofauti kabisa.

Malalamiko ya maboss wako huwezi kuyaita kelele kama huwadharau. Matumizi ya neno kelele ni dalili za waziwazi kwamba unawachukulia poa sana maboss zako. Kuwadharau unaowangoza ambao ndiyo waliokupa hiyo nafasi si sahihi hata kidogo.

Kama haitoshi juzi nimekusikia tena ukisema kwamba ninanukuu 'Ninatamani sana kukutana na vyama vya upinzania ila wamechambuka sana angalau sasa wameanza kuwa na mabaraza' mwisho wa kunukuu. Kwa maneno mengine ulimaanisha kwamba utakuwa tyr kukutana na vyama vya upinzani endapo vitaunganishwa kwa namna moja ama nyingine.

Hizi nazo ni dharau tu hakuna kingine mama. Vyama vya siasa nchi hii haavifiki 100 na msajili anayo register ya hivyo vyama kila kimoja kina malengo yake. Vyama vya siasa si vyama vya wafanyakazi kwamba wataunda federations kama ilivyo tucta etc. Unataka vyama vya siasa viunde trade unions ndiyo ukutane navyo? Mzee Kikwete alikutana mara kadhaa na vyama vya siasa hakuhitaji hayo yako.

Kwa mujibu ya katiba ya JMT, CUF na CCM vyote ni vyama vya siasa tofauti tu ni kwamba CCM iko madarakani. Kuiambia kwamba ili ukutane na CUF lazima ijiunge kwenye baraza hizi ni dharau tu hakuna kingine. Wewe unaswali ninaamini kwamba unaamini yupo Mungu. The fact kwamba CCM iko madarakani haiamaanishi kwamba CCM ni superior kwa CUF ni suala la wakati na majaliwa ya Mungu.

Mwisho nilitarajia sana kifo cha aliyekuwa Rais wa JMT kitukumbushe kwamba wanadamu ni wapitaji tu duniani. Kumdharau mwanadamu mwingine sababu ya nafasi ambayo Mungu amekupa ni makosa makubwa. Kuwa kiongozi si ticket ya ww kuwa bora kuliko unayemuongoza ni suala la ratiba tu ya aliye juu kuliko vyote yaani Mungu kwa sisi tunaoamini uwepo wake.
Anatudharau sana ss mabosi zake anajua hata tukipga kura kwingine atashinda coz plc wapo kumuhkikishia hilo
 
Hakuna rais hapo.. ktk jambo ambalo kanikera ni hili swala la Tozo, amefaafanya biashara imekuwa ngumu sana shambani hakuna Bank tunawatumia wakulima Pesa kupitia Mpesa anaweka makato makubwa kias hiki kweli?

Juzi nimeskia et anasema watanzania wamekubali hizi ni watanzania wa wapi hao waliokubali?
Me siipend chadema lkn 2025 nitahakikisha naipigia kura chadema kuondoa watawala wapuuzi..tumechoka sasa maana wanataka kujifanya hii nchi ni Yao peke yao yaan wanafanya maamuzi ya kijinga kutuumiza sisi
 
Duh,kweli kuwa kiongozi Tanzania ni kijitwika zigo la misumari
Hakuna nchi rahisi kuiongoza kama Tz. Wananchi wake ule sio uelewa wala upole ni ujinga. Kiongozi yoyote anaweza akaibuka tu kutoa tamko la ovyo makusudi kuwakera wananchi.

Mtu anakuambia kama unabisha hamia Burundi,na bado tukakaa kimya,kiongozi ongea kama hivyo kenya kama kweli utaamkia kwenye hicho kiti unachojivunia kama umezaliwa nacho.

Tatizo Tz liko kwa viongozi,hawako tayari kukubalina na mawazo ya wananchi. Wanataka ya kwao tu,halafu wananufaika nayo wao wachache. Kama tozo za miamala kuna mwananchi gani anataka?. Lakini wao wanaigeuza wanaipigia kampeni kwamba wananchi wanaifurahia. Na bado pamoja na kalazimishwa wananchi wamenyamaza wanaendelea na mambo yao. Bado uone kuna ugumu kuiongoza?
 
If you want to test men's character, give them power.

Sikutegemea huyu Mama abehave namna hii na anavyojifanya mcha 'mungu'...
Ahahahahah maskini ya Mungu eti mcha Mungu, pole sana mshua!

Mark my words, hakuna mtu ndani ya serikali kwa sasa anaroga kama huyu Mmama-period
 
Malalamiko anaita Kelele

Mjadala wa Katiba anaita Chokochoko

Shughuli halali za kisiasa anaita fujo za kisiasa

Huyu ana dharau sana
Kila zama na kitabu chake. Kazi iko palepale. Mlikuwa mnamdharau kuwa yeye ni mwanamke. Na bado mtazidi kuongeza misamiati.
 
Back
Top Bottom