Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787]Hiyo mibangi machadema mnayovuta yamewalandua akili, kuanzia Mkapa mlisema awaachie nchi, mkaja kwa Jakaya, mkamwita dhaifu, akaja Jpm , mkalalama ooh, dikteta, kaja mama mkaanza kumsifia alipoamua kusimamia Sheria na kuziacha huru mahakama kushughulikia kesi kama za akina Sabaya mkasema, "Mama anaupiga mwingi"Leo Mbowe kukamatwa, ooh "bring back our country" hata hamjitambui, akili zenu sawa na za ng'ombe tu.