Magufuli alikuwa anauguza Mama mzazi ifahamike hilo. Nawasilisha
Kwa mamlaka ya Rais aweza kuamua vinginevyo sheria zipo na zitakuwepo, diversity ndio msingi. Kwamba alikuwa anauguza mama ndio hoja ya msingi na transitionally there could have been other factors governing the circumstances periodically.Hii ya kwako ya leo ni mpya zaidi kuliko zote:
"Kumbukumbu zingali hai kwani si zamani tulipoaminishwa katika awamu ile kuwa rais anaweza kuweka kambi popote na kazi ikaendelea bila ukomo!"
Swali la msingi:
"Hizi sheria au taratibu ni mpya zilizoanza baada ya awamu ya sita kuingia ofisini au ndiyo ilivyo ila ilikuwa kupigana ma-changa ya macho?"
Kwa mamlaka ya Rais aweza kuamua vinginevyo sheria zipo na zitakuwepo, diversity ndio msingi. Kwamba alikuwa anauguza mama ndio hoja ya msingi na transitionally there could have been other factors governing the circumstances periodically.
Zote ikulu kunguni wewe hebu toka kutunukia hapaMuulize
Dar anakaa siku ngapi zaidi ya Dodoma makao makuu?
Huyo kaishaishiwa
Binafasi nilikuwa napinga sana hili la tunataka "dikteta mzuri", wenyewe wanaita "benevolent dictator". Hakuna kitu kama hicho, dikteta ni dikteta tu. Kama una jambo zuri la kuwafanyia Watanzania, ongea nao washawishi watakupa ridhaa..... lakini ya kujifanyia jambo lolote unalotaka eti umesakrifaisi maisha yako kwa ajiri yetu sio sawa.Awamu ya tano ilikuwa ya aina yake.
Alikuwa fyatu na wengi hata wenye akili zao wakatanguliza matumbo yao. Ikawa ni kupigana vikumbo kushindana kuilsifia hata visivyopaswa.
Rejea:
Tanzania inahitaji Rais Fyatu?
Tunahitaji Rais mwenye maono ya kuthubutu kama Obama, mbishi na mbwatukaji kama Ahmedinajad, asiyetishiwa na wawekezaji kama Hugo Chavez, mwenye kuzungukwa na watu wenye uwezo kama Lula na mwenye mvuto kwa watu wa kawaida kama Zuma. Tunahitaji Rais ambaye amefyatuka kidogo (au sana kutegemea na...www.jamiiforums.com
Mkuu Mzee Mwanakijiji, Rais Magufuli Sio Alfa na Omega. Rais Sio Mungu! Na Kwenye Utawala ni Katiba!
Wanabodi, Hili ni bandiko la kumjibu mwana JF mwenzetu, Mkuu Mzee Mwanakijiji, aliyesema rais Magufuli ni alfa na omega, hapa mimi natofautiana naye kuwa rais Magufuli sio alfa na omega, Alfa na Omega ni Mungu tuu pekee!. Rais wa nchi sio mungu hivyo kumuita Rais Magufuli kuwa alfa na omega, ni...www.jamiiforums.com
Kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili sanifu fyatu ni punguani, mwenda wazimu, mwenye akili zisizomtosha, chizi, asiye simile, asiye subira wala hekima.
Kwa maneno mengine kwamba akiwa na faili mirembe kama Jobo ingependeza zaidi.
Hiiiiii bagosha!
meko alikuwa anakaa chatu miezi mingapiMabibi na mabwana mheshimiwa Rais wetu mpendwa mama Samia amepasua mbarika tena leo.
Akiongea na vijana Mwanza, mh. Rais katamka angependa kuendelea kukaa zaidi Mwanza, ila taratibu na sheria hazimruhusu kukaa zaidi ya siku 3 katika mkoa mmoja.
Bila shaka akimaanisha kukaa siku 3 mkoani nje ya ofisi rasmi za Magogoni au Chamwino:
View attachment 1819828
Hizi sheria au taratibu ni mpya zilizoanza baada ya awamu ya sita kuingia ofisini au ndiyo ilivyo ila ilikuwa kupigana ma-changa ya macho?
Kumbukumbu zingali hai kwani si zamani tulipoaminishwa katika awamu ile kuwa rais anaweza kuweka kambi popote na kazi ikaendelea bila ukomo!
Kama aliyosema mama leo ndiyo ukweli wenyewe basi pongezi sana mama Samia kwa kuzingatia maadili, taratibu na sheria.
Unatudhihirishia kwa vitendo kuwa unayo nia ya dhati ya kuhakikisha kuwa wewe kama tunavyowajibika sote kwa mujibu wa sheria wewe kama rais siyo exceptional.
Hongera sana mama Samia kwa kuzingatia utawala wa sheria kazi inapoendelea!
Ha ha ha!Muulize
Dar anakaa siku ngapi zaidi ya Dodoma makao makuu?
Huyo kaishaishiwa
Mbona mwendazake alihamisha kabisa hata ofisi ikawa Chato?Mabibi na mabwana mheshimiwa Rais wetu mpendwa mama Samia amepasua mbarika tena leo.
Akiongea na vijana Mwanza, mh. Rais katamka angependa kuendelea kukaa zaidi Mwanza, ila taratibu na sheria hazimruhusu kukaa zaidi ya siku 3 katika mkoa mmoja.
Bila shaka akimaanisha kukaa siku 3 mkoani nje ya ofisi rasmi za Magogoni au Chamwino:
View attachment 1819828
Hizi sheria au taratibu ni mpya zilizoanza baada ya awamu ya sita kuingia ofisini au ndiyo ilivyo ila ilikuwa kupigana ma-changa ya macho?
Kumbukumbu zingali hai kwani si zamani tulipoaminishwa katika awamu ile kuwa rais anaweza kuweka kambi popote na kazi ikaendelea bila ukomo!
Kama aliyosema mama leo ndiyo ukweli wenyewe basi pongezi sana mama Samia kwa kuzingatia maadili, taratibu na sheria.
Unatudhihirishia kwa vitendo kuwa unayo nia ya dhati ya kuhakikisha kuwa wewe kama tunavyowajibika sote kwa mujibu wa sheria wewe kama rais siyo exceptional.
Hongera sana mama Samia kwa kuzingatia utawala wa sheria kazi inapoendelea!
Mbona mwendazake alihamisha kabisa hata ofisi ikawa Chato?
Hongera sanaWakuu leo nimetenguliwa mwenzenu hapo Morogoro
Huyo Mungu hajamchoka Ibilisi hadi leo kamuacha halafu et ndio aje kumchoka huyo mwendazake?
Yakikuzidi fikra daima utaona ni ya kijinga! Yasiyo yUjinga mtupu
Zama za kale za Hamnazo! Alichezea mwiba ukamchoma!Hapo zama za kale tuliambiwa kuwa kambi popote bora tu kazi ziende.
Anafanya uovu wa kushawishi na kusaidia watu kufanya uovu.Kwani Ibilisi amefanya maovu gani?
Pole Sana Kiongozi! Hizo ndio gharama za uthubutu, in Sha Allah Mola atakulipia.Madaraka mkuu....na sikutegemea...maana tulijaribu kuwaondoa kistaarabu wakaanza kutupiga mawe....
View attachment 1821180
ITV wanajaribu kusafisha kauli ya Rais ili ilete maana.
Rais akiwa Mwanza ametamka anamshukuru Hayati Magufuli. Wote tumemsikia.
ITV wameona that is ridiculous, huwezi kumshukuru mtu kafa.
Kwa hiyo wamebadiliaha wamesema Rais kasema anaishukuru awamu ya tano.
Wanatufanya wajinga hatuku note alichosema Rais.
Rais na waandishi wake wa speech wamechemka. Ambacho ni kwenye kila speech ya Samia.