Kama kawatafutia soko la Mbaazi zao India, Mbaazi walizokuwa hawajui wazipeleke wapi Leo zinauzwa kilo elfu 2.Nchi kubwa wakati kuna Ndege ya Rais,hapo Mtwara ni masaa mangapi kwa Ndege ?
Samia ni maneno kidogo vitendo vingi.Labda wanataka kuuona msafara wake ukiwa unasimamasimama njiani ndio awe katimiza sifa ya kuwatetea wanyonge.
[emoji2956]Shule ambayo haina madawati hiyo kata ifutwe na wakazi wake wote wahamishiwe kata zingine wakajifunze kujitegemea siyo kuwa tegemezi tu.
Na hiyo shule ifanywe mabanda ya kuku chini ya BBT.
Yaani Mtanzania wa leo hii unakuja kulilia madawati mtandaoni? Wakati shule zingine wananchi wamewafungia mpaka viyoyozi ofisi za walimu. Wamejijengea mpaka maabara za kisasa wanafunzi wasome sayansi kwa vitendo, hawajangoja serikali.
Nyie mnaolilia ma desk mwaka huu mtakuwa wa kwanza kwa ujinga duniani.
Kodi ya Tanzania Kuna watu wanachota mabilioni ya pesa wanaficha michagoni.Kama wanalipa ipasavyo kwanini bajeti yetu ya maendeleo kila mwaka iendeshwe kwa mikopo na misaada? Hatuna taxbase ya kutosha. Walipa kodi ni wachache. Raia ni masikini na hawana ajira wala vipato vya kutegemewa na nchi kikodi. Tozo tu imewekwa watu wanalia. Tunatakiwa tuwe na raia wasio wanyonge kifedha.
Shule gani ya serikali imefungwa viyoyozi?mshindwe kutengeneza madawati muweze kuwa na Maabara za kisasa?Shule ambayo haina madawati hiyo kata ifutwe na wakazi wake wote wahamishiwe kata zingine wakajifunze kujitegemea siyo kuwa tegemezi tu.
Na hiyo shule ifanywe mabanda ya kuku chini ya BBT.
Yaani Mtanzania wa leo hii unakuja kulilia madawati mtandaoni? Wakati shule zingine wananchi wamewafungia mpaka viyoyozi ofisi za walimu. Wamejijengea mpaka maabara za kisasa wanafunzi wasome sayansi kwa vitendo, hawajangoja serikali.
Nyie mnaolilia ma desk mwaka huu mtakuwa wa kwanza kwa ujinga duniani.
Mimi nipo Mwanza Ilemela,shule za msingi za serikali watoto wanakaa chini na pia ata maji ni shida wakati Ziwa Victoria lipo jirani tu!Wewe kama kata yenu bado mnashida ya madeski ni heri mjinyonge tu.
Hata mkitoza.kodi kwenye vilabu vya Pombe ya mia mia tu kiingilio, ndani ya muda mchache mnapata ma desk.
Upo kata ipi, wilaya ipi, mkoa upi ambako hakuna madesk?
Nani alikwambia shule ya serikali?Shule gani ya serikali imefungwa viyoyozi?mshindwe kutengeneza madawati muweze kuwa na Maabara za kisasa?
Acha ujinga ata kama Rais ni dini au jinsia yako,haijalishi!
Samia ni Rais wa Matajiri na Machawa,watu wa chini kawasahau kabisa,wanaishi maisha magumu sana.Kama uaminj subiri uchaguzi serikali za mitaa na Jeshi la Polisi likae pembeni aone kama anatoboa!
Yule hamna kitu,anatengeneza Matajiri wakati rasimali za taifa zinaibwa anaishia kusema stupid!Mama Samia ni rais wa kutengeneza matajiri.
Tena hiyo kata inabidi wazazi wote muanze uchangishana kwenye vilabu vya mapuya, mna hela kama nini huko, mnashindwa kujiletea maendeleo.Mimi nipo Mwanza Ilemela,shule za msingi za serikali watoto wanakaa chini na pia ata maji ni shida wakati Ziwa Victoria lipo jirani tu!
Usinipotezee muda kwanza watu wa Pwani na Elimu wapi na wapi!Nani alikwambia shule ya serikali?
Kuna watu wanaelewa maana ya elimu ni nini.
Wewe una matatizo ya akili,Kodi tunazolipa zinakwenda wapi?yaani tulipe Kodi na bado miundombinu ya serikali tujenge sisi kwa michango!Tena hiyo kata inabidi wazazi wote muanze uchangishana kwenye vilabu vya mapuya, mna hela kama nini huko, mnashindwa kujiletea maendeleo.
waonesheni watoto zenu faida ya pamba.
La sivyo nyinyi wa wilaya hiyo ni wakuzolewa na kutoswa ziwa victoria mkawe chakula cha sangara humo. Walevi wakubwa, pesa za kulewea mnazo lakini mnashindwa kukujitengenezea madeski ya watoto zenu. Pambaf kabisa.
Aisee, wewe kweli huna historia, wtu wa pwani ndiyo tuliokuleytea ustaarabu.Usinipotezee muda kwanza watu wa Pwani na Elimu wapi na wapi!
Unamlipa nani wewe, kuna shule inayolipiwa sasa hivi? Wacha ujuha, labda huko kwenu wajinga ndiyo waliwao, wanawazidi ujanja. Elimu kuanzia ya msingi mpaka sekondari ni bure.Wewe una matatizo ya akili,Kodi tunazolipa zinakwenda wapi?yaani tulipe Kodi na bado miundombinu ya serikali tujenge sisi kwa michango!
Huo utaratibu uliona nchi gani Dunia hii!
Acha kufitinisha Rais na watu wake.Rais Samia tokea kaingia madarakani anafavor sana matajiri,yaani walionazo pesa tayari.
Kwanza kabisa alimzawadia Mwinyi Rais mstaafu Benz la million 100. Imagine kuna watanzania hata maji ya kunywa hawana.
Pili amekuwa akinununua magoli kwa Yanga na Simba ,team ambazo wawekezaji wake ni matajiri.Imagine unanunua magoli ,kuna shule hata madawati hazina.
Tatu amekuwa akitembelea viongozi, si mbaya ila kwa nini hatembelei masikini ili awawezeshe ?Tokea awe Rais ,hivi kishafika Lindi,Manyoni,Sumbawanga,Songea,Iringa ,Simiyu,Mtwara?
Nne sera zake ni za kuumiza zaidi wananchi masikini na kufavor matajiri
Fikiria Tozo n.k
Umeme imekuwa tatizo sana,hii inaumiza sana maskini,maana matajiri wao wana magenerator.
Ongezeeni na nyie.View attachment 2722741View attachment 2722745View attachment 2722748
Da faiza hao mburura hawajui kitu. Wakati wakoloni wanakuja walikuta watu wa pwani wakijua kusoma kwa kutumia arabic script. Kuwashinda katika nyanja hii wali introduce roman script ghafla aliyelala akiwa msomi akaamka akiwa mjinga. Hawajui haya mambo.Aisee, wewe kweli huna historia, wtu wa pwani ndiyo tuliokuleytea ustaarabu.
Soma historia kijana, Ibn Batuta aliyekuja kabla ya Vasco da Gama alikuta nini pwani huku. Vasdo da Gama na kurusedi yake, haini yul, ndiye akatuchomea vitabu vilivyomshinda kubeba kwenye merikebu zake, alivyobeba kabeba. Soma historia kijana.
Haikuishia hapo, alipokuja mjerumani, chuo chetu akakifanya Ikulu. Misikiti yetu ambao ndiyo vitovu vya elimu akaifanya makanisa.
Leo hii wewe hata lugha ya Kiswahili usingekuwa nayo isingekuwa watu wa pwani. Kumbuka hilo.
Always biased.Shule ambayo haina madawati hiyo kata ifutwe na wakazi wake wote wahamishiwe kata zingine wakajifunze kujitegemea siyo kuwa tegemezi tu.
Na hiyo shule ifanywe mabanda ya kuku chini ya BBT.
Yaani Mtanzania wa leo hii unakuja kulilia madawati mtandaoni? Wakati shule zingine wananchi wamewafungia mpaka viyoyozi ofisi za walimu. Wamejijengea mpaka maabara za kisasa wanafunzi wasome sayansi kwa vitendo, hawajangoja serikali.
Nyie mnaolilia ma desk mwaka huu mtakuwa wa kwanza kwa ujinga duniani.
Sasa nyie hamtaki Rais atutenezee mabilionea? mailionea wapande wawe mabilionea, na vijana wawe kwenye mpango wa BBT, wawe mamilionea haraka sana.Always biased.
Anasema kweli.Always biased.
Hakuna serikali inatengeneza tajiri, utajiri ni jitiada za mtu binafsi na ubunifu wake.Hamna serikali inayotoa jitiada na ubunifu Duniani.Sasa nyie hamtaki Rais atutenezee mabilionea? mailionea wapande wawe mabilionea, na vijana wawe kwenye mpango wa BBT, wawe mamilionea haraka sana.
Ndiyo maendeleo hayo.
Siyo kama alivyotufanyia Nyerere, kafunga kiwanda cha Matrekta akenda kutufungulia kiwanda cha majembe ya mkono na ya kukokota na ng'ombe. Sijuwi alidanganywa na nani, maana hata sielewi falsafa ile ya kufunga kiwanda cha matrekta kwenda kufunguwa kiwanda cha majembe ya mkono.
Wewe inakuingia akilini hiyo?