Nilivyoona rostam ni miongoni mwa watetezi wa huu wizi nikajua tumekwisha.hatimaye wamejitokeza na kuonyesha sababu kuu ya huu ubinafsishaji ni 35% ya hisa watakazo chukua baadhi yetu , kwenye huo mgodi WA bandari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilivyoona rostam ni miongoni mwa watetezi wa huu wizi nikajua tumekwisha.hatimaye wamejitokeza na kuonyesha sababu kuu ya huu ubinafsishaji ni 35% ya hisa watakazo chukua baadhi yetu , kwenye huo mgodi WA bandari.
Eeeh ndio maana yake yakheWakipakwa kilainishi na sisi tupakwe?
Huoni aibu kumwita huyo mama dr.Ondoa utoto wako. Naona huna akili kabisa. Rais Dkt Samia alichokisema pale wengi hamjamuelewa hasa ninyi wenye chuki. Alitolea mfano halafu mmedakia. Acheni rais wetu afanye kazi.
Usipo baini upumbavu kwenye mkataba huu basi ujue wewe ni mpumbavu. Kwakifupi mkataba hauta tekelezwa, mwambie aliyekutuma kuwa kwenye hili amefeli.Mkataba upi wa kipumbavu? Una upumbavu gani?