FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Mkataba kwanini uishe?Tutegemee kwa mkataba upi sasa? Unaisha lini mkataba?
Wewe ndoa yako imeandikwa lini inakwisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkataba kwanini uishe?Tutegemee kwa mkataba upi sasa? Unaisha lini mkataba?
Lakini DPW inamilikiwa na serikali ya Dubai kama walivyoona wakati wa kusaini.Rais Samia Suluhu leo Juni 09, 2023 amesema sekta binafsi ndiyo itakayoitoa Tanzania kiuchumi, ameyasema hayo wakati akishiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC).
Rais Samia amesema wajibu wa Serikali ni kutengeza mazingira bora ya kufanya biashara jambo ambalo pia litatanua wigo wa kukusanya kodi.
“Sekta binafsi ndio itakayotutoa kiuchumi, Serikali hatufanyi biashara lakini Sekta binafsi inafanya biashara, wajibu wetu kama Serikali ni kutengeneza mazingira bora ambayo yataleta chachu katika ufanyaji biashara na uwekezaji ili uchumi wetu ukue zaidi”
“Lakini tunavyofanya hivyo tunatanua msingi wa kukusanya kodi kwa upande wa Serikali kwahiyo tukazifanyie kazi kero zote ili tusukume utendaji mzuri wa biashara na uwekezaji nchini”
Alisema Rais Samia
Kuna mkataba wa Ushirikiano maendeleo wa wa serikali mbili au zaidi unaokwisha?Tutegemee kwa mkataba upi sasa? Unaisha lini mkataba?
Love it gangalaKing Nkondo kama nakuelewa Kwa kiasi fulani
Well Said my President Hon Dr Samia Suluhu Hassan!Rais Samia Suluhu leo Juni 09, 2023 amesema sekta binafsi ndiyo itakayoitoa Tanzania kiuchumi, ameyasema hayo wakati akishiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC).
Rais Samia amesema wajibu wa Serikali ni kutengeza mazingira bora ya kufanya biashara jambo ambalo pia litatanua wigo wa kukusanya kodi.
“Sekta binafsi ndio itakayotutoa kiuchumi, Serikali hatufanyi biashara lakini Sekta binafsi inafanya biashara, wajibu wetu kama Serikali ni kutengeneza mazingira bora ambayo yataleta chachu katika ufanyaji biashara na uwekezaji ili uchumi wetu ukue zaidi”
“Lakini tunavyofanya hivyo tunatanua msingi wa kukusanya kodi kwa upande wa Serikali kwahiyo tukazifanyie kazi kero zote ili tusukume utendaji mzuri wa biashara na uwekezaji nchini”
Alisema Rais Samia
Hakumuelewa pennine also a hili jambo la bandari likamkwaza ila sasa ukweli tumeupatani Kweli huyu mnazaleti pamoja na mapungufu yake ila aliona mbali.
Acha utotondugai ❌️
Ndugai ✅️
Kwa uchache, mashirika na viwanda vilivyowahi binafsishwa vinaendeleaje Sasa hivi?Serikali ya Emirates inafanya biashara ktk mfumo wa kibinafsi, na wanajielewa, watz mashirika ya kibiashara yote mmeua na bado mnangangania kuyaendesha ili muendelee kuiba na kutafuna jasho la watz majizi makubwa nyie.
Kwasababu umeniita mjinga while am not!.Mbona mkali hivi!!!
Who’s suppose to declare then?? Politicians who can hardly read and write properly??Hiyo ndio haiwezekani sasa. Mapato anadeclare mwekezaji
Na nilitaka ufike hapa maana nilijua utafika. Na hili ndo tatizo letu. MATATIZO YOTE YA KIMAAMUZI YA WANASIASA YANATOKANA NA HILI TATIZO ULILONALO WEWE, NA MIMI, NA YULE.Ambao hao raia wameshindwa kusimamia viongozi waendeshe vizuri bandari? Ila Wataweza kuwasimamia viongozi watapokua na hao wawekezaji?
Unabinafsisha kiwanda Kwa mhindi hajawahi kuwa hata na kiwanda unategemea nini? Mama anabinafsisha Kwa kampuni yenye CV world wide kazi zake zinaonekana na zinafahamika usije ukalinganisha na ubinafsishaji wa the nkapa make ule ulikuwa ni ugawaji wa mashirika Kwa washikaji zake ambao walikuwa hawajawahi hata kuwa na cherehani mbili achilia mbali kiwanda.Kwa uchache, mashirika na viwanda vilivyowahi binafsishwa vinaendeleaje Sasa hivi?