Tukisema mnaanza kututafuta kututeka, kututesa na kutubambikizia kesi:
Hawa ndio hawafai:
1. Dr. Mpango
2. Mwigulu
3. Gavana wa BOT huyu alishirikiana na kina Mpango kufilisi na kunyang'anya fedha wafanyabiashara wakiwemo wale wa maduka ya kubadilishia fedha
4. Doto James...R.I.P Lwajabe
5.Kamanda Siro...utekaji, uuaji, ubambikiaji kesi umefanyika chini yake.
6. Doto James
7. Kenani Kihongosi...huyu ndio alikuwa anampa kampa Ole Sabaya pale Arusha
8. Ali Hapi