Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu

Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
1646738390939.png

Rais Samia Suluhu Hassana ametoa wito kwa wananchi kujitokeza katika zoezi la sensa huku akisema suala jipya lililoongezwa ni swali kuhusu anuani za makazi.

Amesema hakutakuwa na swali la kuhusu dini ya mtu kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Rais Julius Nyerere, hivyo hakutakuwa na swali la namna hiyo.

Rais ameyasema hayo akiongea na wanawake Zanzibar.
 
Rais wa Tanzania akihutubia wananchi kwenye kilele cha siku ya wanawake amesema kuna watu wanazusha kwamba kwenye sensa ya watu na makazi ya mwaka huu kutakuwa na swali linalouliza dini ya mtu.

Mheshimiwa Rais amesema serikali haina mpango wa kufanya hivyo kwani baba wa taifa alishaweka msimamo kuhusu suala hilo na serikali yake haina mpango wa kuuliza wananchi hilo swali.
 

Rais Samia Suluhu Hassana ametoa wito kwa wananchi kujitokeza katika zoezi la sensa huku akisema suala jipya lililoongezwa ni swali kuhusu anuani za makazi.

Amesema hakutakuwa na swali la kuhusu dini ya mtu kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Rais Julius Nyerere, hivyo hakutakuwa na swali la namna hiyo.

Rais ameyasema hayo akiongea na wanawake Zanzibar.
Hawa CCM sijui Nyerere wanamuonaje na kumchukuliaje, Nyerere alikuwa ni binadamu na alikuwa na madhaifu sana, Nyerere hakuwa mkweli kuna siku alisema angemuwahi Rais wa 2010 akiwa hai.

Suali la dini ni suali zuri katika nchi kujua watu wako wala halina mtafaruku wowote ni figure tu kama nchi unajua Tanzania kwa mfano kuna waislamu kiasi gani na wakiristo kiasi gaini labda ambao hawana dini ni kiasi gani kujua mahitaji vile vile katika shughuli za maendeleo.

Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.

Lakini ukija kwa wanaokataa sijui tuseme ni hofu au kitu gani sijuI au ndio hizo fikira za Nyerere labda wanaogopa waislamu kuonekana ni wengi kuliko wakiristo maana aslimia 99% wanaopinga suali hili la dini ni wakristo, hawa watu wana hofu sana kujiona wako kidogo.

Nadhani kuna watu hawatakubali kuhesabiwa kama hili suali halipo
 
Hawa CCM sijuwi nyerere wanamuonaje na kumchukuliaje, nyerere alikuwa ni binadamu na alikuwa na madhaifu sana, nyerere hakuwa mkweli kuna siku alisema angemuwahi rais wa 2010 akiwa hai.

Suali la dini ni suali zuri katika nchi kujua watu wako wala halina mtafaruku wowote ni figure tu kama nchi unajuwa Tanzania kwa mfano kuna waislamu kiasi gani na wakiristo kiasi gaini labda ambao hawana dini ni kiasi gani kujuwa mahitaji vile vile katika shughuli za maendeleo.

Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.

Lakini ukija kwa wanaokataa sijuwi tuseme ni hofu au kitu gani sijuw au ndio izo fikira za nyerere labda wanaogopa waislamu kuonekana ni wengi kuliko wakiristo maana aslimia 99% wanaopinga suali hili la dini ni wakiristo, hawa watu wana hofu sana kujiona wako kidogo.

Nadhan kuna watu hawatakubali kuhesabiwa kama hili suali halipo
Hebu tupe moja ya mahitaji ya kidini ambayo serikali inatoa kwa fedha zake?!

Wewe elimu ya uraia imekupita na imekuacha vibaya sana kwa kifupi umenasa karne ya 16.

Dini ni jambo personal la mtu. Wewe unaitumia kama identity hapo tayari unaonyesha namna gani una madhaifu.

Kipengele cha dini kinaleta mtafaruku kwasababu kuna watu sio wastaarabu wanaweza tumia kipengele cha dini katika ajenda za kisiasa.

Dini, rangi, kabila ni vipengele ambavyo hakuna serikali ya watu makini wanaweza tumia maana si Identity rasmi ya raia katika taifa lolote lile.

Na popote wanaoendekeza mijadala ya makundi ya kibaguzi huwa wanakuwa na ajenda binafsi za ubaguzi na kujiona wao ni victims au first class citizens.

Nenda kajielimishe vizuri kuhusu uraia utaelewa kwann hicho kipengele ni batili.
 
Hawa CCM sijuwi nyerere wanamuonaje na kumchukuliaje, nyerere alikuwa ni binadamu na alikuwa na madhaifu sana, nyerere hakuwa mkweli kuna siku alisema angemuwahi rais wa 2010 akiwa hai.

Suali la dini ni suali zuri katika nchi kujua watu wako wala halina mtafaruku wowote ni figure tu kama nchi unajuwa Tanzania kwa mfano kuna waislamu kiasi gani na wakiristo kiasi gaini labda ambao hawana dini ni kiasi gani kujuwa mahitaji vile vile katika shughuli za maendeleo.

Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.

Lakini ukija kwa wanaokataa sijuwi tuseme ni hofu au kitu gani sijuw au ndio izo fikira za nyerere labda wanaogopa waislamu kuonekana ni wengi kuliko wakiristo maana aslimia 99% wanaopinga suali hili la dini ni wakiristo, hawa watu wana hofu sana kujiona wako kidogo.

Nadhan kuna watu hawatakubali kuhesabiwa kama hili suali halipo
Tatizo hujui madhumuni ya sensa ya watu na makaazi.
 
Hebu tupe moja ya mahitaji ya kidini ambayo serikali inatoa kwa fedha zake?!

Wewe elimu ya uraia imekupita na imekuacha vibaya sana kwa kifupi umenasa karne ya 16.

Dini ni jambo personal la mtu. Wewe unaitumia kama identity hapo tayari unaonyesha namna gani una madhaifu.

Kipengele cha dini kinaleta mtafaruku kwasababu kuna watu sio wastaarabu wanaweza tumia kipengele cha dini katika ajenda za kisiasa.

Dini, rangi, kabila ni vipengele ambavyo hakuna serikali ya watu makini wanaweza tumia maana si Identity rasmi ya raia katika taifa lolote lile.

Na popote wanaoendekeza mijadala ya makundi ya kibaguzi huwa wanakuwa na ajenda binafsi za ubaguzi na kujiona wao ni victims au first class citizens.

Nenda kajielimishe vizuri kuhusu uraia utaelewa kwann hicho kipengele ni batili.
Mwongezee kuwa madhumuni ya sensa ni kupata takwimu kwa ajili ya kupanga mipango ya maendeleo tu. Hivyo kujua wanaume na wanawake ni wangapi kuna maana ili kuweza kuwapangia mipango yao ya maendeleo. Kwa upande wa dini na kabila, atueleze ni kipi cha maana unakitafuta? Ukikumbuka kila swali moja linaloulizwa wakati wa sensa ni gharama ya zaidi ya billion moja.

Katika survey nyingi au tuseme DHS, swali la dini na kabila ni muhimu kutokana na madhumuni yake. Mfano magonjwa fulani yanaweza kusababishwa na dini. Unaweza kuassociate ugomvi na kabila kama la GENTAMYCINE etc ila katika sensa ambayo madhumuni ni kwa ajili ya kupanga mipango ya maendeleo. Hii kitu haina maana
 
Hawa CCM sijuwi nyerere wanamuonaje na kumchukuliaje, nyerere alikuwa ni binadamu na alikuwa na madhaifu sana, nyerere hakuwa mkweli kuna siku alisema angemuwahi rais wa 2010 akiwa hai.

Suali la dini ni suali zuri katika nchi kujua watu wako wala halina mtafaruku wowote ni figure tu kama nchi unajuwa Tanzania kwa mfano kuna waislamu kiasi gani na wakiristo kiasi gaini labda ambao hawana dini ni kiasi gani kujuwa mahitaji vile vile katika shughuli za maendeleo.

Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.

Lakini ukija kwa wanaokataa sijuwi tuseme ni hofu au kitu gani sijuw au ndio izo fikira za nyerere labda wanaogopa waislamu kuonekana ni wengi kuliko wakiristo maana aslimia 99% wanaopinga suali hili la dini ni wakiristo, hawa watu wana hofu sana kujiona wako kidogo.

Nadhan kuna watu hawatakubali kuhesabiwa kama hili suali halipo
Makanisa na misikiti waanzishe sensa zao kwani serikali ikijua idadi ya wakristo na waislam itawasaidia Nini????!!!!
 
Acheni hizo, majuzi tuliaambiwa wafanyakazi walikuwa wakijaza fomu maalumu ambazo waliulizwa makabila na dini zao!
Sijui nani alituloga sisi wadanganyika!
 
Hebu tupe moja ya mahitaji ya kidini ambayo serikali inatoa kwa fedha zake?!

Wewe elimu ya uraia imekupita na imekuacha vibaya sana kwa kifupi umenasa karne ya 16.

Dini ni jambo personal la mtu. Wewe unaitumia kama identity hapo tayari unaonyesha namna gani una madhaifu.

Kipengele cha dini kinaleta mtafaruku kwasababu kuna watu sio wastaarabu wanaweza tumia kipengele cha dini katika ajenda za kisiasa.

Dini, rangi, kabila ni vipengele ambavyo hakuna serikali ya watu makini wanaweza tumia maana si Identity rasmi ya raia katika taifa lolote lile.

Na popote wanaoendekeza mijadala ya makundi ya kibaguzi huwa wanakuwa na ajenda binafsi za ubaguzi na kujiona wao ni victims au first class citizens.

Nenda kajielimishe vizuri kuhusu uraia utaelewa kwann hicho kipengele ni batili.
We binbaraghash njoo hapa usome mchango mwingine wa maoni hapa. Sio unatujia na mawazo yako ya kihafidhina kwenye mambo ya kitaifa hapa.

We kama unaona Tanzania tunakukera kwa kutokuendekeza udini nenda kaishi sudani, Somali, Saudia na kwingineko ambapo wanaendekeza dini na madhebu kwenye maswala ya kitaifa.

Sisi ituache hivi hivi tulivyo.
 
Hawa CCM sijuwi nyerere wanamuonaje na kumchukuliaje, nyerere alikuwa ni binadamu na alikuwa na madhaifu sana, nyerere hakuwa mkweli kuna siku alisema angemuwahi rais wa 2010 akiwa hai.

Suali la dini ni suali zuri katika nchi kujua watu wako wala halina mtafaruku wowote ni figure tu kama nchi unajuwa Tanzania kwa mfano kuna waislamu kiasi gani na wakiristo kiasi gaini labda ambao hawana dini ni kiasi gani kujuwa mahitaji vile vile katika shughuli za maendeleo.

Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.

Lakini ukija kwa wanaokataa sijuwi tuseme ni hofu au kitu gani sijuw au ndio izo fikira za nyerere labda wanaogopa waislamu kuonekana ni wengi kuliko wakiristo maana aslimia 99% wanaopinga suali hili la dini ni wakiristo, hawa watu wana hofu sana kujiona wako kidogo.

Nadhan kuna watu hawatakubali kuhesabiwa kama hili suali halipo
UMAARUFU WA DINI SIO WINGI WA WAUMINI WAKE. UMAARUFU WA DINI HUTOKANA NA UKUBWA WA MAMBO YAKE KATIKA SHUGHULI ZA MAENDELEO YA KIJAMII.
 
Back
Top Bottom