Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu

Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu

Hawa CCM sijuwi nyerere wanamuonaje na kumchukuliaje, nyerere alikuwa ni binadamu na alikuwa na madhaifu sana, nyerere hakuwa mkweli kuna siku alisema angemuwahi rais wa 2010 akiwa hai.

Suali la dini ni suali zuri katika nchi kujua watu wako wala halina mtafaruku wowote ni figure tu kama nchi unajuwa Tanzania kwa mfano kuna waislamu kiasi gani na wakiristo kiasi gaini labda ambao hawana dini ni kiasi gani kujuwa mahitaji vile vile katika shughuli za maendeleo.

Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.

Lakini ukija kwa wanaokataa sijuwi tuseme ni hofu au kitu gani sijuw au ndio izo fikira za nyerere labda wanaogopa waislamu kuonekana ni wengi kuliko wakiristo maana aslimia 99% wanaopinga suali hili la dini ni wakiristo, hawa watu wana hofu sana kujiona wako kidogo.

Nadhan kuna watu hawatakubali kuhesabiwa kama hili suali halipo
Hapo umedanganya, hakuna mkristo anahangaika na mambo ya imani....... utakuwa huzijui vizuri hizi dini.
 
Hawa CCM sijuwi nyerere wanamuonaje na kumchukuliaje, nyerere alikuwa ni binadamu na alikuwa na madhaifu sana, nyerere hakuwa mkweli kuna siku alisema angemuwahi rais wa 2010 akiwa hai.

Suali la dini ni suali zuri katika nchi kujua watu wako wala halina mtafaruku wowote ni figure tu kama nchi unajuwa Tanzania kwa mfano kuna waislamu kiasi gani na wakiristo kiasi gaini labda ambao hawana dini ni kiasi gani kujuwa mahitaji vile vile katika shughuli za maendeleo.

Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.

Lakini ukija kwa wanaokataa sijuwi tuseme ni hofu au kitu gani sijuw au ndio izo fikira za nyerere labda wanaogopa waislamu kuonekana ni wengi kuliko wakiristo maana aslimia 99% wanaopinga suali hili la dini ni wakiristo, hawa watu wana hofu sana kujiona wako kidogo.

Nadhan kuna watu hawatakubali kuhesabiwa kama hili suali halipo
Wavaa kobazi bhana.. akili ndogo sana.. kutwa kulia lia.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunataka tujue idadi ya wale ili tulete mizigo ya tende, na tunataka tujue idadi ya hawa ili tufanyeje sasa? tulete mapipa ya divai ama? Kuhesabu watu kwa kipengele cha dini ni cha kifamba sana, hakina mashiko
 

Rais Samia Suluhu Hassana ametoa wito kwa wananchi kujitokeza katika zoezi la sensa huku akisema suala jipya lililoongezwa ni swali kuhusu anuani za makazi.

Amesema hakutakuwa na swali la kuhusu dini ya mtu kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Rais Julius Nyerere, hivyo hakutakuwa na swali la namna hiyo.

Rais ameyasema hayo akiongea na wanawake Zanzibar.
Nafikiri Mh. Mama amelisema hili ili kuwapa afueni wale wasiotaka kuujua ukweli wa dini gani ni wengi kuliko wengine. Lakini, kwa Kanisa Katoliki watajua tu ni dini gani ina waumini wengi.
 
tunataka tujue idadi ya wale ili tulete mizigo ya tende, na tunataka tujue idadi ya hawa ili tufanyeje sasa? tulete mapipa ya divai ama?, kuhesabu watu kwa kipengele cha dini ni cha kifamba sana, hakina mashiko

Nigeria inajulikana waisilamu na waco waisilamu ni wangapi,,,senegal piaa ivyo ivyo,, libya, ivyo ivyo,, Algeria ivyo ivyo,, sudan ivyo ivyo, botswana ivyoivyo, cameroon ivyovyo n.k. nyie akina nani mpinge? So wao ni wajinga waliohesabu?
 
Hawa CCM sijuwi nyerere wanamuonaje na kumchukuliaje, nyerere alikuwa ni binadamu na alikuwa na madhaifu sana, nyerere hakuwa mkweli kuna siku alisema angemuwahi rais wa 2010 akiwa hai.

Suali la dini ni suali zuri katika nchi kujua watu wako wala halina mtafaruku wowote ni figure tu kama nchi unajuwa Tanzania kwa mfano kuna waislamu kiasi gani na wakiristo kiasi gaini labda ambao hawana dini ni kiasi gani kujuwa mahitaji vile vile katika shughuli za maendeleo.

Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.

Lakini ukija kwa wanaokataa sijuwi tuseme ni hofu au kitu gani sijuw au ndio izo fikira za nyerere labda wanaogopa waislamu kuonekana ni wengi kuliko wakiristo maana aslimia 99% wanaopinga suali hili la dini ni wakiristo, hawa watu wana hofu sana kujiona wako kidogo.

Nadhan kuna watu hawatakubali kuhesabiwa kama hili suali halipo
Una matatizo wewe wakristu Wa wapi walikataa swali la dini? Kwanza Sisi wakatoliki huwa tuna Sensa yetu hatungoji serikali Ije kutuhesabu na nyie si mkahesabiane misikitini ovyo kabisa.
 
Kwahio tuanze kugawana mambo kwa kuanglia imani zetu ? Na wasio na Imani Je ? Kodi zao zigharamie Imani ya wengine ?
Kutokuwa na imani nayo ndio dini hiyo,
Yaani tutapeana kazi kwa uwiano ulio sawa
Bila kundi dogo kuwazidi wengi
 
Wanajua Tukianza kupeana kazi kwa uadilifu bila ya kubebana wengi wao watakuwa omba omba
 
No, no, no
Tunataka kuhesabiwa kwa dini zetu, tujuane tu, hii itasaidia katika mgawanyo wa mambo mengi tu,
Wakati ni sasa,
Unyonge na uonevu uishe
Fanya sensa binafsi katika dini yako bila kuhusisha serikali ili ujue mko wangapi katika dhehebu au dini yako. Kwa nini unataka serikali ifanye jukumu lake?
 
Kwa nini Wakristo ndio huwa wanapinga kwa nguvu zote hili suala? Wanaogopa nini? Nini kilichojificha hawataki kijulikane?
 
Na kuna siri gani maana waisilam wengi ndio wanataka serikali ihesabu watu kwa kufuata dini kwani msikitini hakuna orodha ya waumini!? Kwenye uisilamu hakuna mfumo wa kuhesabiana hadi watake serikali iwasaidie?
Wakristo wanaogopa nini mbona wanakuwa wakali kama pilipili likija hili swala?
 
Hawa CCM sijuwi nyerere wanamuonaje na kumchukuliaje, nyerere alikuwa ni binadamu na alikuwa na madhaifu sana, nyerere hakuwa mkweli kuna siku alisema angemuwahi rais wa 2010 akiwa hai.

Suali la dini ni suali zuri katika nchi kujua watu wako wala halina mtafaruku wowote ni figure tu kama nchi unajuwa Tanzania kwa mfano kuna waislamu kiasi gani na wakiristo kiasi gaini labda ambao hawana dini ni kiasi gani kujuwa mahitaji vile vile katika shughuli za maendeleo.

Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.

Lakini ukija kwa wanaokataa sijuwi tuseme ni hofu au kitu gani sijuw au ndio izo fikira za nyerere labda wanaogopa waislamu kuonekana ni wengi kuliko wakiristo maana aslimia 99% wanaopinga suali hili la dini ni wakiristo, hawa watu wana hofu sana kujiona wako kidogo.

Nadhan kuna watu hawatakubali kuhesabiwa kama hili suali halipo
Kama unataka minong'ono iwe mingi waweke suala dini
 
Back
Top Bottom