raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Eti hilo suala lilikataliwa tangu enzi za Nyerere 😃😃😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkiambiwa waislam wachache mtaanzisha vitaKwa nini Wakristo ndio huwa wanapinga kwa nguvu zote hili suala? Wanaogopa nini? Nini kilichojificha hawataki kijulikane?
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii commentKutokana na alichofanyiwa gerezani amejiona hana tofauti na wanawake ndiyo maana amekuwa mgeni rasmi wao huko Iringa
Kazi gani kutangaza dini? Hivi hata hizo kazi zipo ngapi tunazogombania, watu wengi wapo kitaa hawana kazi badala ya kujadili kama Taifa tutafanya nini kila mtu apate cha kufanya ili apate ujira unangangania kugawana vichache vilivyopo na sio kwa kipimo cha skills Bali imani kweli tuna safari ndefuKutokuwa na imani nayo ndio dini hiyo,
Yaani tutapeana kazi kwa uwiano ulio sawa
Bila kundi dogo kuwazidi wengi
Hamia huko ukahesabiwe Kwa dini yako.
Fanya sensa binafsi katika dini yako bila kuhusisha serikali ili ujue mko wangapi katika dhehebu au dini yako. Kwa nini unataka serikali ifanye jukumu lake?
Wanaona halina tija na sio wakristo tu hata waisilam walioelimika kama Samia wanaona halina tija ni swali linalokusudia kuibua mpasukoWakristo wanaogopa nini mbona wanakuwa wakali kama pilipili likija hili swala?
Ndio sasa kama wengi si waseme wako wangapiSasa ndiyo utufokee mzehe 🤣 Kumbe mnajuwa waisilamu ni wengi ndiyomaana
Kukaa sawa vip mama kasema hiyo takatqka hataki kuisikia sasa mkahesabiane masjidMalalamiko hayatasaidia mtakaa sawa tu
Data zipo
RC 54.1%
Lutheran 18%
Pentecoste11.4%
Islam 8.6%
Moravian 3.2%
Adcentist 2.7%
Other 2.4%
Na safari hatukubali,Kazi gani kutangaza dini? Hivi hata hizo kazi zipo ngapi tunazogombania, watu wengi wapo kitaa hawana kazi badala ya kujadili kama Taifa tutafanya nini kila mtu apate cha kufanya ili apate ujira unangangania kugawana vichache vilivyopo na sio kwa kipimo cha skills Bali imani kweli tuna safari ndefu
Kwanza nipe sababi moja tu kwanini nyie ndio munakataa kwa nguvu zote?Mambo gani, hebu taja matatu.
Kwanza nipe sababi moja tu kwanini nyie ndio munakataa kwa nguvu zote?
Why not? Tunataka kujua Wakristu wangapi,wapagani wangapi n.k. Mimi sishiriki sensa kama Dini isipoulizwa.
Rais Samia Suluhu Hassana ametoa wito kwa wananchi kujitokeza katika zoezi la sensa huku akisema suala jipya lililoongezwa ni swali kuhusu anuani za makazi.
Amesema hakutakuwa na swali la kuhusu dini ya mtu kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Rais Julius Nyerere, hivyo hakutakuwa na swali la namna hiyo.
Rais ameyasema hayo akiongea na wanawake Zanzibar.
Amesemaje kuhusu kuulizwa kabila lako??Tuache ukabila na udini
Bara alimuachia mwamba au nasema uongo ndugu zangu? Mazungumzo ya ikulu kujenga taifa moja sasa mwendo mdundo, hata Iringa ilikuwa shwari bila virungu wala mabomu.Kwanini ameenda kuongea na wanawake wa Zanzibar, kwani bara anapoongoza hakuna wanawake?
Naona hii tabia ya marais kupendelea kwao inaanza kuota mizizi ya kijinga.
Nenda google kisha uje hapa..yendelee kulia lia unahujumiwa.Kumbe mnajuwa waisilamu ni wengi ndiomaaaaana mnapinga sensa co![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona chache..fanya 100%..haya kakojoe ulale.Waislamu tanzania ni 75%, mnaogopa hiyo parcentage itawaadhibu
Lakini mbona wafanyakazi wa serikali wanaulizwa hilo swali kwenye fomu za kujaza? Jee kuna kunani huko ofisini kwenu makafiri wengi sana?
Rais Samia Suluhu Hassana ametoa wito kwa wananchi kujitokeza katika zoezi la sensa huku akisema suala jipya lililoongezwa ni swali kuhusu anuani za makazi.
Amesema hakutakuwa na swali la kuhusu dini ya mtu kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Rais Julius Nyerere, hivyo hakutakuwa na swali la namna hiyo.
Rais ameyasema hayo akiongea na wanawake Zanzibar.