Rais Samia: Serikali haifikirii kuanzisha Mikoa na Wilaya mpya kwa sasa

Rais Samia: Serikali haifikirii kuanzisha Mikoa na Wilaya mpya kwa sasa

escrow one

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2014
Posts
1,473
Reaction score
2,868
Rais wa JMT Mama Samia amesema kwa sasa Serikali yake haifikirii kuanzisha Mikoa na Wilaya mpya kutokana na hali ya kiuchumi ya Taifa letu kwa sasa.

Akijibu ombi lililotolewa na Mbunge wa jimbo la Mbagala mkoani Dar es salaam aliyetaka jimbo hilo lipewe hadhi ya Wilaya, Rais Samia amesema hali ya uchumi wa nchi hairuhusu kuwa na Mikoa na Wilaya mpya ila uchumi ukiimarika jimbo hilo litakuwa wilaya hivyo wawe wavumilivu.

My take
» Asante Mama kwa msimamo huu. Maana kuna hadi vijiji vilianza vikao ili vipewe hadhi ya Mkoa na Wilaya
 
Rais wa JMT Mama Samia amesema kwa sasa serikali yake haifikirii kuanzisha Mikoa na Wilaya mpya kutokana na hali ya kiuchumi ya Taifa letu kwa sasa.

Akijibu ombi lililotolewa na Mbunge wa jimbo la Mbagala mkoani Dar es salaam aliyetaka jimbo hilo lipewe hadhi ya Wilaya, Rais Samia amesema hali ya uchumi wa nchi hairuhusu kuwa na Mikoa na Wilaya mpya ila uchumi ukiimarika jimbo hilo litakuwa wilaya hivyo wawe wavumilivu.

My take
» Asante Mama kwa msimamo huu. Maana kuna hadi vijiji vilianza vikao ili vipewe hadhi ya Mkoa na Wilaya
😁😁😁 Vijiji vipewe hadhi ya mkoa na wilaya!
 
Rais wa JMT Mama Samia amesema kwa sasa serikali yake haifikirii kuanzisha Mikoa na Wilaya mpya kutokana na hali ya kiuchumi ya Taifa letu kwa sasa.

Akijibu ombi lililotolewa na Mbunge wa jimbo la Mbagala mkoani Dar es salaam aliyetaka jimbo hilo lipewe hadhi ya Wilaya, Rais Samia amesema hali ya uchumi wa nchi hairuhusu kuwa na Mikoa na Wilaya mpya ila uchumi ukiimarika jimbo hilo litakuwa wilaya hivyo wawe wavumilivu.

My take
» Asante Mama kwa msimamo huu. Maana kuna hadi vijiji vilianza vikao ili vipewe hadhi ya Mkoa na Wilaya
Sawa. Kwa hiyo hata Chato inabidi wasubiri kwanza tujenge uchumi kwanza.
 
Rais wa JMT Mama Samia amesema kwa sasa serikali yake haifikirii kuanzisha Mikoa na Wilaya mpya kutokana na hali ya kiuchumi ya Taifa letu kwa sasa.

Akijibu ombi lililotolewa na Mbunge wa jimbo la Mbagala mkoani Dar es salaam aliyetaka jimbo hilo lipewe hadhi ya Wilaya, Rais Samia amesema hali ya uchumi wa nchi hairuhusu kuwa na Mikoa na Wilaya mpya ila uchumi ukiimarika jimbo hilo litakuwa wilaya hivyo wawe wavumilivu.

My take
» Asante Mama kwa msimamo huu. Maana kuna hadi vijiji vilianza vikao ili vipewe hadhi ya Mkoa na Wilaya
Vipi kuhusu Mkoa wa Chato ?
 
Rais wa JMT Mama Samia amesema kwa sasa serikali yake haifikirii kuanzisha Mikoa na Wilaya mpya kutokana na hali ya kiuchumi ya Taifa letu kwa sasa.

Akijibu ombi lililotolewa na Mbunge wa jimbo la Mbagala mkoani Dar es salaam aliyetaka jimbo hilo lipewe hadhi ya Wilaya, Rais Samia amesema hali ya uchumi wa nchi hairuhusu kuwa na Mikoa na Wilaya mpya ila uchumi ukiimarika jimbo hilo litakuwa wilaya hivyo wawe wavumilivu.

My take
» Asante Mama kwa msimamo huu. Maana kuna hadi vijiji vilianza vikao ili vipewe hadhi ya Mkoa na Wilaya
Hivi mbunge kwa urahisi wa usafiri wa jimbo la mbagala nikipaumbele kuwa na mkuu wa wilaya au halmashauri
 
Rais wa JMT Mama Samia amesema kwa sasa serikali yake haifikirii kuanzisha Mikoa na Wilaya mpya kutokana na hali ya kiuchumi ya Taifa letu kwa sasa.

Akijibu ombi lililotolewa na Mbunge wa jimbo la Mbagala mkoani Dar es salaam aliyetaka jimbo hilo lipewe hadhi ya Wilaya, Rais Samia amesema hali ya uchumi wa nchi hairuhusu kuwa na Mikoa na Wilaya mpya ila uchumi ukiimarika jimbo hilo litakuwa wilaya hivyo wawe wavumilivu.

My take
» Asante Mama kwa msimamo huu. Maana kuna hadi vijiji vilianza vikao ili vipewe hadhi ya Mkoa na Wilaya
Wala asingewapa matumaini. Hili la kuanzisha maeneo mapya ya utawala au majimbo mapya ya ubunge halina tija ila kichocheo ni kuunda vyeo kwa watu wenye kuvitafuta. Ni ubadhirifu na upigaji kuliko haja. Mama awe na msimamo wa kusema tu No.
 
Mkoa ni kupeleka huduma muhimu kwa watu kwakaribu zaidi,patapelekwa hospitali yenye hadhi ya mkoa na huduma zingine
Hii mkuu ni politics sio kweli,services delivery kwa wananchi haitegemei kabisa utitiri wa mikoa au wilaya!angalia jirani zetu ambao hatuna tofauti kubwa ya ukubwa wa eneo lakini wamefanikiwa mno kupeleka maendeleo kwa wananchi wao,Zambia na Botswana wana mikoa michache kuliko sisi na maendeleo ni makubwa zaidi,S.A. wana mikoa 9 tu na huku eneo lao ni kubwa mno!uadilifu na ufanyaji kazi kwa uaminifu ndio tunahitaji mno (kwangu mikoa isizidi 20 na wizara 15 na wilaya 70 inatosha kabisa kusukuma maendeleo)
 
Rais wa JMT Mama Samia amesema kwa sasa serikali yake haifikirii kuanzisha Mikoa na Wilaya mpya kutokana na hali ya kiuchumi ya Taifa letu kwa sasa.

Akijibu ombi lililotolewa na Mbunge wa jimbo la Mbagala mkoani Dar es salaam aliyetaka jimbo hilo lipewe hadhi ya Wilaya, Rais Samia amesema hali ya uchumi wa nchi hairuhusu kuwa na Mikoa na Wilaya mpya ila uchumi ukiimarika jimbo hilo litakuwa wilaya hivyo wawe wavumilivu.

My take
» Asante Mama kwa msimamo huu. Maana kuna hadi vijiji vilianza vikao ili vipewe hadhi ya Mkoa na Wilaya
Uchumi umeanguka vibaya sana tangu mjambiani apewe uraisi sasa hivi makusanyo ya mwezi kwa mwezi yameshuka kwa 48% ya aliyokuwa anakusanya magufuli miradi mikubwa imesimama yote
 
Back
Top Bottom