Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Hiyo zawadi ameitoa kupitia mshahara wake, au ni kupitia kodi za watanzania? Na hiyo 80% anayopokea kila mwezi haimtoshi kununulia gari dogo?Kutoa zawadi ni madudu? Kupongezana imekua madudu? Nyie watu mna akili timamu?
Huyo Mzee alimuomba hilo gari, au ni mihemko tu ya Rais Mpya kutaka kujitutumua?