mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,084
Kuna mkurugenzi gani sijui wamefukuzwa kazi kisa vi8 sijui kasahauAisee mmenishangaza sana nyie watu kagari kanataka kuwatoa roho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mkurugenzi gani sijui wamefukuzwa kazi kisa vi8 sijui kasahauAisee mmenishangaza sana nyie watu kagari kanataka kuwatoa roho.
Wewe ndio wa kusema hivi? Hahahahaha dadeeeki shenzi, huu ni muendelezo wa serikali za CCM. 450m ni mashimo mangapi ya vyoo?hii nchi inachezewa sana
USSR
Peleka utopolo kwenye uko wako ,kite mkubwa wewe450 Millions Tsh.
Ishu sio mali ya serikali, ishu ni kwanini jamaa anadanganya umma huu? Nimesikiliza hotuba sijasikia wametaja 450M.
Exactly my sentiments…Aisee mmenishangaza sana nyie watu kagari kanataka kuwatoa roho.
Kwa hiyo hata kama anafanya madudu basi tunatakiwa tu kumsifia kama Mataga vile!!Nyinyi watu hamuwezi kuridhika hata mletewe malaika awaongoze si juzi tu apa mlikuwa mana imba mapambio na mihemko kibao? Sasa mnalia lia nini tena
Inasikitisha sana. Kila kitu tunalaumu tu. Hii kwangu ni issue ndogo sana kwetu. Maana hata leo magari yake yote ni ya usalama. hatembelei gari binafsi. Na analindwa na sheria kwa hilo.
Hivi tuna generation ya watu wa aina gani ambao kila kitu wanalalamika?
Unaiongelea maiti gani wewe! Acha tabia za kuku mwenye vifaranga!Ulitaka anunuliwe ile maiti yenu iliyojiozea kule mbwa nyinyi
mfuko wa walipa kodiHizo milion 450 zinatoka mfuko gani?
Nadhani ni team iliyoandaliwa ili kumzingua mama kisaikolojia. Ila hawatawezaKuna wapuuzi wanapotosha kila anachofanya mama ,ila ni wachache na kamwe hawataturudisha nyuma .Mama piga kazi
Sasa mzee ukiliona hilo la jumba la jakaya kule kawe beach si utazimia? Mwezi wa 7 mama anamkabidhi funguo zake.
Kutoa zawadi ni madudu? Kupongezana imekua madudu? Nyie watu mna akili timamu?Kwa hiyo hata kama anafanya madudu basi tunatakiwa tu kumsifia kama Mataga vile!!
Unajenga shule moja ya msingi safi kabisa..Ameshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?
Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.