TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,465
- 3,459
Mthenge wwMama ni mdini hatufai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mthenge wwMama ni mdini hatufai
Hayo maghorofa sijui wanayatumiaje sababu tayari wanayo ya kwao mengi tu na bado hata watoto wao nao wanayo, mwishowe yatakuja kuwa mzigo tu kwetu sisi walipa kodi,kweli binadamu hatosheki.Si rais tu, viongozi wote waandamizi wanapeana maghorofa wakistaafu sasa hivi. Huu ni utaratibu waliojiwekea lakini sisi wapiga kura hatuambiwi.
Unataka niombe chanzo gani? Mimi kama mimi, nimeiona live hii taarifa kupitia Azam tv!Una uhakika gani na hii habari? Ungekua na akili ungeomba chanzo.
Hapa kumi tena nakushauri utafute nchi ya kuhamia mapema. Wakatoliki mnapenda kusumbuwa sanaMama ni mdini hatufai
Nyinyi watu hamuwezi kuridhika hata mletewe malaika awaongoze si juzi tu apa mlikuwa mana imba mapambio na mihemko kibao? Sasa mnalia lia nini tenaAmeshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?
Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Ulitaka anunuliwe ile maiti yenu iliyojiozea kule mbwa nyinyiAmeshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?
Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Kwako Rais Hadi awe chadema ndio utaacha kulalamikaHuyu mama ni failure
Kwani alikuwa halipwi??Inachezewa sana kivipi we jamaa.. Mbona unakuwa na roho ya kimaskini sana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zawadi ya Ml 450 kwa mtu alie simamia ustawi wa taifa letu.. tena ukiangalia hata kwenye baadhi ya sarafu kuna sura yake hiyo tsh ml 450 bado ni ndogo sana Ndugu yangu
Unamsikiliza huyo. Ile gari haifiki hata milioni 50450 Millions Tsh.
Aisee! Mbona mnafika mbali kiasi hiki?
Yale magari anayotembelea ni mali ya serikali. hili alilopewa ni mali ya serikali. Tunalalamika nini siye waja? Mbona tuna lalamika karibu kila kitu?Acha UNAFIKI, thamani ya hilo gari haijatajwa, wala haijulikani kama ni mpya au used.
Inasikitisha sana. Kila kitu tunalaumu tu. Hii kwangu ni issue ndogo sana kwetu. Maana hata leo magari yake yote ni ya usalama. hatembelei gari binafsi. Na analindwa na sheria kwa hilo...Mataga / Uvccm hao.
..Ndivyo walivyolelewa.
100 umeenda mbali ile gari haifiki milioni 50Gari aliopewe Mstaafu mwinyi Mercedes Benz haizidi hata milioni 100, ila nimeamini watu wanapenda kukuza mambo... na amepewa kwasababu mheshimiwa Rais ameona Mstaafu mwinyi anashindwa kuhudhuria hafla nyingi kutokana gari anayotumia kwasasa ni V8 inampa tabu kupanda kutokana na uzee.. Hivyo ameona si haba akamalizia maisha kwenye Benz saloon...
Acha wivu yule ni mzee atawezaje kupanda gari kubwa?Huu ni ufisadi mkubwa sana
Hiyo ni standard version? Kodi?Ata kama tunadanganya twende na ukweli kidogo, so far the most expensive saloon Mercedes ni S class ya Mwaka jana ambayo ni 94,000usd = 216M Tsh, sasa hiyo million 450 imetoka wapi?
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app