Rais Samia: Serikali imempatia Mzee Mwinyi zawadi ya gari aina ya Benz ya chini

Rais Samia: Serikali imempatia Mzee Mwinyi zawadi ya gari aina ya Benz ya chini

Si rais tu, viongozi wote waandamizi wanapeana maghorofa wakistaafu sasa hivi. Huu ni utaratibu waliojiwekea lakini sisi wapiga kura hatuambiwi.
Hayo maghorofa sijui wanayatumiaje sababu tayari wanayo ya kwao mengi tu na bado hata watoto wao nao wanayo, mwishowe yatakuja kuwa mzigo tu kwetu sisi walipa kodi,kweli binadamu hatosheki.
 
Ameshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?

Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Nyinyi watu hamuwezi kuridhika hata mletewe malaika awaongoze si juzi tu apa mlikuwa mana imba mapambio na mihemko kibao? Sasa mnalia lia nini tena
 
Ameshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?

Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Ulitaka anunuliwe ile maiti yenu iliyojiozea kule mbwa nyinyi
 
Mama ameshaanza kuchota fedha hazina wacha wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inachezewa sana kivipi we jamaa.. Mbona unakuwa na roho ya kimaskini sana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Zawadi ya Ml 450 kwa mtu alie simamia ustawi wa taifa letu.. tena ukiangalia hata kwenye baadhi ya sarafu kuna sura yake hiyo tsh ml 450 bado ni ndogo sana Ndugu yangu
Kwani alikuwa halipwi??
 
..Mataga / Uvccm hao.

..Ndivyo walivyolelewa.
Inasikitisha sana. Kila kitu tunalaumu tu. Hii kwangu ni issue ndogo sana kwetu. Maana hata leo magari yake yote ni ya usalama. hatembelei gari binafsi. Na analindwa na sheria kwa hilo.
Hivi tuna generation ya watu wa aina gani ambao kila kitu wanalalamika?
 
Gari aliopewe Mstaafu mwinyi Mercedes Benz haizidi hata milioni 100, ila nimeamini watu wanapenda kukuza mambo... na amepewa kwasababu mheshimiwa Rais ameona Mstaafu mwinyi anashindwa kuhudhuria hafla nyingi kutokana gari anayotumia kwasasa ni V8 inampa tabu kupanda kutokana na uzee.. Hivyo ameona si haba akamalizia maisha kwenye Benz saloon...
100 umeenda mbali ile gari haifiki milioni 50
 
Milioni 450 tsh ni sawa na madawati na meza za kutosha kwa wanafunzi wanao kaa chini.
 
Back
Top Bottom