Rais Samia: Serikali imempatia Mzee Mwinyi zawadi ya gari aina ya Benz ya chini

Rais Samia: Serikali imempatia Mzee Mwinyi zawadi ya gari aina ya Benz ya chini

Hivi mnajua wale wageni wa SADC zile gari zote ziliagizwa mpya 0km na kuwachukua airport na kuwarudisha baada ya hapo zililala tu.inawezekana kampa moja kati ya zile.
Ushahidi? Acha uzushi kutetea ujinga wako
 
Naona zile bilioni 1.2 kwa mwezi za "matumizi binafsi ya Rais" enzi za Mwendazake zimeanza kufanyiwa kazi pia katika awamu hii, hakika CCM ni ile ile.
ni 80mln bana acha kutia watu moto[emoji16]
 
Wewe ni dogg sana, Mwinyi anastahili zaidi ya hiyo Benz, benz zenyewe zimejaa Ikulu kwanini asipewe moja mtu muhimu kama huyu?
 
Kama n kweli basi tuna "RAHISI" na siyo RAIS

mzee wa Miaka 90+ unampa gari la mil 450 s alisema Corona imeyumbisha uchumi Sasa hii 450 mil kaitoa wapi

Hyo 450 M inalipa malimbikizo ya watu wangapi wanayodai

Mwinyi anamshahara au marupurupu Mengi Bado ana watoto wenye mamlaka huko visiwan

POLE MAMA TANZANIA SIKUMPENDA MAGUFULI LAKIN HUYU DAAAH

Subiri kwanza Mkuu ni mapema
 
Gari aliopewe Mstaafu mwinyi Mercedes Benz haizidi hata milioni 100, ila nimeamini watu wanapenda kukuza mambo... na amepewa kwasababu mheshimiwa Rais ameona Mstaafu mwinyi anashindwa kuhudhuria hafla nyingi kutokana gari anayotumia kwasasa ni V8 inampa tabu kupanda kutokana na uzee.. Hivyo ameona si haba akamalizia maisha kwenye Benz saloon...
huzijui benz mzee,au unadhani ni compressor ile[emoji23][emoji23].
 
Ameshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?

Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Umejuaje kama ni jipya?
Huenda amepewa gari kuukuu
 
Afadhali mama amesema “serikali imetoa …”, angekuwa ni yule jamaa ungesikia “mimi nimempa….”
kwani mama si ndio serikali!!!au wewe unaweza kupinga???
 
Inachezewa sana kivipi we jamaa.. Mbona unakuwa na roho ya kimaskini sana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Zawadi ya Ml 450 kwa mtu alie simamia ustawi wa taifa letu.. tena ukiangalia hata kwenye baadhi ya sarafu kuna sura yake hiyo tsh ml 450 bado ni ndogo sana Ndugu yangu
Una akili kijana
 
Screenshot_20210508-194552.png
Screenshot_20210508-194543.png
Screenshot_20210508-194533.png
 
Jambo jema ,Sana kutoa ni moyo japo sijajua ametoa mfukoni au ni kwa niaba ya wananchi?

But all ni all mama wenda ana moyo mzuri kufika mwakani mama SSH binafsi nitafuata taratibu nitakuja kukusalimia hapo CHAMWINO, Sasa isije fika mda then ulishabadilika Kama mwendazake, nishindwe kunywa soda maana tumeyaona na tutayasimulia wajukuu ya mwendazake , lakin pia ajengewe sanam ili kipindi hicho wajukuu wetu wawapo wanasimuliwa Basi wafanye na tour
 
Ameshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?

Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Ni haki yake Mzee mwinyi kama rais mstaafu kuhudumiwa na serikali mpaka mwisho wa uhai wake.unashangaa benzi ya mil450: je unajua bei ya vx v8 new model?
 
Majuzi hapa Magufuli kamjengea Mzee Mwinyi bonge la "Hekalu"

Leo Samia anatoa Zawadi ya Benz la Mamilioni

Hivi haya Mambo ndo yanatatua shida na kero za wananchi au?

Mwinyi ana pensheni ya Mamilioni ya fedha, Mwanae ni rais, watoto wake ni wabunge, Hivi bado anahitaji Mihela yote hiyo kodi za wananchi masikini kwa ajili ya mavituvitu kama hayo?

Naona tumeanza kutumia fedha za wananchi kama pesa za familia. Mambo ya ajabu sana haya!
 
Kuna Rummors kuwa Maza ni Mtoto wa Mzee Mwinyi.
Kamzawadia Babaye
 
Back
Top Bottom