mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
kwani nyinyi kama wanufaika wa kifo cha mwendazake mnasemaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Aongeze kidogo ampatie la walau million mia 850
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani nyinyi kama wanufaika wa kifo cha mwendazake mnasemaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Aongeze kidogo ampatie la walau million mia 850
Ushahidi? Acha uzushi kutetea ujinga wakoHivi mnajua wale wageni wa SADC zile gari zote ziliagizwa mpya 0km na kuwachukua airport na kuwarudisha baada ya hapo zililala tu.inawezekana kampa moja kati ya zile.
ni 80mln bana acha kutia watu moto[emoji16]Naona zile bilioni 1.2 kwa mwezi za "matumizi binafsi ya Rais" enzi za Mwendazake zimeanza kufanyiwa kazi pia katika awamu hii, hakika CCM ni ile ile.
Kama n kweli basi tuna "RAHISI" na siyo RAIS
mzee wa Miaka 90+ unampa gari la mil 450 s alisema Corona imeyumbisha uchumi Sasa hii 450 mil kaitoa wapi
Hyo 450 M inalipa malimbikizo ya watu wangapi wanayodai
Mwinyi anamshahara au marupurupu Mengi Bado ana watoto wenye mamlaka huko visiwan
POLE MAMA TANZANIA SIKUMPENDA MAGUFULI LAKIN HUYU DAAAH
Huyo mshamba amefilisi nchi sanaVipi yule mshamba wenu alikuwa akipita barabarani akigawa kodi za wananchi kama pipi?
huzijui benz mzee,au unadhani ni compressor ile[emoji23][emoji23].Gari aliopewe Mstaafu mwinyi Mercedes Benz haizidi hata milioni 100, ila nimeamini watu wanapenda kukuza mambo... na amepewa kwasababu mheshimiwa Rais ameona Mstaafu mwinyi anashindwa kuhudhuria hafla nyingi kutokana gari anayotumia kwasasa ni V8 inampa tabu kupanda kutokana na uzee.. Hivyo ameona si haba akamalizia maisha kwenye Benz saloon...
Umejuaje kama ni jipya?Ameshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?
Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
kwani mama si ndio serikali!!!au wewe unaweza kupinga???Afadhali mama amesema “serikali imetoa …”, angekuwa ni yule jamaa ungesikia “mimi nimempa….”
Yawezekana yeye ndo akawa mnunuzi..
Una akili kijanaInachezewa sana kivipi we jamaa.. Mbona unakuwa na roho ya kimaskini sana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zawadi ya Ml 450 kwa mtu alie simamia ustawi wa taifa letu.. tena ukiangalia hata kwenye baadhi ya sarafu kuna sura yake hiyo tsh ml 450 bado ni ndogo sana Ndugu yangu
Hahahaahhahahahahuzijui benz mzee,au unadhani ni compressor ile[emoji23][emoji23].
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yawezekana yeye ndo akawa mnunuzi..
Mkuu gharama ya Hilo Benz Ni kituo cha afya kimoja chenye kila kitu ndani anapewa mtu mmoja kweli ?Subiri kwanza Mkuu ni mapema
Ni haki yake Mzee mwinyi kama rais mstaafu kuhudumiwa na serikali mpaka mwisho wa uhai wake.unashangaa benzi ya mil450: je unajua bei ya vx v8 new model?Ameshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?
Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.