Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama kwa Matumizi Hajambo.Naona zile bilioni 1.2 kwa mwezi za "matumizi binafsi ya Rais" enzi za Mwendazake zimeanza kufanyiwa kazi pia katika awamu hii, hakika CCM ni ile ile.
Basi amalizie tu hicho kidogo kinachobaki iwe bilioni moja. Leo nimevurugwa kule Simba vs Yanga huku milioni 450/=Aongeze kidogo ampatie la walau million mia 850
Bado like hekalu alilo jengewa na serikali , na lile no kwa mujibu wa Katina ya nchi kwamba ukistaagu tu u Rais unajengewa nyumba, Sasa hapo nachoka kabisa kwamba u Rais n kazi Kama kazi zingine na yenye mshahara wa juu kabisa lakini eti mtu unajengewa na nyumbaAmeshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?
Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Mil 450 si ni vituo vya afya vingapi? Atalitumia kwa miaka mingapi? maana tayar anakaribia kugonga karneBaada ya kuzindua kitabu chake Jioni ya leo mama samia amesema anamshukuru Mungu kwa kumpa mwinyi miaka 96 na sasa anamwombea afike 100
Pia amesema anaona mzee mwinyi akipata shida ya kupanda gari alilonalo na ameamua kumpa zawadi ya benzi la chinichini ambalo thamani yake ni milioni 450 tsh ,hii nchi inachezewa sana
USSR
Magu aliwapa nyumbaAongeze kidogo ampatie la walau million mia 850
Alikuwa anagawa kwa nani..nimesahauVipi yule mshamba wenu alikuwa akipita barabarani akigawa kodi za wananchi kama pipi?
Umenikumbusha yule mzee wa Tanzanite angalau Jiwe alimpa 1mInachezewa sana kivipi we jamaa.. Mbona unakuwa na roho ya kimaskini sana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zawadi ya Ml 450 kwa mtu alie simamia ustawi wa taifa letu.. tena ukiangalia hata kwenye baadhi ya sarafu kuna sura yake hiyo tsh ml 450 bado ni ndogo sana Ndugu yangu
Usihofu hii habari bado haijathibitishwa popote... Sidhani kama bimkubwa anaweza kufanya hiviBasi amalizie tu hicho kidogo kinachobaki iwe bilioni moja. Leo nimevurugwa kule Simba vs Yanga huku milioni 450/=
Ni kweli nimeiona Millard Ayo, black one.Usihofu hii habari bado haijathibitishwa popote... Sidhani kama bimkubwa anaweza kufanya hivi
Si rais tu, viongozi wote waandamizi wanapeana maghorofa wakistaafu sasa hivi. Huu ni utaratibu waliojiwekea lakini sisi wapiga kura hatuambiwi.Bado like hekalu alilo jengewa na serikali , na lile no kwa mujibu wa Katina ya nchi kwamba ukistaagu tu u Rais unajengewa nyumba, Sasa hapo nachoka kabisa kwamba u Rais n kazi Kama kazi zingine na yenye mshahara wa juu kabisa lakini eti mtu unajengewa na nyumba