Mwenye nacho huongezewa, imeandikwa.kumpa zawadi ya benzi la chinichini ambalo thamani yake ni milioni 450 tsh ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye nacho huongezewa, imeandikwa.kumpa zawadi ya benzi la chinichini ambalo thamani yake ni milioni 450 tsh ,
Kwa watu wakeAlikuwa anagawa kwa nani..nimesahau
You ain't seen nothing yet.Ameshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?
Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Mwenyewe unaiona nyingiiiiiiii450 Millions Tsh.
Hata mama Hatoshi hapo......au ni system nzima....??Tanzania imebarikiwa maliasili, ardhi na maji ya kutosha tatizo ni kuwa haijawahi kipata rais mwenye vision.
Anastahili zawadi ya thamani gani?!Zawadi ya Ml 450 kwa mtu alie simamia ustawi wa taifa letu.. tena ukiangalia hata kwenye baadhi ya sarafu kuna sura yake hiyo tsh ml 450 bado ni ndogo sana Ndugu yangu
Juzijuzi tu mzee kakabidhiwa jumba la billion 7, leo Benz!Huyu mama ni failure