ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
Alinunua madafu ya arobaini elfu, alikula muhindi wa jero kwa kumi elfu kwa ufupi mzalendo alikua kimwagaMara kununua jogoo za laki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alinunua madafu ya arobaini elfu, alikula muhindi wa jero kwa kumi elfu kwa ufupi mzalendo alikua kimwagaMara kununua jogoo za laki!
Gari la thamani ya tsh milioni 450 halafu liwe gari kuukuu tena! Kwanza sheria ya serikali ya manunuzi, hairuhusu ununuzi wa vitu used! Ukisikia wamenunua gari, basi ujue ni 0 Kilometer!Umejuaje kama ni jipya?
Huenda amepewa gari kuukuu
Nawewe ina maana mzee Rukhsa hana uwezo wa kununua gari la chini? vingapi wamepewa pamoja na ukwasi walionao,haya mambo yakianza na kuendelea yatatufikisha kusiko,wangapi wamesimamia ustawi wa nchi hii wamepewa magari.Inachezewa sana kivipi we jamaa.. Mbona unakuwa na roho ya kimaskini sana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zawadi ya Ml 450 kwa mtu alie simamia ustawi wa taifa letu.. tena ukiangalia hata kwenye baadhi ya sarafu kuna sura yake hiyo tsh ml 450 bado ni ndogo sana Ndugu yangu
Vinyonga katika ubora wenu.Time Will TellHuyu mama ni failure
Haaaah kumbe![emoji848]Kuna Rummors kuwa Maza ni Mtoto wa Mzee Mwinyi.
Kamzawadia Babaye
Ameshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?
Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Hakuna mahali thamani imetajwa zaidi ya mleta hoja, ninaposema kuukuu namaanisha yaliyotumika ikuluGari la thamani ya tsh milioni 450 halafu liwe gari kuukuu tena! Kwanza sheria ya serikali ya manunuzi, hairuhusu ununuzi wa vitu used! Ukisikia wamenunua gari, basi ujue ni 0 Kilometer!
Aisee! Mbona mnafika mbali kiasi hiki?Mama ni mdini hatufai
Una uhakika gani na hii habari? Ungekua na akili ungeomba chanzo.Ameshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?
Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Mbona mapema sana?Huyu mama ni failure
Maswali ya Humphrey Polepole haya! Unaijua Vii eiti wewe!! Unajua bei ya Vii eiti Niu Modeli wewe!Ni haki yake Mzee mwinyi kama rais mstaafu kuhudumiwa na serikali mpaka mwisho wa uhai wake.unashangaa benzi ya mil450: je unajua bei ya vx v8 new model?
Mbona alikuwepo yule musiyempenda, mtamkumbuka tu mwendazake mtake au msitake na baaadoTanzania imebarikiwa maliasili, ardhi na maji ya kutosha tatizo ni kuwa haijawahi kipata rais mwenye vision.
Good question.Anastahili zawadi ya thamani gani?!
Huyu mzee pensheni yake kwa mwezi ni 80% ya mshahara wa rais. Kajengewa jumba la kifahari na serikali, leo kapewa gari la kifahari. Watumishi wa umma wakiomba nyongeza za mishahara wanaambiwa wasubiri.Mzee anatakiwa aendeshe Benz ya chini chini, gari za juu zinampa shida.