Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Kwa vituo vya afya sijui ila kwa vyumba vya madarasa ni vyumba 22 kutokana na mwongozo wa TAMISEMI kila chumba kinapaswa kujengwa kwa 20MMil 450 si ni vituo vya afya vingapi? Atalitumia kwa miaka mingapi? maana tayar anakaribia kugonga karne