mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,773
- 2,183
Zawadi ya thamani ya sh 450m kwa Rais mstaafu aliyetimiza umri wa miaka 96 ni peanuts! Hongera Mzee Ruksa, hongera Rais Samia.Mara kununua jogoo za laki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zawadi ya thamani ya sh 450m kwa Rais mstaafu aliyetimiza umri wa miaka 96 ni peanuts! Hongera Mzee Ruksa, hongera Rais Samia.Mara kununua jogoo za laki!
Si huwa mnaambiwa mjitokeze kupiga kura, au hilo haliwatoshi?.Si rais tu, viongozi wote waandamizi wanapeana maghorofa wakistaafu sasa hivi. Huu ni utaratibu waliojiwekea lakini sisi wapiga kura hatuambiwi.
Nyota njema inaonekana asubuhi. Sasa hivi watu wengi wanamkubali na wana matumaini makubwa nae. Lakini siku zinavyoenda bila mabadiliko yeyote ya maana ndio hayo matumaini yatazidi kufifia. Watu wengi tuli appreciate kuwa anatuambia ukweli kuhusu hali ya uchumi, lakini hili la zawadi ya Benz linampunguzia...as long as sio MUUAJI mimi nimeridhika.
..mabadiliko hayaji kwa mara moja.
..huwezi kutoka kwenye utawala wa KIKATILI halafu ghafla ukaingia kwenye moja kwa moja kwenye demokrasia, rule of law, na utawala bora.
Si ndio huyu anayegawa mabenz mkuu.Tanzania imebarikiwa maliasili, ardhi na maji ya kutosha tatizo ni kuwa haijawahi kipata rais mwenye vision.
Vipi yule mshamba wenu alikuwa akipita barabarani akigawa kodi za wananchi kama pipi huku mkimpongeza?
Mpongezeni na huyu
JPM alikuwa Rais mwenye maono,simaanishi kwamba hakuwa na kasoro, hata pesa alizotoa ,ni kwa watanzania wenye shida kweli.Tanzania imebarikiwa maliasili, ardhi na maji ya kutosha tatizo ni kuwa haijawahi kipata rais mwenye vision.
Acha kupotosha wewe, ile ripoti ya CAG dhidi ya upotevu wa 1.5 trilioni iliweka wazi kila kitu. CCM mnanufaika na nini kutetea uovu?ni 80mln bana acha kutia watu moto[emoji16]
Hahaha hio tunaisubiria baada ya masika moja!Hiyo benzi ya chini sijui ataitumia wapi maana pale mikocheni na hizi mvua lazima pafurike, muulizeni Extrovert gari ya mjerumani ikikutana na maji inakuaje, bado mashimo, wangemfanyia modification vieti iwe na kingazi cha kushukia🤣
Utaambiwa huwezi kifanikiwa kwa kuchukia matajiri 😂😂😂!!!Nchi yetu ni maskini sana bila kupindisha maneno.
Watu hawana maji.
Clinics hazina vifaa vya kutosha.
Baadhi ya mashule hali ni yakutisha.
Baadhi bara bara hazipitiki!
Miundo mbinu hapa Dar sio mizuru.
List ni ndefu halafu unasema nina mawazo ya kimaskini!
Kwa nini wengine waishi maisha ya kifahari kwa kodi zetu wakati wengine maji kwetu ni shida!
Hamna gari ya million 450 hapo! Ingekuwa s500 ningeafiki ila sio hilo naloliona hapana shaka ni C - Class450 Millions Tsh.
Jamaa anashangaa zawadi ya 450M wakati kwenye benki ana sarafu yenye sura zake zaidi ya 450M katika thamani ya pesa aliohifadhi!Inachezewa sana kivipi we jamaa.. Mbona unakuwa na roho ya kimaskini sana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zawadi ya Ml 450 kwa mtu alie simamia ustawi wa taifa letu.. tena ukiangalia hata kwenye baadhi ya sarafu kuna sura yake hiyo tsh ml 450 bado ni ndogo sana Ndugu yangu
Kwahio mama hana Vision tena😂😂😂Tanzania imebarikiwa maliasili, ardhi na maji ya kutosha tatizo ni kuwa haijawahi kipata rais mwenye vision.
Kinachowatesa wabongo wengi ni roho ya kwanini tu! Sio kingine yani...Kama itakuwa hivi, siku si nyingi nitakuwa mpinzani
Kwahiyo kupewa pesa hao wananchi na kupewa huyu ambaye tayari anacho kipi sawa.Vipi yule mshamba wenu alikuwa akipita barabarani akigawa kodi za wananchi kama pipi huku mkimpongeza?
Mpongezeni na huyu
Acheni mambo ya kishamba! Hio C class sio gari ya million hata 150M haifikiHuu ni ufisadi mkubwa sana
Kwahiyo babu kupewa gari we unaona matumizi ya anasa! Unasahau kuwa babu ni Rais mstaafu aiseeJuzi amesema uchumi wetu umeshuka kutokana na Janga la Corona, binafsi nilitegemea serikali ingejikita katika matumizi ya Msingi tu kuliko Matumizi ya anasa ya namna hii yasiyo na tija wala manufaa kwa nchi hii.
Misukule ya UKAWA haijawahi kuwa na akili! Akili zao fupi mithili ya kamba za viatuKwahiyo kupewa pesa hao wananchi na kupewa huyu ambaye tayari anacho kipi sawa.