Rais Samia: Serikali imempatia Mzee Mwinyi zawadi ya gari aina ya Benz ya chini

Rais Samia: Serikali imempatia Mzee Mwinyi zawadi ya gari aina ya Benz ya chini

Hiyo benzi ya chini sijui ataitumia wapi maana pale mikocheni na hizi mvua lazima pafurike, muulizeni Extrovert gari ya mjerumani ikikutana na maji inakuaje, bado mashimo, wangemfanyia modification vieti iwe na kingazi cha kushukia🤣
 
Nchi yetu ni maskini sana bila kupindisha maneno.
Watu hawana maji.
Clinics hazina vifaa vya kutosha.
Baadhi ya mashule hali ni yakutisha.
Baadhi bara bara hazipitiki!
Miundo mbinu hapa Dar sio mizuru.
List ni ndefu halafu unasema nina mawazo ya kimaskini!
Kwa nini wengine waishi maisha ya kifahari kwa kodi zetu wakati wengine maji kwetu ni shida!
Unakumbuka hela zilizotumika kuwanunua madiwani kule arumeru ili wahamie CCM? Sijaingia kwa wabunge.matumizi ya hovyo nchii hii ni mengi mpaka yanakera.hivi sasa kuna wabunge 19 ambao siyo wabunge lakini ccm imewakumbatia kama ruba kwa maslahi yao wanakula 230 milioni kila mwezi hiyo ni hela ya mlipa kodi .lakini yote hayo hamuyaoni mnakuja kutolea povu kagari ka zawadi hebu wacheni hizo bana.
 
Jana tu mahali hapo hapo aliwaambia wazee kuwa hawezi kuwalipa pension kila mwezi hali ya uchumi siyo nzuri.

Leo anampa mtu mwenye kila kitu gari la bei mbaya.

Sawa tu lakini ila hili halipo sawa
Mataga wewe 🤣
 
Aliimba Mbaraka Mwinshehe kila siku Shida Shida haziishi mpaka siku ya mwisho.
 
Gari aliopewe Mstaafu mwinyi Mercedes Benz haizidi hata milioni 100, ila nimeamini watu wanapenda kukuza mambo... na amepewa kwasababu mheshimiwa Rais ameona Mstaafu mwinyi anashindwa kuhudhuria hafla nyingi kutokana gari anayotumia kwasasa ni V8 inampa tabu kupanda kutokana na uzee.. Hivyo ameona si haba akamalizia maisha kwenye Benz saloon...
Team mwendazake ndio waongo wanaopotosha mambo

Sent from my vivo 1611 using JamiiForums mobile app
 
..actually nimekosea.

..utanisamehe kwa usumbufu.

..US maraisi wastaafu wanalipwa mshahara sawa na mawaziri, wanapewa ulinzi wa serikali, wanatibiwa ktk hospitali za jeshi, na wanapewa watumishi wa ofisi zao wanaolipwa na serikali.

..Maraisi wastaafu wa US hawajengewi majumba ya kifahari miaka 20+ tangu watoke madarakani.
Sawa.ila hapo unaposema hawajengewi majumba ya kifahari umenipa utata kidogo.nikwamba wanajengewa lakini siyo ya kifahari au hawajengewi kabisa?

Halafu ukija kwa upande wetu kwahuku bongo nyumba wanazojengewa marais wastaafu ni "standard " kulingana na hadhi zao hatuwezi kuita ni za kifahari . Huwezi ukamjengea rais mstaafu nyumba ya vyumba viwili au ya kuezeka na nyasi au udongo kama za kule kongwa eti kwa sababu nchi ni masikini ni bora usimjengee kabisa.
 
Sawa.ila hapo unaposema hawajengewi majumba ya kifahari umenipa utata kidogo.nikwamba wanajengewa lakini siyo ya kifahari au hawajengewi kabisa?

Halafu ukija kwa upande wetu kwahuku bongo nyumba wanazojengewa marais wastaafu ni "standard " kulingana na hadhi zao hatuwezi kuita ni za kifahari . Huwezi ukamjengea rais mstaafu nyumba ya vyumba viwili au ya kuezeka na nyasi au udongo kama za kule kongwa eti kwa sababu nchi ni masikini ni bora usimjengee kabisa.

..wastaafu wa US nyumba wananunua au kujenga wenyewe kwa fedha zao.
 
Unakumbuka hela zilizotumika kuwanunua madiwani kule arumeru ili wahamie CCM? Sijaingia kwa wabunge.matumizi ya hovyo nchii hii ni mengi mpaka yanakera.hivi sasa kuna wabunge 19 ambao siyo wabunge lakini ccm imewakumbatia kama ruba kwa maslahi yao wanakula 230 milioni kila mwezi hiyo ni hela ya mlipa kodi .lakini yote hayo hamuyaoni mnakuja kutolea povu kagari ka zawadi hebu wacheni hizo bana.

..ni vijana wa MATAGA / UVCCM hao.

..nakumbuka walikuwa wanamtukana Tundu Lissu kwasababu walimuona anakula MISHKAKI.

..wenyewe wanadai alikuwa mgonjwa kwa hiyo haki yake ni kunywa uji na kula machungwa.
 
Hii ni zawadi au wanapeana mali ya umma au kujiandalia mazingira kama haya watakapostaafu? Juzi kapewa nyumba. Leo benzi kesho hatujui.
 
Nchi yetu ni maskini sana bila kupindisha maneno.
Watu hawana maji.
Clinics hazina vifaa vya kutosha.
Baadhi ya mashule hali ni yakutisha.
Baadhi bara bara hazipitiki!
Miundo mbinu hapa Dar sio mizuru.
List ni ndefu halafu unasema nina mawazo ya kimaskini!
Kwa nini wengine waishi maisha ya kifahari kwa kodi zetu wakati wengine maji kwetu ni shida!
hakuna siku usawa utaweza kuwepo Duniani sio Tanzania tu bali Dunia nzima
 
..ni vijana wa MATAGA / UVCCM hao.

..nakumbuka walikuwa wanamtukana Tundu Lissu kwasababu walimuona anakula MISHKAKI.

..wenyewe wanadai alikuwa mgonjwa kwa hiyo haki yake ni kunywa uji na kula machungwa.
[emoji1787][emoji1787] aisee hii nchi tumepitia vituko vya kila aina
 
..ni vijana wa MATAGA / UVCCM hao.

..nakumbuka walikuwa wanamtukana Tundu Lissu kwasababu walimuona anakula MISHKAKI.

..wenyewe wanadai alikuwa mgonjwa kwa hiyo haki yake ni kunywa uji na kula machungwa.
Basi ngoja mama aendelee kuwakomesha hawa mataga!
. Tena nashauri wiki ijayo hadi mawaziri wastafu wote tangu awamu ya kwanza hadi ya mwenda zake wote waitwe wapewe mabenzi ili wasipate shida kupanda na kushuka na nyumba zao kama ni za ghorofa wakawekewe lifti ili hawa mataga wakome kabisa.
 
Mama nakupenda sana,ila bila kupepesa macho,hayo uliyofanya ni matumizi mabaya ya pesa ya nchi.
Kama alivyofanya mwendazake kuwajengea nyumba ma Rais wastaafu,wewe kumnunulia Mzee Mwinyi Benz,ni kutokujari hisia za wanyonge,
Mzee Mwinyi amekuwa Madarakani kwa miaka zaidi ya 10,analipwa mamilioni kibao mpaka afe,mtoto wake ni Raisi wa Zenj,ukwasi wote huo,unachukua pesa hazina unamnunulia Benz!
With all due respect ur Excellence,that is insestive,haujajari kabisa hisia za wananchi,watu wameishi maisha magumu kwa miaka mitano ya Jiwe,wewe umeishindwa kuongeza mishahara,then unatoa pesa kununua Benz!la Raisi mstaafu,
Kwa sie wananchi wa kawaida,tunaoishi kwa buku kila siku,inatufaidia nini,Mwinyi akiishi kwenye ukwasi,akiendesha Benz,akila kuku na maini kila siku?
Ni kama vile mnaamini nyie mkila kuku,nyama,maini,na kupata huduma first class,basi sie jua kali tunafaidika!
Shame on you.
 
hakuna siku usawa utaweza kuwepo Duniani sio Tanzania tu bali Dunia nzima
Kama mama katoa mfukoni kwake ni sawa lakini kama ni imetoka kwenye kodi zetu ni very unfair kwa sisi ndugu zetu wanaoteseka mahospitali kutoka na uhaba wa vifaa!!
 
Back
Top Bottom