Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hii ndo logic ya hawa watu:Kabisa mkuu!
Sasa hivi kwa mujibu wao mambo yote ni safi! Kila tatizo nchi hii ameondoka nalo Magu na sasa tuko nchi ya maziwa na asali na ccm ni mbele kwa mbele.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kigogo anamponda sana Samia kule Twitter.
Salari Silipu wa humu naye anamponda kiaina Samia. Anasema Mama ni failure!
Hata Tundu Lissu naye keshamponda Samia tokea awe Rais.
Kwa akili za hawa watu, yeyote yule sasa hivi amkosoaye Samia, kwao ni MATAGA.
Kwa hiyo ina maana:
1] Kigogo, Salari Silipu, na Lissu nao ni MATAGA?
2] Samia ni malaika. Ni genius. Hakosolewi.
3] Ukimkosoa tu kwa lolote lile, unaambiwa una chuki.
Hizo ndo logic za hawa viumbe walio chini ya nyumbu. Niamini ninaposema nimehitimisha kuwa nyumbu wana akili nyingi zaidi kushinda hawa watu!