Shida haziwezi ishaKituo kimoja Cha Afya kinagharim Ml 400. Hii inajumuisha ujenzi was majengo 5 ambayo ni Jengo la Mama na mtoto(martenity ward), OPD, Maabara, Labor ward na Makazi ya Mgangu Mkuu.
Hivyo, Mwinyi amepewa Kituo Cha Afya Kimoja akaongezwa na Zahanati moja. Hii ingewezwa kujengwa kwa Wananchi wa Kijijini
Bei yake ni kufuru mkuuMaswali ya Humphrey Polepole haya! Unaijua Vii eiti wewe!! Unajua bei ya Vii eiti Niu Modeli wewe!
Hapana mkuu! Sijui!
Sio sahihi mbona tulisema tangu wakati huo.Magufuli aliwapa nyumba hiyo nayo mnasemaje
Ova
Amesema serikali sio yeyeMama anatoa wapi million 450? Kwa mshahara upi?
Nyumba ipo kisheria na ya Kikwete nadhani imekamilikaSio sahihi mbona tulisema tangu wakati huo.
Naona utumwa wa Barakoa wajaBaada ya kuzindua kitabu chake Jioni ya leo Rais Samia amesema anamshukuru Mungu kwa kumpa Mwinyi miaka 96 na sasa anamwombea afike 100
Pia amesema anaona Mzee Mwinyi akipata shida ya kupanda gari alilonalo na ameamua kumpa zawadi ya benzi la chinichini.
USSR
=====
“Nakushukuru sana Mzee wangu Rais Mstaafu Mwinyi kwa kunikaribisha kuzindua kitabu cha simulizi ya maisha yako, nampongeza Mzee Mwinyi kwa kuamua kuandika kitabu ambacho sio tu kitawasaidia Watanzania na Dunia kumfahamu pia kina historia ya Tanzania” Rais Samia
kwenye uzinduzi kwa kitabu cha Mzee Mwinyi Dar es salaam leo
“Hafla ya uzinduzi wa kitabu cha Mzee Mwinyi inaenda sambamba na kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa, tunamtakia kila la kheri wakati anatimiza miaka 96, tunamuomba Mungu akutunze ufike miaka 100 na zaidi ili tuzidi kuvuna hekima na busara zako” Rais Samia
View attachment 1778144
“Nimemuandalia zawadi Mzee Mwinyi, kwa kutimiza umri wa miaka 96 leo, nimekuwa nikiona usumbufu anaoupata akiwa anapanda na kushuka kwenye Gari lake, kwa niaba ya Serikali Mzee wetu leo tutampatia Benz la chini ambalo litampa raha kwenye Safari zake” Rais Samia
View attachment 1777949
View attachment 1777889
Inachezewa sana kivipi we jamaa.. Mbona unakuwa na roho ya kimaskini sana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zawadi ya Ml 450 kwa mtu alie simamia ustawi wa taifa letu.. tena ukiangalia hata kwenye baadhi ya sarafu kuna sura yake hiyo tsh ml 450 bado ni ndogo sana Ndugu yangu
Alishasema yeye na mwenda zake ni WAMOJA.Ameshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?
Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa CCM madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Nyani Ngabu, hulioni gari hapo juu, au unatumia simu gani??Liko wapi hilo benzi?
Thamani yake wewe umeipataje?
Gari umeliona?Ishu sio mali ya serikali, ishu ni kwanini jamaa anadanganya umma huu? Nimesikiliza hotuba sijasikia wametaja 450M.
Kwa hiyo unataka tuimbe mapambio kwa vifijo na ndelemo?Kuna wapuuzi wanapotosha kila anachofanya mama ,ila ni wachache na kamwe hawataturudisha nyuma .Mama piga kazi
Ni kweli nimeiona Millard Ayo, black one.