Rais Samia: Serikali imempatia Mzee Mwinyi zawadi ya gari aina ya Benz ya chini

Shida haziwezi isha
Wala matatizo hayawezi kutatuliwa
Lazima shida, umaskini uwepo ili
Watu fulani waweze kuwatumia
Hiyo ndio principle ya kidunia

Ova
 
Pamoja na zawadi hiyo lakini pia tusisahau kukisoma kitabu chake maana kinaongeza kinga ya akili
 
Naona utumwa wa Barakoa waja
 

Alisimamia huo ustawi kwa mshahara wake? Watoto wanakaa chini madarasani mnakuja kuwapa magari vikongwe wasio na shida yoyote?
 
Humu Kuna watu wabinafsi Sana.
Kama leo unahoji Mwinyi kupewa gari na unasahau kuwa sababu zilizotumika kumpa gari Mwinyi na kuacha hela utumike eneo lingine Ni zilezile zilizo kufanya wewe umnunulie baba mkwe yako Suti wakati baba yako mzazi huvaa madabwada.

Tuache kunyoosheana vidole na tuheshimiane maana Kila mtu chizi kwa wakati wake. Ni suala la muda tu.
 
Alishasema yeye na mwenda zake ni WAMOJA.
Last year mwenda zake alitumia hela za serikali kuwajengea maRais wastaafu nyumba mpya na hakuna aliyehoji hilo jambo,hivi kikwete anaweza kuwa na shida ya nyumba kweli?????????
 
Hongera Sana madam president kwa zawadi nzuri kwa our former president, Inshallah Allah ampe umri mrefu zaid Alhaj Ali Hassan Mwinyi
 
Labda hayo mashada ndio yanachanganya hiyo gari sio mpya na wala sidhani kama inafika thamani iliyotajwa.

Swala la msingi mzee Mwinyi anahitaji kweli au anasa tu. Alichofanya hayati ni worst zaidi kuwajengea majumba watu ambao tayari wanaishi kwenye retirement home zao. Two wrongs don’t make a right.

Bottom line the act is morally wrong.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…