Rais Samia: Serikali imempatia Mzee Mwinyi zawadi ya gari aina ya Benz ya chini

Bado like hekalu alilo jengewa na serikali , na lile no kwa mujibu wa Katina ya nchi kwamba ukistaagu tu u Rais unajengewa nyumba, Sasa hapo nachoka kabisa kwamba u Rais n kazi Kama kazi zingine na yenye mshahara wa juu kabisa lakini eti mtu unajengewa na nyumba
 
Mil 450 si ni vituo vya afya vingapi? Atalitumia kwa miaka mingapi? maana tayar anakaribia kugonga karne
 
Umenikumbusha yule mzee wa Tanzanite angalau Jiwe alimpa 1m
 
Si rais tu, viongozi wote waandamizi wanapeana maghorofa wakistaafu sasa hivi. Huu ni utaratibu waliojiwekea lakini sisi wapiga kura hatuambiwi.
 
Gari aliopewe Mstaafu mwinyi Mercedes Benz haizidi hata milioni 100, ila nimeamini watu wanapenda kukuza mambo... na amepewa kwasababu mheshimiwa Rais ameona Mstaafu mwinyi anashindwa kuhudhuria hafla nyingi kutokana gari anayotumia kwasasa ni V8 inampa tabu kupanda kutokana na uzee.. Hivyo ameona si haba akamalizia maisha kwenye Benz saloon...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…