cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Yaan sometimes nasemaga alitukosea nn baba wa Taifa, mbna familia yake imetupwa kiasi hiki,Ukoo wa Nyerere mmeufanyia lipi kubwa???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan sometimes nasemaga alitukosea nn baba wa Taifa, mbna familia yake imetupwa kiasi hiki,Ukoo wa Nyerere mmeufanyia lipi kubwa???
Apumzikeje wakati inatakiwa afukuliwe akashtakiwe?Hatuwezi kumwacha mtu yule apumzke katk ulimwengu wake na sisi huku tuendelee na ulimwengu wetu?
Mzee so kashindwa kupanda like V8 lake!Mama kaanza kuharibu. kulikuwa na ulazima gani kutangaza huu upuuzi.
Jamani basi wale hizo cake za Taifa, hakuna wa kuwazuia, aaaaaahNchi watoto wote wa viongozi wamepewa majumba....na serikali inawagharamia
Sisi tunasema siyo sahihi lakini wao wanaona sahihi
Ova
Mama katoa fedha zake mfukoni kununua hilo gari. Sio Kodi za wananchi. Rais Naye anamshahara na yupo huru kuutumia vile atakavyoAmeshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?
Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa CCM madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Wewe hiyo vision unayo?Tanzania imebarikiwa maliasili, ardhi na maji ya kutosha tatizo ni kuwa haijawahi kipata rais mwenye vision.
Kwahiyo unalinganisha Tausi na 450m?na akili yako ikaishia hapo?bado tunasafati ndefu Sana hapa Tz,sijui nani katuloga,Sababu aliyotoa Mama mbona inaeleweka, Mzee wa miaka 96 kupanda v8 ni shida kwake, lipo juu sana. Wengine hapa mna 50 tu kupanda v8 mnahema na makvant yenu mnayokunywa. Jana mmeona mzee hata hotuba kasomewa na mwanae, nguvu zimemuisha, and kuna dhambi gani tajiri kupewa zawadi? Hivi kuna mtu poa na humble kama Mwinyi? Aisee ndiyo maana Jiwe aliwaminya kwenye mitandao, sababu ndio hii, mnachonga sana. BTW Jiwe alipotoa Tausi kwa Uhuru na marais wastaafu mbona mliufyata? Or alipowajengea mahekalu marais mbona mliufyata? Baadhi ya wabongo pambavu sanaView attachment 1778125
Halafu ww popompo kojoa ukalale hujui hata unacho kiongea ww,ukisema hekalu kapewa umesahau kuwa Ile nyumba ni kwa mujibu wa Sheri? Kila Raid mstaafu anatakiwa ajengewe nyumba ya thamani Ile Sasa kapewa juzi tu, lakini suala la Gari halipo kisheria,Sababu aliyotoa Mama mbona inaeleweka, Mzee wa miaka 96 kupanda v8 ni shida kwake, lipo juu sana. Wengine hapa mna 50 tu kupanda v8 mnahema na makvant yenu mnayokunywa. Jana mmeona mzee hata hotuba kasomewa na mwanae, nguvu zimemuisha, and kuna dhambi gani tajiri kupewa zawadi? Hivi kuna mtu poa na humble kama Mwinyi? Aisee ndiyo maana Jiwe aliwaminya kwenye mitandao, sababu ndio hii, mnachonga sana. BTW Jiwe alipotoa Tausi kwa Uhuru na marais wastaafu mbona mliufyata? Or alipowajengea mahekalu marais mbona mliufyata? Baadhi ya wabongo pambavu sanaView attachment 1778125
Vijisenti?Mwenyewe unaiona nyingiiiiiiii
Aisee mbona kama anauwa legacy ya jpm
Wacha litokomee kuzimu jahili lile lisilo utuIleeee Magufuli's legacy is unfutikable. Niamini!!! ^Jina lake lihifadhiwe kwenye makabati yote Afrika^ ~ alisema mkalimani.
Ataendeshea kuzimu Kama huyu kwenye hii clipSasa huyo mzee hilo benz ataendeshea wapi? anyway kukataa zawadi sio vizuri pia.
Jpm aliwapa nyumba marais wastaafuAisee mbona kama anauwa legacy ya jpm
Watoto tu wa nyerere ndomana mpaka leo wanakula good time,ndomana hata kufanya kazi hawataki...mpunga wanaingiziwa,matatizo yao wanatatuliwaJamani basi wale hizo cake za Taifa, hakuna wa kuwazuia, aaaaaah
Walikuwa wakilitumikia bure ama walikuwa wana lipwa na bado wana lipwa?waalimu ama watumishi wangapi wamelitumikia Taifa tena kwa Mateso na Sasa hivi hakuna anaye wakumbukaMama yuko sawa kabisa.Wazee hawa wametumikia taifa hili kwa nguvu zote hadi limefika hapa.
DaahhNchi watoto wote wa viongozi wamepewa majumba....na serikali inawagharamia
Sisi tunasema siyo sahihi lakini wao wanaona sahihi
Ova