Nomadix
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 2,411
- 6,646
kama wako tu hautoshi ziada inatoka wapi.Walisema tutakuwa na umeme wa ziada wa kuuza nje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama wako tu hautoshi ziada inatoka wapi.Walisema tutakuwa na umeme wa ziada wa kuuza nje.
UmemalizaWanaona gharama kujenga transimission line ndefu kwa ajili ya kusafirisha MW chache.. hivyo wanapiga shortcut kwa kununua hizo MW chache Kenya. Maana kenya na kaskazini ni karibu
Nini hiki sasa umeandika???Hata hivyo ieleweke kwamba kununua umeme Nje ni mojawapo ya njia ya kuwa na energy mix bila kujalisha kama mna umeme wa kutosha au hapana.
Mfano mwaka juzi na Jana Zambia walikuwa na Upungufu wa 80% ya umeme sababu ya ukame ila hawakuthubutu kukata umeme wanaotuuzia Kwa sababu ni makubaliano ya mikataba ya Kimataifa ya biashara.
Mkuu,kama wako tu hautoshi ziada inatoka wapi.
Kavunjeni Sasa mkataba maana huo mradi ulianza 2016Nini hiki sasa umeandika???
Tunajua biasharabya umeme ni biashara ya wahuni, hawawezi kukubali nchi za Afrika zijitoe kwenye minyororo ya tenda zaomza umeme za kihuni.
Hata ujenzi wa hayo mabwawa huwa ni vita kubwa kwa kisingizio cha mazingira.
Na sasa tuna Rais hewala eeee, bora kumekucha. Ndio basi tena
Inawezekana lkn hii inchi usanii mwingi sanaMkuu,
Kwani haiwezekami umeme wa ziada ukawepo lakini kukawa na tatizo la kuunganisha sehemu fulani za nchi kiasi kwamba hizo sehemu iwe rahisi kununua umeme wa nje?
Tunanunua tena 😂😂😂😂 wamejichanganya aisee 😂😂😂😂
Yani hata hiyo picha hizo nywele za Waziri Mkuu tu rangi yake haiaminiki 😂😂😂Inawezekana lkn hii inchi usanii mwingi sana
View attachment 3264660