Rais Samia: Serikali itashirikiana na Machifu, Viongozi wa Kimila

Rais Samia: Serikali itashirikiana na Machifu, Viongozi wa Kimila

Jamani eeh huwezi ficha harufu ya kinyesi kwa kufunika kitaambaa...... Mtapata shida . WACHAGA wamefanya yao asanteni sana . Acheni Maneno ya kutunga
Screenshot_20220122-181146.png
 
Shida ya kupakwa viks kingo kwny ile fasi,lazima uandike vitu visivyoeweka.
 
Sijaelewa kabisa
Akishiriki Tamasha la Utamaduni lililofanyika leo Januari 22, 2022 Mkoani Kilimanjaro Rais Salia Suluhu Hassan ameeleza, "Kumekuwa na maneno mengi ndani ya Tanzania kuhusu Serikali na Uchifu. Tumeamua kuwa na jukwaa la pamoja baina ya Serikali, Machifu na Wazee wa Kimila ili kuhifadhi Mila na Desturi zetu"

Aidha, amesema Wizara ya Mambo na Nje na Wizara ya Utalii zinaendelea na majadiliano ya urejeshwaji wa Mafuvu ya Machifu yaliyochukuliwa wakati wa ukoloni ili yatumike kwa Utalii na kuelimisha Jamii
View attachment 2091744
Chifu Mkuu wa Kabila la Kichaga Chifu Mareale akimkabidhi Ngao na Mshale Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, kama ishara ya kumkaribisha rasmi kwenye kabila hilo wakati wa Uzinduzi wa Tamasha la kwanza la Utamaduni wa Mkoa wa Kilimanjaro lililozinduliwa leo tarehe 22 Januari, 2022.
View attachment 2091745View attachment 2091746
 
Wachaga wana ngoma yao, huwa wanacheza wameshikana mikono wakiogopa kuibiana .... Sikuona ngoma hiyo ikichezwa mbele ya Chifu Hangaya. 🤔
 
Wakuu samahani,,
Naomba kujuzwa mchango wa machifu katika kuondoa utawala wa kikoloni.
 
Back
Top Bottom