Rais Samia: Serikali itashirikiana na Machifu, Viongozi wa Kimila

Jamani eeh huwezi ficha harufu ya kinyesi kwa kufunika kitaambaa...... Mtapata shida . WACHAGA wamefanya yao asanteni sana . Acheni Maneno ya kutunga
 
Shida ya kupakwa viks kingo kwny ile fasi,lazima uandike vitu visivyoeweka.
 
Sijaelewa kabisa
 
Wachaga wana ngoma yao, huwa wanacheza wameshikana mikono wakiogopa kuibiana .... Sikuona ngoma hiyo ikichezwa mbele ya Chifu Hangaya. 🤔
 
Wakuu samahani,,
Naomba kujuzwa mchango wa machifu katika kuondoa utawala wa kikoloni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…