Rais Samia: Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ikamilishwe

Rais Samia: Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ikamilishwe

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
506779DA-D224-4FB3-967F-776569BAF9E2.jpeg

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameelekeza Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Habari kuhakikisha inakamilisha uandaaji wa Sheria ya Kulinda Taarifa Binafsi za Watu

Ameelekeza hayo katika uzinduzi wa Mfumo wa Usafirishaji wa Dharura wa Wajawazito na Watoto Wachanga (M-MAMA) leo Aprili 06, 2022 Jijini Dodoma

Kwa upande wake, Waziri Nape Nnauye amesema wapo katika hatua za mwisho za mchakato wa kukamilisha utungaji wa Sheria hiyo ili kuongeza ulinzi na udhibiti wa taarifa zinazokusanywa kwenye mifumo mbalimbali

Zaidi kuhusu uzinduzi wa Mfumo huo tembelea >>> LIVE - Rais Samia azindua mfumo wa usafirishaji wa dharura wa Wajawazito na Watoto Wachanga (M-Mama)
 
Wanamuigizia nani? Hakuna ulindwaji taarifa chini ya hii serikali.siasa tu.
 
Safi sana, mambo ya kudukuana yameenda zake na mtu fulani,

Privacy za watu ziheshimiwe,

Yaani hata kama naongea na mchepuko wangu basi wanidukue tu, hii haikubaliki kabisa,🤣🤣🤣
 
Mdukuaji ndio Msikitikiaji wa udukuzi…muandaa sheria ya udukuzi ndio mvunjaji wa sheria hiyo
Safi sana, mambo ya kudukuana yameenda zake na mtu fulani,

Privacy za watu ziheshimiwe,

Yaani hata kama naongea na mchepuko wangu basi wanidukue tu, hii haikubaliki kabisa,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom