Rais Samia shikilia hapohapo, usirudi nyuma. CHADEMA hawahitaji kubembelezwa

Wewe Countryside usimdanganye mama kwani bado tunampenda. Akiendelea kuzingua tutamlilia Fundi Mkuu yampate yaliyompata yule bwana 17.3.2021
 

Hata hao wahisani wataona tuna serikali ya kijinga kweli kweli. Unapeleka askari 200 kuzuia mkutano halali wa ndani, tena wa watu wasio na silaha, na ajenda yao ni ya wazi. Kwani ni mkutano wa msituni usiofahamika? Juzi kuna watu wamejiunganishia bomba la mafuta, mpaka leo hakuna hatua zozote, lakini polisi wanatumika kwenye siasa za kijinga. Soko la kariakoo limeungua polisi hawana hata maji ya kuzima, lakini wanatumika kuzuia makongamano ya amani yasiyo na madhara!
 
Kweli wewe bichwa lako kiazi...watu wanaongelea katiba mpya kwa manufaa yako wewe jobless na wanaukoo wako pia unakuja kuandika upupu!
Wananchi wepi? Kwa nini walikimbia bunge la katiba?
Walipokuwa wabunge mbona hawakutetea kodi ikatwe kwenye mishahara yao minono?
Mbona walikula mafao ambayo hawakuchangia hata shilingi 1?
Waache kuwatumia wananchi kama ngazi ya kupandia ili kufanikisha malengo yao kisiasa!
 
Mpigwe tu, hamna maana yoyote
Ni kweli hatuna maana yoyote kwakuwa tuna hoja isiyo mfurahusha rais na chama chake. Mngemuuliza rais badala ya kudeal na makongamano ya ndani tena ya amani yenye madai halali, awaambie ni kina nani waliojiunganishia bomba la mafuta maana ana jeshi kubwa la polisi. Badala ya kutumia jeshi kwenye uhalifu, analitumia jeshi kuzuia ajenda ya halali isiyopendwa na chama chake!
 
Kwahyo wahisani wakinyima nchi misaada ndo achievement yenu, hafu kwanini msitumie huo mda kujijenga kuliko kufanya vitu kwa ku Force mama Samia was fair mkaanza ukaidi bila kuwa smart matokeo ni miaka mitano mnagombana na Dola Hadi wananchi wanawaona nyie ni wahuni na wafanya fujo. Lazima mu study nature ya watanzania na wanachotaka Tena kipindi hichi ambacho nchi imepatia msiba wa Magufuli na kuja Samia nyie mumeanza fujo mnafikiri Kuna Raia wanawaelewa
 
Sawa kabisa hadi kaburini kama meko
 
CHADEMA went hawajui wanalotafuta sanasana wanna be driven na mihemuko ya watu wachache wanaowashika masikio
Walikuwa wanatikisa kiberiti kujuwa kama njiti zipo. Yeye mwenyewe Mbowe ni DIKTETA wa CHADEMA, anawezaje kuongoza mapambano ya kudai Katiba?
 
Hakuna nchi rahis kuongoza km Tanzania hapa Dunian,
 

Umekuja pale nilipokuwa napataka. Tuchukulie cdm hawafanyi kama watanzania wanavyotaka, ACT wameamua kuonyesha hizo siasa usemazo zinatakiwa na watanzania, umeona kinachowakuta kwenye hizi chaguzi za marudio? Leo hii ACT wamemsusia Mwinyi sherehe za Iddy huko Pemba kisa kuporwa uchaguzi. Kama kujinyenyekeza kwa ccm ndio ustaarabu, mbona ACT hawalipwi huo ustaarabu?

Ukitaka kuwa mnafiki kujitahidi usiwe bendera fuata upepo, bali pima ukweli.
 
Na CCM wanaokusanyika je?
 
Exactly hata mimi nataka Katiba lakini siyo kwa kumshurutisha na kumvuruga Rais.

Mbowe ana Siasa za kizamani zile za kupinga kila kitu. Nakuhakikishia hata kama Rais SSH angeanza na Katiba Mpya, hawa wangekuja na jingine kama vile Tume Huru ya Uchaguzi,au tufanye Maridhiano kwanza.

Nawakumbusha tu kuwa Urais wa Tanzania siyo mtu ni Taasisi, ukishindana na Taasisi cha moto utakiona.

Hata kama mtoto wa Mbowe angekuwa ndiye Rais wa Tanzania sasa, aaingemmvumilia baba yake Mbowe kwa hizo dharau zake.
 
Kuwa na akili wewe suala la katiba sio manufaa ya CHADEMA tuu,kama hujui nini maana ya katika kaa na wenye akili wakueleweshe
 
Tanzania hii wanasiasa wa upinzani wanaamini Pinga Pinga kila jambo ndo upinzani same applies to ccm jambo likiwa zuri limeletwa na upinzani na faida kwa wananchi wanalikataa eti CDM wasipate credit kitu ambacho kimekuwa na madhara kwa mstakabali mwema wa nchi yetu.
Pia hata mbowe hizi move zao zilikuwa wrong kwa nature ya Samia ambaye alikuwa msikivu pia nchi yetu Bado iko kwenye transition kuanzia kipindi Cha magufuli Hadi kufariki kwake imekuwa shock Sana, so tuko kwa transition ya ku heal yote yaliyotokea na kupumua I wondered why CDM walianza ukaidi wa ghafla wakati watanzania tumejifunza kutoka kwa magufuli na Samia utofauti wa viongoz na usiku why waanze hizo fujo ili kumharibia Samia. Kiukweli hao CDM Raia wengi hatuwaelewi na inaonyesha ni watu wenye agenda zao binafsi ka taifa tunahitaji siasa za kistaarabu na ku negotiate kwa masilahi ya nchi yetu, Raia sisi hatutaki mafujo tunataka vitu vinavogusa maisha yetu direct na as long as Mama alishasema ata work na hyo katiba why kuanzisha mifujo na kuleta taharuki Hadi nchi za nje. CDM yawapasa kurudi kwenye drawing board na kujiangalia
 
Nchi hii watanzania wanaweza kujipigania bila wanasiasa wenye agenda zao, mbona tozo kila raia alipaza sauti na ikasikika Hadi Rais akasema lizungumuzwe, Pia unapo deal na watu wenye power you have to be smart na kuja na long strategy Sasa hii agenda ya katiba Raia wengi hawaijali maana haiwagusi direct na hamna elimu ya kutosha, pia kuanza kutumia nguvu bila kutii mbona imeanza awamu hii tu wakati wa jiwe watu waliufyata mikia
 
Hakuna kitu kama hicho ,wanaamini kusa katiba mpya itaweza warudisha bungeni ,akili za kitoto kabisa.
Kwahio inaonyesha wazi kuwa unajua kuna uchafu mwingi umefanywa na unaendelea kufanywa ili wabunge wa upinzani wasiingie bungeni, ndio maana mataga akili zenu zinapenda kuburutwa tuu
 
Hawa ni Pini mpaka 2026 kama mashehe wa uamsho ndio watakuwa na adabu
 
Mkutano wa ndani au mkutano wa hadhara unaofanyika ndani? Spana tuu nyie washenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…