Rais Samia shikilia hapohapo, usirudi nyuma. CHADEMA hawahitaji kubembelezwa

Safi sana! Walikuwa na mwelekeo wa kumwona mama kama dhaifu fulani!! Baada ya tukio hili naona heshima itarudi. Haiwezekani ukajifanya kuwa juu ya sheria. Lazima chadema wawe na adabu!
 
Mlevi wa Mbege kama si changaa wewe.
CHADEMA ni nguruwe unaposema SSH abane, wao si WATANGANYIKA?
Kuna mapunda yanajiona hii nchi ni yao pekee, ma nguruwe ya kijani.
 
Katiba mpya isubiri kwanza tujenge uchumi ulioangushwa na yule dhalimu....
 
Usitolee povu lako mimi!..

Nenda road belgiji wako kasema. View attachment 1862445
Sasa ni wakati wa kazi,sio wakati wa distraction.Focus yetu ni kuwaletea wananchi maendeleo,
hatuwezi kuvumilia mapandikizi ya CIA yenye nia ya kuturudisisha nyuma.Nani asiyejua kwamba hawa ni sehemu ya jeshi la Marekani la siri deployed worldwide.They should be dealt with ruthlessly.They have instructions to cause anarchy and derailment.
 
Duuu ukigusa kiti cha mbowe macho yanaongeza centimeter kadhaa.
 
Jibuni hoja za katiba acheni kujibu hoja kwa mtutu wa bunduki

Always mnafeli

Kikwete alishawaambia kabisa,jibuni hoja kwa hoja,na hoja haijibiwi kwa mtutu wa bunduki

Mnafeli sana....mnadhani huu ndio mwisho wa kudai katiba?

Yall dillusional aisee
Katiba mtapewa na CCM na si vinginevyo, ikiwa CCM hatotaka katiba mpya basi hakutakuwepo.
 
Kuna yule dogo Mdude katolewa gerezani akiwa hoi,ile katika tu anatangaza hadharani kuwa atamnyoa Rais kwa wembe aliotumia kumnyoa mtangulizi wake.

Haya wakaanzisha hoja ya katiba mpya rai akawajibu kwa heshima kabisa kuwa wampe muda atalishughulikia,badala yake akajitokeza mjinga mmoja nakudai kuwa hawezi kumpa mud la Rais.

Hata kama mtu hakuwa na nia mbaya anajikuta tu anavaa roho ngumu,Ili akabiliane na uhuni wa hawa watu.
 
Itakuja mzee

Mtasumbuliwa sana....hapo ni vyama vya siasa wame spark the discussion,bado vyama vya NGO's havijaingia

Wait and see!

Mnajidanganya sana aisee.....jipangeni kujibu hoja kwa majibu sahihi na sio huu usenge!
Nyenyekeeni Ili muipate hiyo katiba vinginevyo hata aje nani,kama mamlaka husika hazitakuwa tayari kuanzisha mazungumzo katiba itabaki story.

Unamtukana Rais na kumvunjia heshima,alafu hapohapo unataka akurahishie katiba mpya?
 
Nani amebomoa uchumi wa Kati?
Kabomoa Mwendazake. Na tulimshambulia sana humu pamoja na vyama vya UPINZANI. Hatuwezi kuunga mkono wanaotaka kumtoa Rais SSH kwenye mipango yake thabiti. Muache atakeleze kadri ya ratiba yake, mbona kasema subirini kwanza suala la Katiba!!

Ubaya uko wapi?
 
Na hizo kauli za mdude zilikuwa za kishenzi na kukosa utu bana Mama was so fair, mtu uliyepona kifungo Cha maisha inaanza kutoa kauli mbovu ni kukosa akili, same applies to mbowe eti hataki subira lazima litekelezwe haraka hapo ndio aliharibu walivoona wanasikilizwa na kutokufamyiwa mbaya na Rais wakachukulia ni udhaifu, acha Sasa wanyolewe, CDM need to change their strategies ka hii ya ku crash government imefail waje na new strategy bila hivo watakuwa wanataka chafua tu nchi ikose misaada na wao kutokufata Sheria wakitegemea wahisani wawasaidie ni ujinga, mfano huko mwanza wameambiwa mikusanyiko marufuku kwanini wa force, mbowe mwenyewe alikataza watu msibani kisa coronavirus why Mwanza wakusanyike, walikuwa Wana mu bip mama Sasa kawapigia
 
Wanafanya mambo ya kipuuzi halafu wanataka kuchekewa na kuitwa ikulu ili wakale sambusa za nyama na juice pamoja na chai wakitoka huko waseme Rais ni dhaifu!.
Hatuwezi kuwaunga mkono kamwe!! Wapumbavu sana kina Mbowe na CDM. Tuliwaunga mkono sana dhidi ya ukatili wa Mwendazake lakini kwa ujinga huu wanafanya dhidi ya Rais SSH HATUKUBALI kamwe.
 
Unauliza shule tulienda tukapata ngapi? Tulienda tukapata mamlaka,wewe shule yako imekusaidia nini? maana hata hoja zako kusikilizwa inategemeana na namna tulivyoamka.
 
Hatuwezi kuwaunga mkono kamwe!! Wapumbavu sana kina Mbowe na CDM. Tuliwaunga mkono sana dhidi ya ukatili wa Mwendazake lakini kwa ujinga huu wanafanya dhidi ya Rais SSH HATUKUBALI kamwe.
Rais huyu kaonyesha upendo kwa kila mtu sasa wao wanajifanya kuwa vichwa ngumu kama mabeberu, tabia inayowaponza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…