Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo raia Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu raia Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe makosa ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tumvumilie kwa tumpe muda, atarekebisha makosa madogo madogo with time, tukiona ameambiwa makosa ya wateule wake, tukamuonyesha madudu ya watu wake, yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake.

Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi.

Naomba ku decrare, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho.

Mimi husifu penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricisisim, nikikosoa na hapo hapo kushauri nini cha kufanyika.

Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi, kitu ninachokihitaji kwa Mama Samia, ni kuboresha tuu mazingira ya biashara, PPR irudishiwe zile tenda zake za serikali, tumsaidie Mama Samia, kulipa mishahara ya ma RC, DC na Wakurugenzi.

Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame Mama Samia kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya.

Pili, Mama, Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine, hivyo anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo tujenge tabia ya uvumilivu kwa yale madogo madogo ya kibinaadamu.

Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili


Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.

Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.

Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.

Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.

Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.

Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychologogal, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, hawa wana ngozi laini, naomba usiyalize yale macho, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.

Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya...


Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali

Kwa watu waungwana wanaojitambua hakuna haja kabisa ya kushutumu au kulaumu kiongozi mkuu wa nchi hasa rais wako,kumbukeni huyu rais alivyo muungwan na anayejua na kutambua mawazo mbadala alisema mwenyewe yuko tayari kukosolewa na kuonyeshwa mbadala kwa lugha ya staha inayoonyesha heshima anayostahili kwa mantiki hiyo hakuna sababu ya kushutumu kutukana kulaumu cha msingi onyesha na eleza wazo mbadala basi maisha yaedelee
 
Unaandika gazeti zima humu huku kichwa cha habari ambayo ni aya nzima, kimekwishaeleza habari yote!

Huu ni uandishi wa namna gani?

Mwanzo wa matatizo yetu yote ni kuwa na elimu hizi mbofumbofu wanazopata wananchi wetu.

Hiyo neno mbofumbofu ni kiswahili au ni kikwenu?
 
Ndugu yangu M
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo raia Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu raia Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe makosa ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tumvumilie kwa tumpe muda, atarekebisha makosa madogo madogo with time, tukiona ameambiwa makosa ya wateule wake, tukamuonyesha madudu ya watu wake, yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake.

Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi.

Naomba ku decrare, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho.

Mimi husifu penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricisisim, nikikosoa na hapo hapo kushauri nini cha kufanyika.

Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi, kitu ninachokihitaji kwa Mama Samia, ni kuboresha tuu mazingira ya biashara, PPR irudishiwe zile tenda zake za serikali, tumsaidie Mama Samia, kulipa mishahara ya ma RC, DC na Wakurugenzi.

Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame Mama Samia kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya.

Pili, Mama, Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine, hivyo anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo tujenge tabia ya uvumilivu kwa yale madogo madogo ya kibinaadamu.

Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili


Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.

Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.

Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.

Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.

Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.

Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychologogal, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, hawa wana ngozi laini, naomba usiyalize yale macho, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.

Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya...


Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Ndugu yangu Pascal umebadilika sana.Siku hizi huna kabisa argument za nguvu.Argument zenye authority ulizokuwa nazo those big days of yours,ukitamba katika kipindi cha kiti moto.Huna kabisa hoja zenye nguvu mpaka Sumai hakakifunga kipindi cha kiti moto kwa ajili yako.Tumeona ukimsifia Rais wetu mpendwa ,marehemu Magufuli.Lakini hakukuteua.Alipokufa ,ukaanza kumponda.Nashangaa unasahau.Nafikiri sio kosa lako,labda umeanza kuwa MTU mzima.Sasa unamsifia mama ,Samia ili akuone.Kwa kuwa mama anafuatilia mitandao.Naona umeamua kuungana na kijana wa CDM katika kusifia ili mama awachague.Sio sawa Pascal. Naamini Pascal wa kipindi cha Mkapa akikutana na Pascal wa kipindi cha mama Samia ,watagombana sana.
 
Mkuu NN, kwanza tukubaliane sisi ni Waafrika, Watanzania na Waswahili, kuna vitu kwa wenzetu wazungu, its ok, lakini kwetu Waafrika, they are not ok, mfano ukimtukana kiongozi mwanaume, inaweza isimuume sana, lakini ukimtukana kiongozi mwanamke inauma sana. JPM tulimkosoa sana kwa lugha ngumu, chungu na za kuudhi, kwasababu na yeye hizo zilikuwa ndio lugha zake, sasa anapokuja kiongozi mwingine, mwanamke, mwenye macho yale, mwenye lugha tamu, laini na ya kutia matumaini wakati wote, tumkosoe kwa lugha inayofanania naye. Being gender conscious na gender maintreaming ni pamoja na kupunguza ukali wa maneno kwa gender tofauti tofauti.
P
No way, no how!

Anybody can get it.

I’m gonna keep the same energy.
 
Mibavicha ndio haina akili kabisa!

Mwanzo ilikuwa inamsifia sana! Alipofanya uteuzi wa kuwateua kina Nassari na Lijuakli ndio ikawa kama mbogo!

Nawaulizeni nyie mabavicha, hivi mlifikiri mama atafanya kwa matakwa yenu na si ccm?
Kumbe hata Magufuli tulimkosoa kuhusu wateule wake…..wow!!

 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo raia Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu raia Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe makosa ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tumvumilie kwa tumpe muda, atarekebisha makosa madogo madogo with time, tukiona ameambiwa makosa ya wateule wake, tukamuonyesha madudu ya watu wake, yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake.

Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi.

Naomba ku decrare, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho.

Mimi husifu penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricisisim, nikikosoa na hapo hapo kushauri nini cha kufanyika.

Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi, kitu ninachokihitaji kwa Mama Samia, ni kuboresha tuu mazingira ya biashara, PPR irudishiwe zile tenda zake za serikali, tumsaidie Mama Samia, kulipa mishahara ya ma RC, DC na Wakurugenzi.

Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame Mama Samia kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya.

Pili, Mama, Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine, hivyo anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo tujenge tabia ya uvumilivu kwa yale madogo madogo ya kibinaadamu.

Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili


Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.

Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.

Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.

Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.

Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.

Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychologogal, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, hawa wana ngozi laini, naomba usiyalize yale macho, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.

Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya...


Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Rais huwa anapangiwa? Rais huwa anashauriwa na kama hataki kufuata ushauri ni hiari yake. Lakini raisa lazima afuate na kusikiliza maoni na manog'ono ya watu anaowaongoza. Maana hapo ndipo hupata picha kamili juu utendaji kazi wake. Kama anateua wapiga madochi na macomedian wasiokuwa na taswira nzuri unategemea nini?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo raia Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu raia Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe makosa ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tumvumilie kwa tumpe muda, atarekebisha makosa madogo madogo with time, tukiona ameambiwa makosa ya wateule wake, tukamuonyesha madudu ya watu wake, yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake.

Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi.

Naomba ku decrare, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho.

Mimi husifu penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricisisim, nikikosoa na hapo hapo kushauri nini cha kufanyika.

Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi, kitu ninachokihitaji kwa Mama Samia, ni kuboresha tuu mazingira ya biashara, PPR irudishiwe zile tenda zake za serikali, tumsaidie Mama Samia, kulipa mishahara ya ma RC, DC na Wakurugenzi.

Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame Mama Samia kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya.

Pili, Mama, Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine, hivyo anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo tujenge tabia ya uvumilivu kwa yale madogo madogo ya kibinaadamu.

Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili


Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.

Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.

Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.

Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.

Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.

Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychologogal, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, hawa wana ngozi laini, naomba usiyalize yale macho, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.

Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya...


Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Ndugu yangu Pascal Mayalla unatupotosha. Kwanza unapokuwa kwenye high office hakuna makosa ya kibinadamu hata kama wewe ni binadamu. Na ndio Maana ana wasaidizi mpaka wa kumtengea Chai na kumshikia handbag.

Rais akifanya kosa moja tu huenda Impact yake ikawa kubwa sana na kui-mitigate ikawa shida. Kwaiyo usiseme Rais anafanya makosa ya kibinadamu. Tukiruhusu hilo tutaharibu nchi
 
Paskali pambana na njaa zako ndugu, TEUZI zimeisha huwezi kuwa juha kiasi hicho, mama anakosea tena sana huwezi kuteua watu bila vigezo kisa wanajua kuvaa mashati ya kijani never, kwenye huo mkeka aliotoa kuna watu wala hawakustahili kuwa ma monita wa darasa la nne B ,
Kwani Mama anaandaa yeye?, yeye analetewa majina, yenye sifa na vigezo, kazi yake ni kujiridhisha na kuteua. Kama kosa la Msando ni kuishika tuu ile naniliu ya Gigy, mbona kila siku sisi tunashika hizo naniliu kwenye furaha zetu, tena zinashikwa, na wengi tuu na kuna wengine kwenye faragha hufanya zaidi ya hayo sirini, hivyo watu wa vetting wameona hilo sio tatizo, ile ilikuwa ni faragha, hivyo jina likapelekwa.

Sasa unategemea Mama atajua yote?.
P
 
Kwani Mama anaandaa yeye?, yeye analetewa majina, yenye sifa na vigezo, kazi yake ni kujiridhisha na kuteua. Kama kosa la Msando ni kuishika ile naniliu ya Gigy, kila siku hizo naniliu zinashikwa, na wengi tuu hufanya zaidi ya hayo sirini, hivyo watu wa vetting wameona hilo sio tatizo, hivyo jina likapelekwa.

Sasa unategemea Mama atajua yote?.
P
Kwa hiyo ikitokea video inaonyesha Mwigulu Nchemba anakunya hadharani, atapewa pass kwa sababu watu kila siku wanakunya na wanakunya wakiwa faragha?
 
Mwacheni achape kazi Rais.Uongozi wake hauumizi watu.Huyo msando mnazushia kashfa.Nijue tu kwani GIGY anasemaje,alienda kushtaki au ilikuwa ni mambo yao binafsi.

Nchi imetulia kwa sasa OVER
 
1.Hataki katiba mpya, maana yake kanogewa na katiba hii ya kidikteta

2. Amesema eti rais hakosei, naona mleta mada wewe unaongea opposite wakati yeye anaamini yuko sahihi all the time

3. Anateua watovu wa nidhamu waliofukuzwa kazi bungeni kama Nassari

4. Anareward tabia mbaya na usaliti na kununuliwa, anajua wazi akina Lijualikali, Walinunuliwa na Magufuli katika mango wake mbovu wa kubadili katiba ili atawake milele, yeye anakwenda kubariki uendawzimu huo wa kisiasa—Tulitegenea kuwa angekuwa sober kidogo na kuachana na mambo ya ajabu ya Magufuli kumbe na yeye anayelea na kuyaempower

5. Tunafurahia kuwa kuna mambomazuri ameyafanya katika kipindi hiki kuelekea siku zake 100 madarakani, sasa ni muda wa yeye kuonyesha shrewdness, statesmanship, visionary leadership kwa kujenga mifumo ya kitaasisi ya nchi, tubataka tuone Akiwa Champion wa Uongozi bora na Siasa Safi. Hivyo vitu haviwezi kupatikana katika katiba hii iliyopitwa na wakati, katiba ya kuipendelea CCM badala ya nchi

Vipi yeye hateui wakristo wengi kuliko waislam ?, maana huwa unasema waislam mpo wengi ila hamteuliwi !!
 
Wanabodi,

Pili, Mama, Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine, hivyo anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo tujenge tabia ya uvumilivu kwa yale madogo madogo ya kibinaadamu.

Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Kwanza naunga mkono hoja ya rais mwanamke ile 2025, kwa utaratibu wa CCM, urais huu wa Mama Samia ulioletwa kwa kudra za Mwenyezi Mungu, hii ni awamu yake ya kwanza, hivyo kila mtu anajua 2025 ndio awamu yake ya pili.

Kwa vile hili ya yeye kugombea 2025, aliisha liweka vizuri ile siku anaongea na BBC kuwa kwa sasa tufanye kwanza kazi, ya 2025 tumwachie Mungu maana no one is shure kufika 2025, hivyo ni busara kwa rais wetu Samia akaendelea na msimama wake ule ule wa kwenye BBC kuwa ya 2025 tumuachie Mungu. Kwa sasa, rais aendelee ku deal na haya ya Kaizari, na yale ya Kimungu tumuachie Mungu mwenyewe.

My honest opinion is she didn't need kuonyesha yeye ndie anataka kugombea hiyo 2025, hiyo atuachie sisi wananchi, wapambe na chama ndio kiseme na sio yeye.
2. Lile gazeti lililosema hagombei lile sio kigazeti ni gazeti. Waandishi wa wito, tunaumia sana pale tunapodharauliwa na Viongozi wetu. Yes sisi waandishi sio malaika, hivyo tunakosea lakini tunastahili kuvumiliwa, kustahimiwa na tunapokosea tukosolewe, turekebishwe, tuadhibiwe ila tusibezwe, tusidharauliwe, tusidhalilishwe, bali tuendelee kuheshimiwa. Ukiangalia mchango wa "hicho kijigazeti" kimeifanyia nini CCM mpaka hapo ulipo na Mama Samia alipo, halafu kulinganisha na lile kosa, bado gazeti hilo linastahili heshima yake ya kuitwa gazeti, kama Mama mwenye nyumba, mtoto wake mwenyewe wa kumzaa ndio anamuita jina baya, sisi watoto wa jambo tutegemee nini?.
3. Japo Rais Samia got upresidaa by default only and it happens she is a woman, now she is our president, she doesn't needs kuzungumzia gender yake every now and then. Ameisha eleweka kabisa na sasa itoshe.

Japo 2025 tunakwenda na Mwanamke, na ni Samia, nawaombeni sana wapambe msianze kuvurumisha tarumbeta hadj kuonekana tunampangia mpangaji, Mama Samia alisema ya 2025 tumwachie Mungu, chonde chonde tumwachie Mungu, sisi binaadamu tusipige sana makelele ya 2025 lazima ni fulani hadi tukajikuta tunamponza mtu wetu bure kama tulivyo mponza naniliu!.

Namalizia kwa kusisitiza sisi watu wa media, we have a duty of care kumsaidia Mama aweze.

Huu ni msaada wangu kwake na kwa nchi yangu.
P
 
Back
Top Bottom