Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Urais una kitu kinachoitwa "duality" yaani vitu viwili in one. Hivyo rais ana dual personalities, 1. Rais ni binadamu, a human being anayeitwa Samia Suluhu Hassan, huyu ni binadamu kama binaadamu mwingine yoyote, anaishi Ikulu, ni nyumbani kwake, she eats, sleep, she has feelings, she can be angry, happy, she can cry etc, and is capable of doing everything a human can do including doing mistakes.

2. Rais ni presidential institution, yaani huyu ni taasisi ya urais, its not human, taasisi hii unaishi Ikulu ambapo ni mahala patakatifu, rais ni mtakatifu na hawezi kukosea ndio maana hawezi kushitakiwa. Ile kinga ya rais kutokushitakiwa ni kutokana na hii institution hivyo rais yule human being, anakuwa shielded by the institution part of her.

P
Mkuu huwa unajitaidi kutaka kuwaaminisha watu kile unacho amini wewe.HONGERA
 
Urais una kitu kinachoitwa "duality" yaani vitu viwili in one. Hivyo rais ana dual personalities, 1. Rais ni binadamu, a human being anayeitwa Samia Suluhu Hassan, huyu ni binadamu kama binaadamu mwingine yoyote, anaishi Ikulu, ni nyumbani kwake, she eats, sleep, she has feelings, she can be angry, happy, she can cry etc, and is capable of doing everything a human can do including doing mistakes.

2. Rais ni presidential institution, yaani huyu ni taasisi ya urais, its not human, taasisi hii unaishi Ikulu ambapo ni mahala patakatifu, rais ni mtakatifu na hawezi kukosea ndio maana hawezi kushitakiwa. Ile kinga ya rais kutokushitakiwa ni kutokana na hii institution hivyo rais yule human being, anakuwa shielded by the institution part of her.

P
napata ukakasi hapo Raisi kama taasisi kuwa hakosei na kulindwa kutokustakiwa. mi nafikiri kama tunakubali taasisi zinakua na binadamu wanaoweza kukosea na wanatakiwa kuwajibika kwa makosa yao ya kibinadamu ili kujenga mfumo imara unaoweza kujirekebisha
 
Hii aya ya mwisho nadhan umepiga dongo kiaina
Urais una kitu kinachoitwa "duality" yaani vitu viwili in one. Hivyo rais ana dual personalities, 1. Rais ni binadamu, a human being anayeitwa Samia Suluhu Hassan, huyu ni binadamu kama binaadamu mwingine yoyote, anaishi Ikulu, ni nyumbani kwake, she eats, sleep, she has feelings, she can be angry, happy, she can cry etc, and is capable of doing everything a human can do including doing mistakes.

2. Rais ni presidential institution, yaani huyu ni taasisi ya urais, its not human, taasisi hii unaishi Ikulu ambapo ni mahala patakatifu, rais ni mtakatifu na hawezi kukosea ndio maana hawezi kushitakiwa. Ile kinga ya rais kutokushitakiwa ni kutokana na hii institution hivyo rais yule human being, anakuwa shielded by the institution part of her.

P
 
Bro Pascal, UDC mwaka huu utaupata,tuliza Ball,kaa kimyaaa,brooo ,shavu lako laja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

nashauri tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Siungi mkono lugha iliyotumika kumzodoa Spika, ile ni mipasho. Kwa vile Mama Samia ni Mzanzibari, na Wazanzibari ni Waswahili, na kwa wanawake wa Kiswahili mipasho ni sehemu ya lugha zao, tuendelee kumuomba Mama kwa mambo mengine, amuombe Mungu umuwezeshe kujifunza kuyanyamazia na huku sisi tukimuombea kwa Mungu amuwezeshe rais wetu, ajifunze kunyamaza, maana kwa kauli zile, just imagine saa hizi Kasimu ana hali gani?.

Kwa vile rais Samia tangu mwanzo aliishasema "mkinizingua", "tutazinguana" ila sio kwa mipasho ile!.
Hivi JYN baada ya kubakia na ubunge wake, kwa jinsi alivyodhalilishwa vile, kweli atakujaga kuchangia kitu bungeni?.

Kwa vile ni Bwana analeta na Bwana anatwaa , hakuna mtu yeyote anayejua for sure, ni kwanini Mungu amemtwaa JPM hivyo kwa sisi tunaoijua karma and how it operates, tunawajibu wa kumsaidia Mama Samia, kuepuka ku accumulates bad karma ili zisije ku hit back, yakatukuta ya kutukuta kama yaliyotukuta!.

Najua rais ana njia mbalimbali za kupata taarifa, ila pia kuna ukweli, ndani ya nchi yetu tuna tatizo la uongo, uzushi, fitna na majungu, hivyo kuna uwezekano watoa taarifa kwa rais wakampelekea taarifa za uongo,uzushi, fitna na majungu ya 2025 kumhusu JYN, Kasimu na wengine hivyo Rais Samia akakasirika na kuamua atawatema, ikitokea taarifa hizi ni uongo, uzushi, fitna na majungu, hivyo JYN na hao wengine watahukumiwa sio kwa haki, karma itawalipia!, hivyo tukiweza kumsaidia Mama kumshauri, kwanza asiamini kila anacholetewa, ajifunze kunyamaza, na tatu asiwaadhibu watu kwa maneno ya kusikia, asije kuadhibu watu kwa tuhuma za uzushi, uongo, fitna na majungu, mfano ikitokea JYN amesingiziwa tuu, hivyo kuupoteza uspika kwa uzushi, uongo, fitna na majungu, kukamuumiza moyo na kukampa kinyongo, compilation ya vinyongo hivyo vingi, iki accumulate, itatuumizia Samia wetu!. Kwenye eneo hili, Samia awe kama JK na Mwinyi, awapuuze tuu. Angalia kati ya marais wetu wastaafu, Mwinyi na JK ndio wapo!, huwezi kujua hao wengine walifanya nini hadi wakatwaliwa jinsi ile walivyo twaliwa.

Mimi ni just a nobody, ila ni baadhi ya hawa hawa nobodies, kama Mama akiwasikiliza, wanaweza kumsaidia kuliko hao somebodies waliomzunguka!.
P
 
Kawaida wakurugenzi hawa wakishaondolewa katika nafasi zao, huwa wanapelekwa ubalozini huko Canada, Brazili ili kutoa nafasi kwa ajaye kufanya kazi kwa umakini. Imagine Diwani aanze kuripoti kwa huyu mpya, lazima kutakuwa na hali fulani hivi.

Halafu huwezi kujua ameichukuliaje issue ya kuondolewa halafu unamuweka jikoni kwako panapopikwa chakula

I said.

=====

Rais Samia ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya kuwa katibu Mkuu Ikulu

Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu.


View attachment 2469861
Kiukweli kumtoa mtu kwenye position ya DGIS na kumwacha popote nchini is a mistake!. Position stahiki kwa DGIS mtumbuliwa ni kumpeleka ubalozini. Rais nae ni binadamu na sio malaika, hivyo anaruhusiwa kufanya human mistakes. Hili nililizungumza hapa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Kuhusu hizi appointments nyeti na very strategic tusimwachie mtu mmoja tuu, she is human hivyo sometimes human mistakes caused by human weaknesses zinaweza kutokea ukajikuta unamtumbua mtu mzuri kwa issues ndogo tuu zikingine za ... Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P
 
Kiukweli kumtoa mtu kwenye position ya DGIS na kumwacha popote nchini is a mistake!. Position stahiki kwa DGIS mtumbuliwa ni kumpeleka ubalozini. Rais nae ni binadamu na sio malaika, hivyo anaruhusiwa kufanya human mistakes. Hili nililizungumza hapa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Kuhusu hizi appointments nyeti na very strategic tusimwachie mtu mmoja tuu, she is human hivyo sometimes human mistakes caused by human weaknesses zinaweza kutokea ukajikuta unamtumbua mtu mzuri kwa issues ndogo tuu zikingine za ... Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P

Kwahiyo sasa Rais ni mtu au Taasisi?
 
Kwahiyo sasa Rais ni mtu au Taasisi?
Rais ni dual personality, she is a human being anayetwa Samia Suluhu Hassan at the same time she is the institution of Presidential Institution as the president of the United Republic of Tanzania.
She exist in duality.
P
 
Wanabodi,

pale ambapo rais Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu mteuzi tuu yaani Rais Samia,
Huoni na huyo mkuu wako wa nchi naye hajielewi! Unamteuaje kiongozi wa chama cha wafanyakazi, ambacho kimsingi hakitakiwi kufungamana na chama chochote kile cha kisiasa, kushika nafasi ya kisiasa kama hiyo ya Mkuu wa Wilaya?
Mkuu Tate Mkuu , uteuzi wa viongozi wa vyama vya wafanyakazi into Political appointees is a mistake, Rais Samia amekoseshwa na wasaidizi wake!.
P
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo rais Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu mteuzi tuu yaani Rais Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe Mama Samia kuwa amechomekewa mabomu, kisha tumuonyeshe hayo makosa na makorokocho ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tumvumilie kwa tumpe muda, atarekebisha mwenyewe yale makosa madogo madogo with time, tukiona ameambiwa makosa ya wateule wake, tukamuonyesha madudu ya wateule wake, na yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake.

Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Urais ni taasisi kubwa sana, unaotegemea sana utendaji wa idara mbalimbali. Idara hizo zisispofanya kazi vizuri, lawama zote zinaenda kwa Rais na Serikali nzima.

Ukweli ni kwamba, hata kama tutakuwa na pesa nyingi kiasi gani, hata tukawa na vyanzo vya kuingiza pesa nyingi kiasi gani, bila ya kuwa na watu sahihi kila eneo, ni kupoteza muda, na nchi hii haitafika popote.

Viongozi wanaoona unyonge na umaskini wa wananchi ni sifa badala ya kuuona ni laana, hawawezi kulibadilisha Taifa hili.

Tuna watu wasio na uwezo wa kujenga mifumo bora ya uzalishaji bali usiku na mchana wanapanga namna ya kuiba kidogo kinachopatikana.

Bila ya kuwa na mifumo ya kuwatambua na kuwatumia watu wenye maono, wanaochukizwa na umaskini, walio maadui wa rushwa lakini wanaojivunia uadilifu na mafanikio, watu waliosheheni ubunifu, kwenye maeneo ya maamuzi, usimamiaji na utekelezaji ndani ya Serikali na taasisi zake, sisi kuhusu maendeleo, tusahau, tusahau, tusahau kabisa.

USHAURI KWA RAIS
Rais, awe na watu wanaofuatilia kwenye taasisi binafsi na makampuni binafsi, waliopo ndani na nje ya nchi, kuwatambua watanzania wenye fikra chanya na wenye uwezo na uadilifu wa hali ya juu, ili watu hao waweze kupewa nafasi muhimu katika kulibadilisha Taifa hili lililozama kwenye tope la uduni, siyo kwa sababu ya kukosa rasilimali asilia bali kukosa rasilimali watu sahihi kwenye maeneo mengi mbalimbali.

Vigezo vya sifa za mtu kupata nafasi katika ofisi za umma, zitazamwe upya, maana kuna watu wengi kwenye ofisi za umma zaidi ya kuwa na uadilifu duni, hata maarifa na uwezo wao wa kufanya kazi ni duni sana, ndiyo maana mashirika yote ya kibiashara na huduma yaliyo chini ya Serikali, hakuna linalofanikiwa.
Naunga mkono hoja, Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

P
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo rais Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu mteuzi tuu yaani Raisi Samia.

Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Wanabodi, hata hili la kumuongezea muda Jaji Mkuu, japo ni kinyume cha katiba na ni makosa kikatiba, kisheria, kiutaratibu na kikanuni, lakini tusimlaumu Rais Samia, ni amekoseshwa na washauri wake!, hili ni kosa ndogo tusilifanye nongwa!. Nimeshauri hapa Jaji Mugasha Apewe Maua Yake Kupinga Uvunjifu wa Katiba Ukomo wa CJ, ila Mbona Hili ni Dogo Tuu, Kubwa ni Katiba Yetu Imenajisiwa! Why Wako Kimya?!.

P.
 
 
Wanabodi, hata hili la kumuongezea muda Jaji Mkuu, japo ni kinyume cha katiba na ni makosa kikatiba, kisheria, kiutaratibu na kikanuni, lakini tusimlaumu Rais Samia, ni amekoseshwa na washauri wake!, hili ni kosa ndogo tusilifanye nongwa!. Nimeshauri hapa Jaji Mugasha Apewe Maua Yake Kupinga Uvunjifu wa Katiba Ukomo wa CJ, ila Mbona Hili ni Dogo Tuu, Kubwa ni Katiba Yetu Imenajisiwa! Why Wako Kimya?!.

P.
Jaji Mugasha Stella ni mama wa kihaya anayejitambua , kimsingi hana tofauti na yule mama Kaganda wa Polisi ambaye alitakiwa kupewa u aijiipii , lakini paskali kosa letu watanzania hatutaki kutumia watu wenye akili hapo ndio tunapokwama, tunataka kutumia chawa tuuuuuu kimsingi hapo ndio tunakwama.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo rais Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu mteuzi tuu yaani Rais Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe Mama Samia kuwa amechomekewa mabomu, kisha tumuonyeshe hayo makosa na makorokocho ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tumvumilie kwa tumpe muda, atarekebisha mwenyewe yale makosa madogo madogo with time, tukiona ameambiwa makosa ya wateule wake, tukamuonyesha madudu ya wateule wake, na yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake.


Paskali
.Anyway, nadhani timu ya Rais inayoshughulika na "vetting" za viongozi haifanyi kazi yake ipasavyo. Huwezi kumteua Katibu Mkuu wa wizara nyeti kama ya Foreign kwa kubahatisha. Kama walikua hawana uhakika nae wasingemteua. Bora nafasi ingebaki "vacant" kuliko kumteua mtu leo na kumuondoa kesho.

Inaonekana hakuna umakini kwenye teuzi. Maafisa wanaomsaidia mama wanapuga ramli. Na hii si mara ya kwanza. Kuna jamaa mmoja aliwahi kuteuliwa DED na DAS kwa wakati mmoja. Ikaleta gumzo hadi yakafanyika mabadiliko. Timu ya "vetting" imsaidie Rais vizuri. Iache kufanya betting. Taarifa ya Ikulu haipaswi kuwa ya kubahatisha, inapaswa iwe firm and legitimate. Isiwe kama taarifa ya vicoba vya Mburahati. Fanyeni vetting sio betting.!

Malisa JG
Naunga mkono hoja, ila tusimlaumu mteuzi kwa makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake
P
 
Back
Top Bottom