Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Ni kweli sio Malaika, ila kwa UFISADI huu tena wenye mwendelezo hapana.
Unaporuhusu hadi member wa familia kuwa sehemu ya ufisadi ni hatari sana!
Nchi kwa sasa imetamalaki kwa rushwa za aibu na fedheha kwa ustawi wetu.
 
Wanabodi,!.

Pili, Rais Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine wote, hivyo na yeye kama binadamu, anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo anapokosea anahitaji kusaidiwa kwa kukosolewa kwa lugha ya kistaarabu, staha na heshima kwa kumuonyeshea kosa, ushauri wa kurekebisha, namna bora zaidi ya kulifanya hilo jambo, na the consequences of mapuuza endapo atapuuzia!.

Pia tujenge tabia ya uvumilivu wa kuyavumilia makosa madogo madogo ya kibinaadamu, to err is a human nature!.

Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Ni Heri sasa Uteuzi usiangalie Itikadi kwa mfano John Pambalu au Abdul Nondo wateuliwe tu bila kuhamia CCM Ili wakaisaidie Serikali

Ramadan Kareem 😄
Naunga mkono hoja, ila kiukweli hii inconsistency kwenye mamlaka ya uteuzi, haileti picha nzuri!, hawa wasaidizi wake goigoi wanamponza kumfanya na yeye aonekane ni...

Bandiko hili nilisema tumpe muda, tuendelee kumpa mpaka 2025 ambapo muda huu utakamilika 2025!
P
 
Naunga mkono hoja, ila kiukweli hii inconsistency kwenye mamlaka ya uteuzi, haileti picha nzuri!, hawa wasaidizi wake goigoi wanamponza kumfanya na yeye aonekane ni...

Bandiko hili nilisema tumpe muda, tuendelee kumpa mpaka 2025 ambapo muda huu utakamilika 2025!
P
Hangaya amechoka anastahili kupumzika, yaani kila akitoka kuzurura huko akitua tu usiku uteuzi, wengine hawafai hata kuwa wenyeviti wa vijiji unakuta wamoooo , inafikirisha sana, kibaya zaidi wale failure ambao kawatengua kwingine anapeleka kwingine as if hiyo nchi watu wameisha kabisaaaaa. SHAME
 
Hangaya amechoka anastahili kupumzika, yaani kila akitoka kuzurura huko akitua tu usiku uteuzi, wengine hawafai hata kuwa wenyeviti wa vijiji unakuta wamoooo , inafikirisha sana, kibaya zaidi wale failure ambao kawatengua kwingine anapeleka kwingine as if hiyo nchi watu wameisha kabisaaaaa. SHAME
Siyo nchi watu wameisha, bali kwenye chama chake watu wameisha. CCM sasa hivi imebaki na magalasa au magangwala. Tatizo chuki za kisiasa zinawafanya wateue ndani ya boksi aliloachiwa na mtangulizi wake, wanachokifanya ni sawa na mla supu ya mbuzi, huyu huanza kwa kuchukua vipande vinavyopendeza huku vingine akivisukuma pembeni, mwisho u amkuta anavila ivyovisukuma pembeni! Ndiyo hawa.
Rejea mabadiliko ya juzi kuhusu wakuu wa wilaya, alichikifanya ni sawa na mcheza bao kwani alichota kete toka shimo la kwanza akapeleka kwenye shimo jingine nako akachota skatumbukiza kwenye shimo jingine hivyo hivyo akarudia rudia kuchota na kutumbukiza kete zile zile bila kuweka kete mpya! On and on.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo rais Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu mteuzi tuu yaani Rais Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe Mama Samia kuwa amechomekewa mabomu, kisha tumuonyeshe hayo makosa na makorokocho ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tu project the consequences za kuwa na viongozi mabomu, kisha tumvumilie kwa tumpe muda wa kutosha kuwa atarekebisha mwenyewe yale makosa madogo madogo with time.

Pili, Rais Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine wote, hivyo na yeye kama binadamu, anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo anapokosea anahitaji kusaidiwa kwa kukosolewa kwa lugha ya kistaarabu, staha na heshima kwa kumuonyeshea kosa, ushauri wa kurekebisha, namna bora zaidi ya kulifanya hilo jambo, na the consequences of mapuuza endapo atapuuzia!.

Pia tujenge tabia ya uvumilivu wa kuyavumilia makosa madogo madogo ya kibinaadamu, to err is a human nature!.

Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Milton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi.

How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya?
hata hili kosa la uteuzi wa marehemu sio lake!, this is bonafide genuine mistake ya communication break down, by the time Lupa, anakutwa na umauti, uteuzi ulikuwa tayari ila mkeka haujapanda. Wakati tangazo la msiba linatoka, hakuna aliyenote mteuliwa mmoja yuko amefariki jana yake!. Hili ni kosa genuine, let's not make.a big deal!.
P
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo rais Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu mteuzi tuu yaani Rais Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe Mama Samia kuwa amechomekewa mabomu, kisha tumuonyeshe hayo makosa na makorokocho ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tu project the consequences za kuwa na viongozi mabomu, kisha tumvumilie kwa tumpe muda wa kutosha kuwa atarekebisha mwenyewe yale makosa madogo madogo with time.

Tukiona ameambiwa makosa yake au makosa ya wateule wake, tukimkosoa kwa a constructive criticism tukamuonyesha the right thing to do, na kuonyesha madudu ya wateule wake, na yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake, lakini kwa sababu tutakuwa tumeainisha the consequences, hizo consequences zikija kutokea, tunakuwa hatuna jinsi, bali kumtundika msalabani!.

Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka uteuzi wa u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi!.

Naomba ku decrare interest, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wowote wa nafasi yoyote, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho na kamwe hutawasikia wakikosoa lolote!.

Mimi husifu tuu pale penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricitisim, nikikosoa naonyesha kosa, hapo hapo sio tuu nashauri nini cha kufanya, kurekebisha makosa, pia hutoa couscous statement ya the consequences if ushauri hautafuata, nini kitatokea!, hivyo ushauri ukipuuzwa likatokea la kutokea, unakuwa hauna jinsi, ni kumtundika msalabani kwa spana za kutosha!.

Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia fedha za kiasi cha kutosha kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi!, sasa mtu kama huyu, autafute u DC wa nini?!. Japo kwa sasa, nakiri kupigika sana lakini kwa mtu kama mimi, kitu ninachokihitaji kwa Mama, ni kuendelea tuu kuboresha mazingira ya biashara, PPR irudishe zile tenda zake, tumsaidie Mama, kumlipia mishahara ya ma RC, ma DC na Wakurugenzi wake!.

Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame saana Mamaa kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!.

Pili, Rais Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine wote, hivyo na yeye kama binadamu, anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo anapokosea anahitaji kusaidiwa kwa kukosolewa kwa lugha ya kistaarabu, staha na heshima kwa kumuonyeshea kosa, ushauri wa kurekebisha, namna bora zaidi ya kulifanya hilo jambo, na the consequences of mapuuza endapo atapuuzia!.

Pia tujenge tabia ya uvumilivu wa kuyavumilia makosa madogo madogo ya kibinaadamu, to err is a human nature!.

Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili


Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.

Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.

Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.

Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.

Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.

Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychological, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, wanawake wana ngozi laini, hivyo naomba usiyalize yale macho, laini, legevu, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.

Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya... Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Paskali Hapana, mpaka unaongoza nchi tunaamini unao uwezo……yaani tumpe muda? Sikujua kama TZ ni pilot test country . Nafasi ya urais ni kubwa snaa, tutafika very late kama tunahitaji kuwapa muda hadi marais, mtu anakula 198M on monthly basis plus lots of privelege na familia yake ….. yet apewe muda. Huo mshahara wake wote huo plus perdiem za nje anapeleka wap, ? ni hela nyingi plus na za upigaji

Rais akienda nje anakula perdiem ndefu snaa we know that .

Mimi nasema hakuna cha muda, 2025 huyu mama apigwe chini, hatutofika, Mpango au Kassim wanafaa sana kuongoza hilo taifa, pia tunahitaji kupunguza wabunge wa CCM ambao ni zero brain , tuunge serikali ya mseto. 2025 CCM tuiweke kwenye angle ya kujiandaa kutoka madarakani kama ANC
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo rais Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu mteuzi tuu yaani Rais Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe Mama Samia kuwa amechomekewa mabomu, kisha tumuonyeshe hayo makosa na makorokocho ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tu project the consequences za kuwa na viongozi mabomu, kisha tumvumilie kwa tumpe muda wa kutosha kuwa atarekebisha mwenyewe yale makosa madogo madogo with time.

Tukiona ameambiwa makosa yake au makosa ya wateule wake, tukimkosoa kwa a constructive criticism tukamuonyesha the right thing to do, na kuonyesha madudu ya wateule wake, na yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake, lakini kwa sababu tutakuwa tumeainisha the consequences, hizo consequences zikija kutokea, tunakuwa hatuna jinsi, bali kumtundika msalabani!.

Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka uteuzi wa u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi!.

Naomba ku decrare interest, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wowote wa nafasi yoyote, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho na kamwe hutawasikia wakikosoa lolote!.

Mimi husifu tuu pale penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricitisim, nikikosoa naonyesha kosa, hapo hapo sio tuu nashauri nini cha kufanya, kurekebisha makosa, pia hutoa couscous statement ya the consequences if ushauri hautafuata, nini kitatokea!, hivyo ushauri ukipuuzwa likatokea la kutokea, unakuwa hauna jinsi, ni kumtundika msalabani kwa spana za kutosha!.

Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia fedha za kiasi cha kutosha kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi!, sasa mtu kama huyu, autafute u DC wa nini?!. Japo kwa sasa, nakiri kupigika sana lakini kwa mtu kama mimi, kitu ninachokihitaji kwa Mama, ni kuendelea tuu kuboresha mazingira ya biashara, PPR irudishe zile tenda zake, tumsaidie Mama, kumlipia mishahara ya ma RC, ma DC na Wakurugenzi wake!.

Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame saana Mamaa kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!.

Pili, Rais Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine wote, hivyo na yeye kama binadamu, anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo anapokosea anahitaji kusaidiwa kwa kukosolewa kwa lugha ya kistaarabu, staha na heshima kwa kumuonyeshea kosa, ushauri wa kurekebisha, namna bora zaidi ya kulifanya hilo jambo, na the consequences of mapuuza endapo atapuuzia!.

Pia tujenge tabia ya uvumilivu wa kuyavumilia makosa madogo madogo ya kibinaadamu, to err is a human nature!.

Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili


Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.

Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.

Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.

Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.

Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.

Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychological, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, wanawake wana ngozi laini, hivyo naomba usiyalize yale macho, laini, legevu, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.

Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya... Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Samia avumiliwe! Mbowe asivumiliwe huyu ni malaika! Vitu vingine uviache vipite kwani vinakuonesha kuwa ni mtu wa upendeleo na ubaguzi.
 
P
hata hili kosa la uteuzi wa marehemu sio lake!, this is bonafide genuine mistake ya communication break down, by the time Lupa, anakutwa na umauti, uteuzi ulikuwa tayari ila mkeka haujapanda. Wakati tangazo la msiba linatoka, hakuna aliyenote mteuliwa mmoja yuko amefariki jana yake!. Hili ni kosa genuine, let's not make.a big deal!.
P
P, kama hakuna aliyenotice huo ndio uzembe wenyewe , stop kutetea hii kitu . Ikulu ndio nchi na inawatu wengi ambao have been trained to be there , there is no any reason to justify that . Ikiwa umeiba kwa sababu unanjaa, that is not an excuses , but ukweli ni kwamba you have been thief since day one , ; wapo wenye njaa na hawaibi

Suala la mstakes ikulu is not only kumteua marehemu, walishawahi kuteua UVCCM a very poor mind dogo akiwa kama ni replacement ya msomi mkubwa na dogo hakuwa meritocracy yoyote kwenye career path yake , ni muhuni wa pale lumumba ambao wahuni walipenyeza file

Yupo yule alitenguliwa leo , na kesho yake akateuliwa the same position aliyotenguliwa, P , what do you think ?
Stop hii mambo mzee, let’s be realistic to help the country . Hii ni aibu yetu sote or else Samia hayupo na watu sahihi au imawezekana yeye ndio sio sahihi

Ipo siku atasomeshwa hotuba ya marehemu akijua ni mpya
 
Mkuu mi sikubaliani na wewe,Uraisi ni taasisi,sio mtu mmoja,

Haya mambo ya kuamka na kufsnya teuzi kama vile anateua shoga zake wakwenda nae ngomani yanakera,

Unateuaje viongozi waovyo,ambao clip zao wakifsnya mambo ya hovyo mtaani zipo kibao,hao intelligensia wanafanya Kazi gani!?Kwanini hateui watu kama Antony Mtaka,unaenda kutuletea Almasi Nyangasa! kwa kipi kikubwa alichofanya?

Kipindi Bety Mkwasa anateuliwa kuwa DC,nchi ilimuona kwa juhudi zake za kutoa Elimu ya ukimwi,sasa Hawa Kina Nick wa pili, Mwaipaya, wamefanya nini?

Kwanini anateua watu wa hovyo kabisa, si bora hata Ukampa Diamond unaibu waziri. Nchi inawatu milioni 50+,unateua mijitu ambayo Haina accomplishment yoyote duniani, zaidi ya Swaga za ujana, wapo vijana wadogo Wana PHD, masters zao kwenye vyuo, wapo vijana wanapiga biashara kama Vunja bei, kwanini uwapi hao vyeo kwenye wilaya za kimkakati Ili walete Mawazo mapya,Hawa kina Mwaipaya, sasa hv wanawaza jinsi ya kuongeza kiwanja,kumaliza nyumba ya kupanga, hakuna kitu hapo
Hata nchi ikiuzwa wewe utashangilia kwa kuwa aliyeuza ni Samia
 
2021 ulipoleta adiko hili tulikuelewa. Sasa ni miaka 3, ndugu Pascal Mayalla unapaswa kuja na andiko la kuhitimisha kama Samia anastahili kulaumiwa ama la!
Mkuu G4N, madam nilishauri tumpe muda, tumpe muda wa kutosha tuu, baada ya hapo, tumtathmini .
P
 
Mkuu G4N, madam nilishauri tumpe muda, tumpe muda wa kutosha tuu, baada ya hapo, tumtathmini .
P
Nchi za wenzetu, hufanya tathmini hata baada ya siku 100, lkn rais Samia kaongoza miaka 3+ na mhula wake wa kwanza unaisha mwakani. Ili achaguliwe kwa mhula wa pili, lazima awe amewashawishi watanzania kwa uongozi mzuri.

Nilitegemea wachambuzi nguli kama wewe, mfanye tathmini ambayo itawasaidia watanzania kufanya maamuzi kwenye uchaguzi ujao....arudishwe ama afungashiwe virago.

Kwahiyo muda wa kufanya tathmini ni sasa, na tumechelewa.
 
Nchi za wenzetu, hufanya tathmini hata baada ya siku 100, lkn rais Samia kaongoza miaka 3+ na mhula wake wa kwanza unaisha mwakani. Ili achaguliwe kwa mhula wa pili, lazima awe amewashawishi watanzania kwa uongozi mzuri.

Nilitegemea wachambuzi nguli kama wewe, mfanye tathmini ambayo itawasaidia watanzania kufanya maamuzi kwenye uchaguzi ujao....arudishwe ama afungashiwe virago.

Kwahiyo muda wa kufanya tathmini ni sasa, na tumechelewa.
You are very right kuhusu kumtathmini Rais Samia kabla ya kuruhusiwa kugombea tena, tatizo ni utaratibu wa CCM mserereko kwa Rais aliyehudumu kwa term moja.

Hivyo mgombea urais wa CCM kwa uchaguzi wa 2025 ni Rais Samia, na Watanzania wanachagua chama na sio kuchagua watu.

Watanzania wangekuwa wanachagua watu, CCM ikamsimamisha Samia 2025, halafu tungekuwa na a strong opposition, ikasimamisha mgombea mmoja wa upinzani bora kuliko Samia, CCM ingepumzishwa kwa amani!. Very unfortunately hatuna upinzani wa kihivyo, na nje ya CCM, hakuna mtu wa.kushindana na Samia na kumshinda hiyo 2025, labda atokee... Hivyo 2025 ni CCM tena, ni Samia!.
P
 
hata hili kosa la uteuzi wa marehemu sio lake!,
Tafadhali sana Pascal Mayalla, hii ni JF ambako koleo huitwa kwa jina lake lakini wewe unataka iitwe big spoon...no, no, this is where we dare! Tangazo rasmi limetolewa na linasema Rais kafanya uteuzi, full stop. The buck stops with the President, full stop!
this is bonafide genuine mistake ya communication break down, by the time Lupa, anakutwa na umauti, uteuzi ulikuwa tayari ila mkeka haujapanda.
Bonafide genuine mistake, my foot! What the hell are you talking about? Hapana Pascal Mayalla, unajitambulisha humu JF kama mwanasheria, basi onesha kwa kauli na vitendo kwamba angalau unaheshimu taaluma hiyo. Unafiki lazima uuwekee mipaka.
Wakati tangazo la msiba linatoka, hakuna aliyenote mteuliwa mmoja yuko amefariki jana yake!. Hili ni kosa genuine, let's not make.a big deal!.
Urais tunakumbushwa kila siku ni taasisi na kama ni hivyo ndio maana Rais ana wasaidizi kibao na hao wasaidizi ni yeye anawateua. Kama wasaidizi anaowateua uwezo wao ni mdogo na hawafai, hiyo moja kwa moja wa kulaumiwa ni yeye Rais, full stop!

Pascal Mayalla said:
Very unfortunately hatuna upinzani wa kihivyo, na nje ya CCM, hakuna mtu wa.kushindana na Samia na kumshinda hiyo 2025, labda atokee... Hivyo 2025 ni CCM tena, ni Samia!.
Katika matusi yote tunayotukanwa Watanzania 63,000,000 hili la kwako limetia fora, asante sana Pascal Mayalla!
 
You are very right kuhusu kumtathmini Rais Samia kabla ya kuruhusiwa kugombea tena, tatizo ni utaratibu wa CCM mserereko kwa Rais aliyehudumu kwa term moja.

Hivyo mgombea urais wa CCM kwa uchaguzi wa 2025 ni Rais Samia, na Watanzania wanachagua chama na sio kuchagua watu.

Watanzania wangekuwa wanachagua watu, CCM ikamsimamisha Samia 2025, halafu tungekuwa na a strong opposition, ikasimamisha mgombea mmoja wa upinzani bora kuliko Samia, CCM ingepumzishwa kwa amani!. Very unfortunately hatuna upinzani wa kihivyo, na nje ya CCM, hakuna mtu wa.kushindana na Samia na kumshinda hiyo 2025, labda atokee... Hivyo 2025 ni CCM tena, ni Samia!.
P
Hapo strong opposition .km mbowe asingekuwa chadema, I hope Chadema ingekuwa ni strong opposition,sadly mbowe ndio mwenyekiti
 
Tafadhali sana Pascal Mayalla, hii ni JF ambako koleo huitwa kwa jina lake lakini wewe unataka iitwe big spoon...no, no, this is where we dare! Tangazo rasmi limetolewa na linasema Rais kafanya uteuzi, full stop. The buck stops with the President, full stop!
Yes mkubwa ni jalala!, wewe unajua, mimi ninajua na wote tunajua jampo rais ndio mamlaka ya uteuzi, analetewa majina na wasaidizi wake, ndio wanamkosesha ila sio yeye!
Bonafide genuine mistake, my foot! What the hell are you talking about? Hapana Pascal Mayalla, unajitambulisha humu JF kama mwanasheria, basi onesha kwa kauli na vitendo kwamba angalau unaheshimu taaluma hiyo. Unafiki lazima uuwekee mipaka.
No one is perfect, kukosea its human, let's don't make it a big deal!
Urais tunakumbushwa kila siku ni taasisi na kama ni hivyo ndio maana Rais ana wasaidizi kibao na hao wasaidizi ni yeye anawateua. Kama wasaidizi anaowateua uwezo wao ni mdogo na hawafai, hiyo moja kwa moja wa kulaumiwa ni yeye Rais, full stop!
Nakubaliana na wewe na ndio maana atawatimua kila uchao.
Katika matusi yote tunayotukanwa Watanzania 63,000,000 hili la kwako limetia fora, asante sana Pascal Mayalla!
Kuna tusi gani hapo?!
P
 
Back
Top Bottom