Rais Samia sio mzalendo kwao!

We poyoyo toa huu upupu wako hakuna mkoa wa Chato. Yule marehemu mshamba, mwizi, muuaji, mbaguzi usitukumbushie habari zake.
 
Hivi mtu ukiwa mpumbavu kumbe huwezi kujitambua. Sasa upumbavu wote ule wa kishamba wa Magufuli ndio unatuandikia km kitu cha maana? We kweli ni mwehu. Halafu usimlinganishe Samia na yule mwehu wenu. Samia ni mtu tofauti kabisa, ni akili kubwa na mwenye uelewa wa hali ya juu sana usimlinganishe na mshamba yule
 
Wachache wanaopitia shairi hili kuntu la Baba wa Taifa.
 
We poyoyo toa huu upupu wako hakuna mkoa wa Chato. Yule marehemu mshamba, mwizi, muuaji, mbaguzi usitukumbushie habari zake.
Lakini mwendazake alikaribia kuanzisha mkoa wa Chato mkuu. Au wewe hukusikia hilo?
 
Mshamba wakati kapeleka maendeleo kwao? Mshamba ni wewe ambaye ukipata madaraka utasahau kuendeleza nyumbani kwenu.
 
Akijenga viwanja vya ndege na kuanzisha matawi ya CRDB mtapiga makelele mpaka dunia nzima itasikia. Kaamua kula kidogo kidogo.
 
Mkuu kapeleka tamasha tu humu JF ni maneno kila siku, sikwambii apeleke hispitali. Hivi hizi fukunyuku za Watanganyika huzioni na huzisikii? Mama Samia ni mzalendo wa Zanzibar na mzalendo wa Tanzania. Mwenyezimungu ampe nguvu ya kuitumikia Tanzania - Bara na Visiwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…