Rais Samia: Sio na kigazeti chako mara uandike Samia hivi mara vile, vingine vya uongo vingine vya ukweli

Rais Samia: Sio na kigazeti chako mara uandike Samia hivi mara vile, vingine vya uongo vingine vya ukweli

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Wakuu Asalam aleikum,

Hayati Magufuli aliwahi kusema kuwa "your not free to such extent" akiwatahadharisha wanahabari juu ya kile alichokiita upotoshaji na kuwaonya vikali.

Baada ya kauli hiyo vyombo vyote vikawa vya mlengo mmoja na wale waliotaka kwenda kinyume walinyooshwa kwa mkono wa chuma. Kauli ya Magufuli iliumba na kupelekea kuleta matatizo makubwa sana kwa sekta ya habari.

Samia ameanza naye kuvitisha vyombo vya habari, amekuwa kama mtangulizi wake media, kama wanahabari wameandika upotoshaji waambieni ukweli kisha watabadiri taarifa na kuomba radhi ila siyo kuwatisha na kuwadhalilisha et "VITV"
 
Vyombo vya habari muda mwingine vinakosa weledi.kwanini wasiandike habari za kweli? Uzushi na uongo wakati mwingine unaviondolea credibility vyombo hivyo.
 
Unaaangaika sana na huyu mwanamke, poor you. Halafu wewe ni wa kiume kweli?
 
Mna shida sana ..
Sisi tumemsikia akitoa shukran kwa vyombo
Vya habari na akasema vimemsaidia Sana

Unakuja hapa kujaribu kusema nini??
Vyombo vya habari muda mwingine vinakosa weledi.kwanini wasiandike habari za kweli? Uzushi na uongo wakati mwingine unaviondolea credibility vyombo hivyo.
Hata Magufuli alikuwa anavisifia...
 
Huwa nashindwa kabisa kuelewa ile notion ya kwamba vyombo vya habari viwe huru kuripoti, hata kama ni uwongo...very nonsensical
 
Back
Top Bottom