Nakumbuka siku ya uhuru Rais Samia Suluhu alituhakikishia watanzania kwamba sisi ni taifa huru na watanzania lazima tuwe huru tunaona anaendelea kuishi maneno yake kwa kuweka uhuru wa vyombo vya habari uhuru wa wananchi kutoa maoni.
Hakuishia hapo tu alisema pia jukumu la serikali ni kusimamia haki za raia na kweli tunaona anaendelea kusimamia haki bila kujali tajiri au masikini watanzania tuna imani kwamba Tanzania ni salama na Samia pia tunamuombea Mungu ampe maisha marefu maana amefanikiwa kuijenga Tanzania yenye amani, umoja na mshikano
Mfano mzuri tunaona Tundu Lissu aliondoka nchini kwa kuogopa watu wasiojulikana lakini Rais Samia Suluhu alimuhakikishia ulinzi na usalama sasa yupo Tanzania na anaendelea na harakati zake bila kuhofia chochote kweli Rais Smaia Suluhu anaupiga mwingi kuusu suala la kulinda Haki, Amani na Uhuru wa mtanzania.
Hakuishia hapo tu alisema pia jukumu la serikali ni kusimamia haki za raia na kweli tunaona anaendelea kusimamia haki bila kujali tajiri au masikini watanzania tuna imani kwamba Tanzania ni salama na Samia pia tunamuombea Mungu ampe maisha marefu maana amefanikiwa kuijenga Tanzania yenye amani, umoja na mshikano
Mfano mzuri tunaona Tundu Lissu aliondoka nchini kwa kuogopa watu wasiojulikana lakini Rais Samia Suluhu alimuhakikishia ulinzi na usalama sasa yupo Tanzania na anaendelea na harakati zake bila kuhofia chochote kweli Rais Smaia Suluhu anaupiga mwingi kuusu suala la kulinda Haki, Amani na Uhuru wa mtanzania.