Usijiangalie wewe tuWe jamaa ni mnafiki kama popo hujulikani uko pande ipi
Wakikurupuka hili zoezi litasababisha vifo vingi kulikamilisha. Kumekuwa na uporaji toka upande wa serikali inaposimamia operesheni kama hizi. Sioni machinga wa kuvinjiwa banda lake na kuporwa mali zake akisema hewara.Sasa busara, siyo kwenda kuwatoa kwenye maeneo waliyozoea kupata rizki zao kwa ghafla bin vuup, kwa kuwapiga n. k, Hapa inahitajika approach nzuri, tena siyo approach ya kukurupuka, ni iliyopangiliwa vizuri tena kwa phases. Nje ya hapo unataka watu wafe njaa au wageuke wapiga roba na majambazi
MATAGA mnavyowapenda machinga kama mtaji wa kisiasa tunawaangalia tu.Ndugu Rais
Hili suala la wamachinga ni very sensitive nakushauri uende nalo kwa busara kubwa sana.
Nadhani uliona maelfu ya waliotoka mabarabarani kumlilia Magufuli, naweza kusema probably kuwa zaidi ya 70% ni Wamachinga....
Unataka awe upande gani?We jamaa ni mnafiki kama popo hujulikani uko pande ipi
Basi Magu alikuwa na genge kubwa sana tangu dar hadi mikoni.Mimi naamini kama sekta binafsi itapewa meno huku serikali ikijitahidi kuajiri hasa elimu na Afya basi Machinga automatically watapungua.
Na kuhusu kwamba Machinga ndio waliompenda, kumlilia Magu sikubaliani na wewe.
Msiba wa Magu umekuwa 'hyped' sana na lililokuwa genge lake. Kuanzia media, wasanii, viongozi wa dini, watu maarufu.
Sasa ni watu wangapi wenye uwezo wa fikra huru kuukwepa mtego huo?
Hilo genge mpaka CAG lilianza kumwona adui wakati anawasiliana ripoti yake.
Watu wengine ni wahanga wa propaganda alizokuwa anafanya miaka yote mitano.
We ulisikia wapi 70% wamachinga? Wamachinga ni kero sana sehemu za mijini ,wapelekwe sehemu husika.....Jiwe alikuwa anawatengeneza wanyonge wa kumpigia pambio wakati wa kubdailisha katiba ungefika.Ndugu Rais
Hili suala la wamachinga ni very sensitive nakushauri uende nalo kwa busara kubwa sana.
Nadhani uliona maelfu ya waliotoka mabarabarani kumlilia Magufuli, naweza kusema probably kuwa zaidi ya 70% ni Wamachinga.
Hili ni jeshi kubwa sana ambalo ukilizingua litakuzingua kweli.
Pamoja na mapungufu mengi tu ya mtangulizi wako katika masuala ya uongozi lakini katika vitu alivyotumia akili ni namna ya kudeal na wamachinga. Baada ya mtangulizi wako kugundua kuwa hakubaliki katika cadre ya wasomi na wafanyabiashara wakubwa, aliamua kurudi chini kwenye grassroots na kufanya urafiki na wamachinga. Hawa ndo waliomzika!
Pia tambua kuwa nchi hii ina tatizo kubwa la ajira, shukuru Mungu kuwa kuna namna japo haipendezi ambayo mamilioni ya wananchi wanajipatia riziki yao. Tafadhali usianze kuwadisturb hawa wamachinga, utapata tabu sana kutawala kama kundi hili la mamilioni litakukataa. Na utapata wakati mgumu zaidi wakitokea watu wa kuwasongesha mtaani.
Pia fahamu kuwa kitendo cha kundi hili kuweza kujipatia riziki kulipunguza sana wimbi la ujambazi mitaani. Chondechonde nakuomba Ndugu Samia, usidisturb kabisa kundi hili bali litafutie utaratibu mzuri wa biashara zao bila kuwaswaga ghafla
Ndugu, Rais ukivunja vibanda vya wamachinga leo, sisi wenye kipato tutakushangilia, lakini kabla hujafanya hilo jiulize hawa wanaopata rizki kutokana na hivyo vibanda wakale wapi?
Ndugu Rais, naongea haya nikiwa mtu ninayependa miji iwe safi kweli, lakini sasa Wenzetu hawa wanahitaji nao mkono kwenda kinywani tufanyeje?
Angalia dissatisfaction isije ikawa kubwa sana mtaani utapata tabu sana kutawala nchi hii.
Ni lazima uendelee kujali watu masikini bila kuumiza Matajiri, Ukiigeuza serikali yako kuwa ya Matajiri na wenye kipato tu bila kuwaangalia walalahoi utafeli
Kuwa Makini sana!
Was it expected that everyone should be on her side? Who is her, an angel?!you seem to be a bit against of what Mama is doing, a bit, not much!!!!!
Lazima tuongee maana kaua na kutesa watu wengi sanaBasi Magu alikuwa na genge kubwa sana tangu dar hadi mikoni.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwanini mnamuonea wivu sana marehemu?
Wengi hawako sehemu salama na wamefunga barabara ambazo ni haki ya wengine... wengi wameziba maduka ya walipa kodi TRA... wengi wanachafua mazingira...Ndugu Rais
Hili suala la wamachinga ni very sensitive nakushauri uende nalo kwa busara kubwa sana.
Nadhani uliona maelfu ya waliotoka mabarabarani kumlilia Magufuli, naweza kusema probably kuwa zaidi ya 70% ni Wamachinga.
Hili ni jeshi kubwa sana ambalo ukilizingua litakuzingua kweli.
Pamoja na mapungufu mengi tu ya mtangulizi wako katika masuala ya uongozi lakini katika vitu alivyotumia akili ni namna ya kudeal na wamachinga. Baada ya mtangulizi wako kugundua kuwa hakubaliki katika cadre ya wasomi na wafanyabiashara wakubwa, aliamua kurudi chini kwenye grassroots na kufanya urafiki na wamachinga. Hawa ndo waliomzika!
Pia tambua kuwa nchi hii ina tatizo kubwa la ajira, shukuru Mungu kuwa kuna namna japo haipendezi ambayo mamilioni ya wananchi wanajipatia riziki yao. Tafadhali usianze kuwadisturb hawa wamachinga, utapata tabu sana kutawala kama kundi hili la mamilioni litakukataa. Na utapata wakati mgumu zaidi wakitokea watu wa kuwasongesha mtaani.
Pia fahamu kuwa kitendo cha kundi hili kuweza kujipatia riziki kulipunguza sana wimbi la ujambazi mitaani. Chondechonde nakuomba Ndugu Samia, usidisturb kabisa kundi hili bali litafutie utaratibu mzuri wa biashara zao bila kuwaswaga ghafla
Ndugu, Rais ukivunja vibanda vya wamachinga leo, sisi wenye kipato tutakushangilia, lakini kabla hujafanya hilo jiulize hawa wanaopata rizki kutokana na hivyo vibanda wakale wapi?
Ndugu Rais, naongea haya nikiwa mtu ninayependa miji iwe safi kweli, lakini sasa Wenzetu hawa wanahitaji nao mkono kwenda kinywani tufanyeje?
Angalia dissatisfaction isije ikawa kubwa sana mtaani utapata tabu sana kutawala nchi hii.
Ni lazima uendelee kujali watu masikini bila kuumiza Matajiri, Ukiigeuza serikali yako kuwa ya Matajiri na wenye kipato tu bila kuwaangalia walalahoi utafeli
Kuwa Makini sana!
Kunya barabarani, kutupa taka barabarani, kuhodhi maeneo ya wapita njia barabarani na kusababisha wapita njia wapite yanakopita magari mambo yanayosababisha usumbufu kwa madereva na kuhatarisha maisha ya wapita njia...Kama ipi?
Kaua nani na katesa nani?Lazima tuongee maana kaua na kutesa watu wengi sana
na mimi nasema waondolewe tu maana hakuna namnaZamu ya wanyonge kuishi kishetani mlitucheka sisi matajiri.Tukubali tu