Rais Samia, suala la Machinga kuwa nalo makini. Usije ukajichanganya

Rais Samia, suala la Machinga kuwa nalo makini. Usije ukajichanganya

Mchango mzuri, ila naomba nikupinge kwa hoja
1. Kusema magufuli alideal na wamachinga kwa akili hili si kweli hata kidogo, angedeal nao kwa akili angewatengenezea maeneo rasmi ya kufanyia biashara, alichokuwa anakitafuta ni cheap popularity, hakuwa na nia njema nao, kufanya biashara barabarini ni sawa tu na kujenga nyumba kwenye reserve ya barabara.

2. Umesema kuwa tatizo ni ajira, Hata kama ajira hakuna lazima tuwe na utaratibu wa kufanya biashara ya umachinga

3. Eti kuwaruhusu wamachinga barabarani imepinguza uwalifu, hili sio kweli hata kidogo, kuruhusu watu kufanya biashara za umachinga barabarani maeneo yasio rasmi ni hatari zaidi kwa uwalifu, kumbuka machinga wanaongezeka kila uchao ukawajaza barabarani unadikiri kitakachotokea nini.

4. Tusiwaone wamchinga kama untachable, kwa kuhofia kukosa kura kutoka kwao, lazima tuwe watu wa kufuata utaratibu na sheria za nchi, hakuna jamii ambayo eti wao wanapaswa kupata upendeleo sana kuliko nyingime mope hio si sawa.

5. Kupata riziki kwa kuwaruhu machinga kufanya barabarani sio sawa, haitamsaidia kuwa na bishara endelelevu atakuwa mtu wa kuhama hama kamamifugo, hilo haliwezi kuwa sawa, kama tunatanga kuwasidia hawa machinga wapewe maeneo rasmi ya kufanya biashara zao.
6. Mmama hinga hapaswi kuwa mmachinga siku zote anapaawa baadaye awe mangi, hapo na serekali itapata kodi yake.

7. Mimi sio muumini sana wa umachinga, kuzalisha wimbi kubwa la wachuuzi ni nikujitengezea bomu kubwa sana hapo baadaye, nani wasiojua kuwa ili kukwepa kodi wenye maduka wanawapa machinga bidhaa amabazo ndiyo wanapanga barabarani, wengine wanazunguka nazo mtaani, taifa litakuwa la wa wachuuzi, taifa likisha kuwa machinga wengi, serekali haipati kodi yake, hatuwezi ijenga nchi kwa uchuuzi, lazima tuwe na biashara rasmi serekali ipate kodi yake.

Tumeshudia baadhi ya maeneo wameweka biashara mpaka kwenye nyumba za watu.

Ukipita maeneo ya pale kariakoo barabara ya msimbazi ni vurugu tu wanazua maduka, wanauza bidhaa ile ile inayouzwa dukani ilo hali yeye halipi kodi.

Mwisho sasa ni wakati wa kuwatafutia maeneo rasmi lakini serekali iweke mikakati ya kuhakikisha tunaondokana na hili wimbi la kuzalisha wachuuzi.
Hawalipi Kodi,
 
Wanaotaka wamachinga waondolewe mabarabarani, leteni suluhisho,wapelekwe wapi?

Hizo sehemu mnazotaka wapelekwe zipo za kutosha?.

Suala la wamachinga halina short term solution, Ufumbuzi wake ni mipango ya muda mrefu ambayo lazima itengewe bajeti.

Sanasana tumwambie mama aliweke hil suala katika ajenda yake, lakini tusimshauri akurupuke aende akawapige virungu awaondoe wamachinga bila kuwa na sehemu za kutosha za kuwaweka!
 
Ndugu Rais,

Hili suala la wamachinga ni very sensitive nakushauri uende nalo kwa busara kubwa sana.

Nadhani uliona maelfu ya waliotoka mabarabarani kumlilia Magufuli, naweza kusema probably kuwa zaidi ya 70% ni Wamachinga.

Hili ni jeshi kubwa sana ambalo ukilizingua litakuzingua kweli.

Pamoja na mapungufu mengi tu ya mtangulizi wako katika masuala ya uongozi lakini katika vitu alivyotumia akili ni namna ya kudeal na wamachinga. Baada ya mtangulizi wako kugundua kuwa hakubaliki katika cadre ya wasomi na wafanyabiashara wakubwa, aliamua kurudi chini kwenye grassroots na kufanya urafiki na wamachinga. Hawa ndo waliomzika!

Pia tambua kuwa nchi hii ina tatizo kubwa la ajira, shukuru Mungu kuwa kuna namna japo haipendezi ambayo mamilioni ya wananchi wanajipatia riziki yao. Tafadhali usianze kuwadisturb hawa wamachinga, utapata tabu sana kutawala kama kundi hili la mamilioni litakukataa. Na utapata wakati mgumu zaidi wakitokea watu wa kuwasongesha mtaani.

Pia fahamu kuwa kitendo cha kundi hili kuweza kujipatia riziki kulipunguza sana wimbi la ujambazi mitaani. Chondechonde nakuomba Ndugu Samia, usidisturb kabisa kundi hili bali litafutie utaratibu mzuri wa biashara zao bila kuwaswaga ghafla.

Ndugu, Rais ukivunja vibanda vya wamachinga leo, sisi wenye kipato tutakushangilia, lakini kabla hujafanya hilo jiulize hawa wanaopata rizki kutokana na hivyo vibanda wakale wapi?

Ndugu Rais, naongea haya nikiwa mtu ninayependa miji iwe safi kweli, lakini sasa Wenzetu hawa wanahitaji nao mkono kwenda kinywani tufanyeje?

Angalia dissatisfaction isije ikawa kubwa sana mtaani utapata tabu sana kutawala nchi hii.

Ni lazima uendelee kujali watu masikini bila kuumiza Matajiri, Ukiigeuza serikali yako kuwa ya Matajiri na wenye kipato tu bila kuwaangalia walalahoi utafeli

Kuwa Makini sana!
Makini sana ,na kuna kundi linataka ashindwe ili wafufuke kuelekea 2025
 
Njia pekee ya kupunguza idadi ya machinga mijini ni kurudisha hali ya mzunguko wa pesa mtaani, kufungua Milango kwa Wawekezaji, kufungua mipaka watu wauze watakapo.

Ongezeko la machinga mijini chanzo ni mwendazake alipouwa uchumi kwa kusomesha watu namba wawe masikini ili aweze kuwatawala.Aliuwa kilimo,alikimbiza Wawekezaji kwa dhania kila aliyefanikiwa ni mwizi hizi ni fikra za kizamani za kijamaa.
Wewe utakuwa na mtindio wa ubongo,au unaongozwa na chuki,na sidhani km ni busara kubishana na wewe,hicho unachokijua kinakutosha,
 
Njia pekee ya kupunguza idadi ya machinga mijini ni kurudisha hali ya mzunguko wa pesa mtaani, kufungua Milango kwa Wawekezaji, kufungua mipaka watu wauze watakapo.

Ongezeko la machinga mijini chanzo ni mwendazake alipouwa uchumi kwa kusomesha watu namba wawe masikini ili aweze kuwatawala.Aliuwa kilimo,alikimbiza Wawekezaji kwa dhania kila aliyefanikiwa ni mwizi hizi ni fikra za kizamani za kijamaa.
Wewe utakuwa na mtindio wa ubongo,au unaongozwa na chuki,na sidhani km ni busara kubishana na wewe,hicho unachokijua kinakutosha,
 
Ndugu Rais,

Hili suala la wamachinga ni very sensitive nakushauri uende nalo kwa busara kubwa sana.

Nadhani uliona maelfu ya waliotoka mabarabarani kumlilia Magufuli, naweza kusema probably kuwa zaidi ya 70% ni Wamachinga.

Hili ni jeshi kubwa sana ambalo ukilizingua litakuzingua kweli.

Pamoja na mapungufu mengi tu ya mtangulizi wako katika masuala ya uongozi lakini katika vitu alivyotumia akili ni namna ya kudeal na wamachinga. Baada ya mtangulizi wako kugundua kuwa hakubaliki katika cadre ya wasomi na wafanyabiashara wakubwa, aliamua kurudi chini kwenye grassroots na kufanya urafiki na wamachinga. Hawa ndo waliomzika!

Pia tambua kuwa nchi hii ina tatizo kubwa la ajira, shukuru Mungu kuwa kuna namna japo haipendezi ambayo mamilioni ya wananchi wanajipatia riziki yao. Tafadhali usianze kuwadisturb hawa wamachinga, utapata tabu sana kutawala kama kundi hili la mamilioni litakukataa. Na utapata wakati mgumu zaidi wakitokea watu wa kuwasongesha mtaani.

Pia fahamu kuwa kitendo cha kundi hili kuweza kujipatia riziki kulipunguza sana wimbi la ujambazi mitaani. Chondechonde nakuomba Ndugu Samia, usidisturb kabisa kundi hili bali litafutie utaratibu mzuri wa biashara zao bila kuwaswaga ghafla.

Ndugu, Rais ukivunja vibanda vya wamachinga leo, sisi wenye kipato tutakushangilia, lakini kabla hujafanya hilo jiulize hawa wanaopata rizki kutokana na hivyo vibanda wakale wapi?

Ndugu Rais, naongea haya nikiwa mtu ninayependa miji iwe safi kweli, lakini sasa Wenzetu hawa wanahitaji nao mkono kwenda kinywani tufanyeje?

Angalia dissatisfaction isije ikawa kubwa sana mtaani utapata tabu sana kutawala nchi hii.

Ni lazima uendelee kujali watu masikini bila kuumiza Matajiri, Ukiigeuza serikali yako kuwa ya Matajiri na wenye kipato tu bila kuwaangalia walalahoi utafeli

Kuwa Makini sana!
Well said mkuu.

Hapa New Bagamoyo RD Tangi Bovu hadi Shule kuna kipindi wanapanga matoroli yao kwenye packing ya daladala.

Nahisi kilichokosewa ni kuruhusiwa kufanya biashara bila kubugudhiwa na bila kupangiwa utaratibu. YES wafanye biashara bila kubugudhiwa ila viongozi wahusika wa Kata na Mtaa wawape namna nzuri ya kufanya biashara.

Ukiwa ni kujengewa vizimba au namna yoyote itakayoleta mazingira ya kupendeza badala ya kero. Mathalani Wizara ya viwanda na biashara waki team up na VETA wakatengeneza aina flani ya "street furniture" ambazo zitakua za chuma nadhani ingekua bomba sana
 
Uchumi wa nchi haukuzwi kwa umachinga bali kupitia uzalishaji. Machinga ni wachuuzi yaani ni madalali wa viwanda vya china kwa nia ya kukuza uchumi wa china.97% za wauzavyo machinga ni made in China.

Ukiboresha kilimo wote wakiingia kwenye uzalishaji badala ya uchuuzi uchumi utakua.
Unafikiri Tanzania kuwa na inclusive economic, unajua kwasababu zipi?

Wewe umelimia wapi au kutamka tu humu ndio umelima?
 
Basi Magu alikuwa na genge kubwa sana tangu dar hadi mikoni.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwanini mnamuonea wivu sana marehemu?
Nani amwonee wivu dhalimu na jizi la kura? Yeye aliwaruhusu wamachinga kufanya biashara popote maana alijua ni washabiki wa cdm. Hivyo ili apate uungwaji mkono kama ilivyo cdm, ilibidi awaruhusu wafanye biashara holela. Na kwa sehemu kubwa alijificha nyuma ya hilo kundi la wamachinga kwa propaganda kuwa ni kiongozi wa wanyonge, lengo ilikuwa ni kupora hela za matajiri na wafanyabishara kwa njia ya uporaji. Lakini kiukweli hakuwahi kuwasaida hao wanyonge kama wanyonge.
 
Utawala wa awamu ya tano uliwajali sana watu wa kipato cha chini,machinga,bodaboda,mama ntilie na wachimbaji wadogowadogo,hawa ndio asilimia 80 ya watanzania woote,na hawa ndio walikuwa wakiandamana kipindi cha utawala wa awamu ya nne,kundi hili lilihamishwa chadema na magu baada ya kualijali na kulihudumia,kwa sababu mama yeye ameingizwa pale IKULU na kundi ovu la mafisadi baada ya mikakati ya kishetani kukamilika,hana njia nyingine isipokuwa kutimiza matakwa ya kundi Hilo,AMLIPAE MPIGA ZUMALI NDIE HUCHAGUA WIMBO,
 
CCM ya mwendaze isilete chokochoko awamu yao ishakwenda na maji tupo awamu ya sita ya Mama yetu!! Hateki wala hauwi mtu for yor info....msimdanganye maza mapemaa hivi aanze vita na wamachinga..mshindwee!! Mbona wakati baba yenu yupo hamkuviondoa??
 
Nani amwonee wivu dhalimu na jizi la kura? Yeye aliwaruhusu wamachinga kufanya biashara popote maana alijua ni washabiki wa cdm. Hivyo ili apate uungwaji mkono kama ilivyo cdm, ilibidi awaruhusu wafanye biashara holela. Na kwa sehemu kubwa alijificha nyuma ya hilo kundi la wamachinga kwa propaganda kuwa ni kiongozi wa wanyonge, lengo ilikuwa ni kupora hela za matajiri na wafanyabishara kwa njia ya uporaji. Lakini kiukweli hakuwahi kuwasaida hao wanyonge kama wanyonge.
Mkapa aliiba kura mwaka 1995,pia akaiba tena 2000,kikwete nae aliiba kura 2005,akaiba tena 2010,magu nae kaiba kura 2015,akaiba tena 2020,!!!???, Ni kweli,mpumbavu hahitaji kupigwa chapa,ni fikra zake na matendo yake ndio huudhilisha upumbavu wake,
 
Ndugu Rais,

Hili suala la wamachinga ni very sensitive nakushauri uende nalo kwa busara kubwa sana.

Nadhani uliona maelfu ya waliotoka mabarabarani kumlilia Magufuli, naweza kusema probably kuwa zaidi ya 70% ni Wamachinga.

Hili ni jeshi kubwa sana ambalo ukilizingua litakuzingua kweli.

Pamoja na mapungufu mengi tu ya mtangulizi wako katika masuala ya uongozi lakini katika vitu alivyotumia akili ni namna ya kudeal na wamachinga. Baada ya mtangulizi wako kugundua kuwa hakubaliki katika cadre ya wasomi na wafanyabiashara wakubwa, aliamua kurudi chini kwenye grassroots na kufanya urafiki na wamachinga. Hawa ndo waliomzika!

Pia tambua kuwa nchi hii ina tatizo kubwa la ajira, shukuru Mungu kuwa kuna namna japo haipendezi ambayo mamilioni ya wananchi wanajipatia riziki yao. Tafadhali usianze kuwadisturb hawa wamachinga, utapata tabu sana kutawala kama kundi hili la mamilioni litakukataa. Na utapata wakati mgumu zaidi wakitokea watu wa kuwasongesha mtaani.

Pia fahamu kuwa kitendo cha kundi hili kuweza kujipatia riziki kulipunguza sana wimbi la ujambazi mitaani. Chondechonde nakuomba Ndugu Samia, usidisturb kabisa kundi hili bali litafutie utaratibu mzuri wa biashara zao bila kuwaswaga ghafla.

Ndugu, Rais ukivunja vibanda vya wamachinga leo, sisi wenye kipato tutakushangilia, lakini kabla hujafanya hilo jiulize hawa wanaopata rizki kutokana na hivyo vibanda wakale wapi?

Ndugu Rais, naongea haya nikiwa mtu ninayependa miji iwe safi kweli, lakini sasa Wenzetu hawa wanahitaji nao mkono kwenda kinywani tufanyeje?

Angalia dissatisfaction isije ikawa kubwa sana mtaani utapata tabu sana kutawala nchi hii.

Ni lazima uendelee kujali watu masikini bila kuumiza Matajiri, Ukiigeuza serikali yako kuwa ya Matajiri na wenye kipato tu bila kuwaangalia walalahoi utafeli

Kuwa Makini sana!
Hivi kweli umeyaona majiji yalivyo sasa ?!. Dar, Mwz, Arsh nk . Hata kuendesha gari kwenye majiji haya sasa ni hatari sababu ni wamachinga.

Wapangiwe maeneo na kwa wale wanaoingia ktk ya jiji watembeze bidhaa mkononi na si vibanda na chanja .

Tuishi kwa utaratibu jamani .
 
Mkapa aliiba kura mwaka 1995,pia akaiba tena 2000,kikwete nae aliiba kura 2005,akaiba tena 2010,magu nae kaiba kura 2015,akaiba tena 2020,!!!???, Ni kweli,mpumbavu hahitaji kupigwa chapa,ni fikra zake na matendo yake ndio huudhilisha upumbavu wake,

Ili kuondoa hayo malalamiko iwepo katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Halafu dhalimu Magu hakuiba kura bali alinajisi uchaguzi.
 
Nipo na Mama Samia, hao wamachinga watolewe. Wanachafua Sana mji.
Mama Samia watoe Hawa wamachinga haraka, mji upo Kama dampo
Upo na Mama Samia kivipi!!?? Kwani lini amesema anawatoa!!???
 
Ili kuondoa hayo malalamiko iwepo katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Halafu dhalimu Magu hakuiba kura bali alinajisi uchaguzi.
Unatakiwa ufikiri kwa usahihi,na pia uwe na uwezo wa kuchakata na kupambanua ipi kweli na ipi sio,wewe unaakili tofauti na mnyama km mbwa,ni kweli mbwa anaweza kufundishwa na KUELEWA,lkn uwezo wake unakomea kwenye kukalili tu,hana uwezo wa kutafakari,kuchambua wala kufikiri,na wewe inaonekana umekalilishwa,jifunze kutafakari,
 
Back
Top Bottom